Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kisarawe ss si Pwani hukoLabda kisarawe huko ndani ndani
Biashara zote zinalipa ukiwa unasimuliwa..wewe uncle huwezi ondoka mjini tena nina mpango wa kukuuzia karanga zilizochomwa vizuri kwa kila kilo moja 3500/- we ukifika nyumbani unapack tu maisha yendelee kwa kio hutakosa 2000 kwa wiki 5 una 10,000/- faida kwa mwezi 40,000/- inalipa maji ,umeme na gas.
mi nadhani ni kuishi kwa kiwango chako tu
ndo pale unakuta mtu ana familia lakini kapanga chumba kimoja
no breakfast ni mambo ya pasi ndefu
mtu anaenda gengeni na 2000 anapata lunch kabisa
Unakuwa kama mfugo unafata msusa, kabichi,sukuma wiki, mchicha, kabichiUnamaanisha mboga za majani leo tembele kesho mchcha?
gesi na multcooker basi
mkaa nilishasahau zamani
hapo unazungumzia familia zaidi ya watu sita lakini ya watu wawili na watoto wawili mtungi unapiga miezi miwili maji unalipa buku tano40 kwa mwezi anko....
Gas kwa mwezi ni 50000
Maji 50000 (hapa nimepunguza)
Umeme 30000
Nyingine najaziaje
Ukiwa na mtoto mdogo sukari inakimbia kwenye uji tu 2kg kwa wiki
hata mimi gas mkaa tupa kule japo huku mkaa ni bei rahisi ila kunawatu wakizoeshwa mkaa itasumbua kwa gharama natumia mtungi wa 15 mwezi mmoja na nusu kila kitu yakiwemo maji ya kuogaMmh Hornet feb to june....au unapikia ile mitungi XXXL😁
Mi kila mwezi nanunua gas hiyo ni lazima,
Khaaaaaaa anko maji buku tano mwezi? Labda zile nyumba za wapangaji wengi bill inagawanywahapo unazungumzia familia zaidi ya watu sita lakini ya watu wawili na watoto wawili mtungi unapiga miezi miwili maji unalipa buku tano
umeme buku tano huyu kapanga chumba kimoja
Uongo mzuri uwe na kumbukumbu!!Mkuu una kazi ngapi maana toka nikujue zinafika 20
💯Uongo mzuri uwe na kumbukumbu!!
Bonge la ushauri310,000 mbona inatosha japo ni ngumu kufanya saving,kodi ya chumba na sebule medium quality 60000,umeme na maji 10000,chakula unasaga debe 2 za unga kila debe maximum 15000x2 ni 30000,maharage kilo 5x2000 ni 10000,mchele kilo 20x1200 ni 24000,mafuta Lita 5 ni 25000,mkaa nunua gunia moja 50000,gesi 25000 JUMLA NI 234000 hivyo ukiitoa kwenye 310000 itabaki 76000,suala la afya kata bima ya familia 54000 kwa mwaka,itabaki 22000 hii ya kubadilishia mboga kwa mwezi.Nauli kazini itabidi uwe mdau wa tz 11,suala la mavazi ni anasa,chai asubuhi ni anasa,king'amuzi ni anasa,bia ni anasa,kuhonga ni anasa, kutoa sadaka Mungu ndio anajua hali yako atakusamehe,YAANI KIFUPI UTAISHI KAMA SHETANI au nasema uongo ndugu zangu
Kuna mzazi mmoja alikua analipwa mshahara 180,000 na inatosha majukumu ya kifamilia yote pamoja na kusomesha shule na chakula!inawezekana ila nina watu nafahamu wanalipwa 180,000 kazini anaingia saa 1 asubuhi anatoka saa 12 jion
hapo anaweza kufanya chochote kweli?
kazi za viwandani
kwangu natumia kiasi hicho ndo bili ninayolipa ila nimekuwa mpare kidogoKhaaaaaaa anko maji buku tano mwezi? Labda zile nyumba za wapangaji wengi bill inagawanywa