TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
- #101
Unashangaa nn bdo hauna mtoto🙄🙄🙄🙄Khaaa[emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashangaa nn bdo hauna mtoto🙄🙄🙄🙄Khaaa[emoji3]
Mzee kwa town chakula cha chini lunch ni 3500 times 21 working days = 73,500Ishu kubwa hapo ni matumizi, inaweza ikawa inatosha au isitoshe kulingana na matumizi and lifestyle
Boda boda sio poa anaweza kumzima boss hesabu ya wiki nzima akamdanganya pikipiki ilikuwa gereji hapo ana bei gani.kwa taarifa yako bodaboda wanakipato kikubwa kupita watu wengi na ili waweze kupata kipato kikubwa wanatakiwa wafanye wafuatayo:-
hawa tunaweza kuwatumia kwa mikopo ya dharura kama gas imeisha au unahitaji mboga natoka asubuhi uliondoka mnara hausomi ikifika saa nne unampigia unamwambia samahani mdogo wangu naomba ninunulie nyama kilo moja na nyanya tutaonana jioni wapelekee nyumbani.
- uaminifu kwa wateja
- usafi wao binafsi
- usafi wa bodaboda
- wajue uhitaji wa mteja.
au gas ikiisha unamwagiza na yeye anatoa hela yake wakati wewe unachakarika au chakula chakuku kikiisha unaweza kumkopa achilia mbali kumwambia sementi imeisha site mafundi wamesimama naomba ninunulie mifuko miwili tutaonana! acha kabisa boda boda kwa kweli Mungu awalinde!
Kama unaishi gogo la mboto au mbagala jioni nauli 1000/= tambua hilo.Mzee kwa town chakula cha chini lunch ni 3500 times 21 working days = 73,500
Nauli kwenda na kurudi job ni 800 times 21 = 16,800
Kwa hiyo tumefuta hivi viwili kumfanya aweze kuishi town kwa mshahara huo - wewe umeviita lifestyle.
Mkuu Kumbe kwenye ule Usaili hukufanikiwa kutoboa!!??Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Tiss uyo😎Mkuu una kazi ngapi maana toka nikujue zinafika 20
Itakua 🤔 🤔Tiss uyo😎
Achana na stori, njoo kwangu upate somo kwa vitendo vile tunatoboa kibishi na shavu linaonekana.Mnaoishi tunaomba mchanganuo jamani mnaishi vipi, make mi naona dalili za kurudi kwetu.
Nyie ndo mnafilisi kampuni za gesi 😀Mm ya elfu 50 tangu November imeisha May mwisho
Hizo ni "MBWINU" za kijasusi marufuku kuweka hadharani.usiwaambie kama umepata kazi
wakikuuliza vipi unawatangazia njaa
ikiwezekana piga simu kwa ndugu ukope 10,000 wataacha kukusumbua
Nakujaa (kwa sauti ya ile singeli, we mchumba mbona hutokei mama weee nakuja)Achana na stori, njoo kwangu upate somo kwa vitendo vile tunatoboa kibishi na shavu linaonekana.
🙏 🙏 🙏Mkuu, kazi yangu ni moja tu ambayo ni Taxi Driver
Utachoka na nafsi yako kuona hela ya kijora, tuma na ya kutolea bebi niunge bando, na nauli inatoka humu na mengine yanasogea..Nakujaa (kwa sauti ya ile singeli, we mchumba mbona hutokei mama weee nakuja)
Ndio maana nimerudi kuwa Taxi Driver kama zamaniMkuu Kumbe kwenye ule Usaili hukufanikiwa kutoboa!!??
kabisa mkuu tatizo wengi wanafikiria kwa kutumia lifestyle wakati kiuhalisia kuna watu wanaishi maisha ambayo hawawezi kuishi.Ishu kubwa hapo ni matumizi, inaweza ikawa inatosha au isitoshe kulingana na matumizi and lifestyle