Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

kabisa mkuu
kuna wakati unaweza kudhani ni matumizi makubwa kumbe ujazo pia
Kuna mchezo huwa unafanywa na wanaohusika kusambaza izo gas wanaweka nusu ya uzito unaotakiwa katika mtungi husika.wanaamini mteja hawezi ulizia swala la uzito kamili wa gas!
 
uncle mi mbishi acha kabisa! shughuli zangu ni za kuunga kuna muda napata kazi za maana na kuna kipindi sina kazi sasa lazima niishi kwa ubishi
Ntakuja kushinda pm kwako unipe huo ubishi ankal kabla sijarudi kwetu.
 
Labda nami nijaribu kuswitch kwenye multcooker nimejaribu kupikia maharage dk 45 umeme hata unit 1 haikuisha
haili umeme kihivyo
nachemsha maharage nafreeze
mihogo naweka kwa friji natoa kiasi kukaanga
wali multcooker
nyama nachemsha nafreeze
 
uncle mi mbishi acha kabisa! shughuli zangu ni za kuunga kuna muda napata kazi za maana na kuna kipindi sina kazi sasa lazima niishi kwa ubishi
kwa mfano umeme wa mwezi mzima nishatafuta mteja anyelipa kwa kumchomea karanga kilo tano kila wiki kwa kila kilo 1000/-
 
Kwa mshahara huo utatoboa na pia hutoboi inategemea na aina ya maisha uishiyo
 
Kuna kundi la watu ambao hawana kazi maalumu anaweza pata kibarua labda cha 50k akapiga week mbili bila kitu ila wanapendeza mjini viwanja kibo, kona baa, china baa, n.k hawakos niww tu labda kama umetoka shamba jana
 
sometimes huwa nahisi watu wengi waliopo Jf sijui ni wasomi na middle class tu

Hivi mtu anaeishi kwenye chumba cha giza kwa 15k - 20k huyu anaingiza sh ngapi..

wanaofanya kazi kwenye viwanda na wanalipwa 150k wanaishije

wanaouza maji ya kandoro wana uwezo wa kufikisha 300k per month

hawa bodaboda wanaokabidhiwa pikipiki wanaweza kutimiza 300k kirahisi

wanaofanya kazi kwenye maduka ya wahindi au house girls wanalipwa hata hiyo laki mbili.. wanaishije na wengine unakuta wana watoto

watu wengi wa uswazi hiyo pesa ni kubwa sana maana ukifikiria ugali tembele na dagaa mchele, maandazi na mihogo ya mia. sometimes milo miwili kwa siku mbona maisha yanaenda
 
Unaweza, kwa masharti yafuatayo:-
1. Hutakuwa na akiba yoyote ile
2. Utaishi vyumba viwili cha giza kwa 40,000 kila kimoja kwa mwezi -
3. Utapanda gari moja tu kwenda na kurudi kazini - kama utatakiwa kuunganisha basi itabidi utembee kwa mguu
4. Utakula mlo mmoja tu jioni - na chakula chako kisizidi Tshs 5,000 pamoja na familia yako
5. Hutatakiwa kutumia gharama nyingine yoyote ile zaidi ya hapo juu
6. Hutakuwa na akiba yoyote ile, mavazi utavaa mitumba na kwa mwezi familia nzima manunuzi yasizidi 30,000.
 
ninamchele mpaka wa kula mwakani kwani nina gunia moja la mchele na mimi kwa sasa napunguza uzito hivyo wali nishapiga chini
 
sometimes huwa nahisi watu wengi waliopo Jf sijui ni wasomi na middle class tu

Hivi mtu anaeishi kwenye chumba cha giza kwa 15k - 20k huyu anaingiza sh ngapi..

wanaofanya kazi kwenye viwanda na wanalipwa 150k wanaishije

wanaouza maji ya kandoro wana uwezo wa kufikisha 300k per month

hawa bodaboda wanaokabidhiwa pikipiki wanaweza kutimiza 300k kirahisi

wanaofanya kazi kwenye maduka ya wahindi au house girls wanalipwa hata hiyo laki mbili.. wanaishije na wengine unakuta wana watoto

watu wengi wa uswazi hiyo pesa ni kubwa sana maana ukifikiria ugali tembele na dagaa mchele, maandazi na mihogo ya mia. sometimes milo miwili kwa siku mbona maisha yanaenda
Ishu kubwa hapo ni matumizi, inaweza ikawa inatosha au isitoshe kulingana na matumizi and lifestyle
 
Unaweza, kwa masharti yafuatayo:-
1. Hutakuwa na akiba yoyote ile
2. Utaishi vyumba viwili cha giza kwa 40,000 kila kimoja kwa mwezi -
3. Utapanda gari moja tu kwenda na kurudi kazini - kama utatakiwa kuunganisha basi itabidi utembee kwa mguu
4. Utakula mlo mmoja tu jioni - na chakula chako kisizidi Tshs 5,000 pamoja na familia yako
5. Hutatakiwa kutumia gharama nyingine yoyote ile zaidi ya hapo juu
6. Hutakuwa na akiba yoyote ile, mavazi utavaa mitumba na kwa mwezi familia nzima manunuzi yasizidi 30,000.
😂😂😂😂😂😂 mlo mmoja tu duuh
 
hawa bodaboda wanaokabidhiwa pikipiki wanaweza kutimiza 300k kirahisi
kwa taarifa yako bodaboda wanakipato kikubwa kupita watu wengi na ili waweze kupata kipato kikubwa wanatakiwa wafanye wafuatayo:-
  1. uaminifu kwa wateja
  2. usafi wao binafsi
  3. usafi wa bodaboda
  4. wajue uhitaji wa mteja.
hawa tunaweza kuwatumia kwa mikopo ya dharura kama gas imeisha au unahitaji mboga natoka asubuhi uliondoka mnara hausomi ikifika saa nne unampigia unamwambia samahani mdogo wangu naomba ninunulie nyama kilo moja na nyanya tutaonana jioni wapelekee nyumbani.
au gas ikiisha unamwagiza na yeye anatoa hela yake wakati wewe unachakarika au chakula chakuku kikiisha unaweza kumkopa achilia mbali kumwambia sementi imeisha site mafundi wamesimama naomba ninunulie mifuko miwili tutaonana! acha kabisa boda boda kwa kweli Mungu awalinde!
 
sometimes huwa nahisi watu wengi waliopo Jf sijui ni wasomi na middle class tu

Hivi mtu anaeishi kwenye chumba cha giza kwa 15k - 20k huyu anaingiza sh ngapi..

wanaofanya kazi kwenye viwanda na wanalipwa 150k wanaishije

wanaouza maji ya kandoro wana uwezo wa kufikisha 300k per month

hawa bodaboda wanaokabidhiwa pikipiki wanaweza kutimiza 300k kirahisi

wanaofanya kazi kwenye maduka ya wahindi au house girls wanalipwa hata hiyo laki mbili.. wanaishije na wengine unakuta wana watoto

watu wengi wa uswazi hiyo pesa ni kubwa sana maana ukifikiria ugali tembele na dagaa mchele, maandazi na mihogo ya mia. sometimes milo miwili kwa siku mbona maisha yanaenda
Tatizo msharaha ni fixed ,ukitilea mfano bodaboda ,muuza kandoro unakosea sana.Kuna bodaboda anaishi nyumba ya 150k muuza kandoro anakwambia kwa siku anaondoka na mpk 30k faida sometime inategemea na hali ya hewa (jua).
 
Back
Top Bottom