Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

[emoji3] umenikumbusha kwenye daladala leo nimemgusa mbaba huyo bahati mbaya dah kanikata jicho la hasira hilo [emoji119]
Na unabahat ulikuwa unakula ngumi ya uso [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa dsm 200k kwa mwezi huwezi kuishi ,hata uwe bahili namna gani jaman tuache uongo ,hiyo pesa labda uwe bachelor ,tena usiwe na demu ...


Mengine ni kujidanganya tu kwenye keyboard tu....
 
Na unabahat ulikuwa unakula ngumi ya uso [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa dsm 200k kwa mwezi huwezi kuishi ,hata uwe bahili namna gani jaman tuache uongo ,hiyo pesa labda uwe bachelor ,tena usiwe na demu ...


Mengine ni kujidanganya tu kwenye keyboard tu....
Wee nnavojua kupanic ningemrudishia na mimi😀😀 ila 200k ni ndogo ila ndiyo hivo mkuu inatosha unajibana sanaa
 
Labda nami nijaribu kuswitch kwenye multcooker nimejaribu kupikia maharage dk 45 umeme hata unit 1 haikuisha
Maharage pikia kwenye chupa ya chai zile zenye mfuniko wa mbao, unaweka Asubuhi jioni yanakuwa yameiva au usiku kesho Asubuhi yameiva.
 
kwangu natumia kiasi hicho ndo bili ninayolipa ila nimekuwa mpare kidogo
kwanza marufuku kutumia maji kabla hayajakingwa
vyombo havioshi na maji ya moja kwa moja bombani kwa kuwa kawaida yenu glass imetumika kwa kumpa mgeni mara moja lakini inaweza kuoshwa kwa glass tatu utaratibu huu wengi niliowafundisha wamepunguza gharama kwa zaidi ya 50% pia unapofungua maji fungua yatoke taratibu ili usiruhusu upepo uingie katika bill ya maji upo hapo

Hahahahaha we jamaa utakua mnoko sana home
 
Pesa inahitaji discipline tu,ukishafanikiwa ktk hili pesa lazima ikutoshe . Wengi tunapenda kuishi maisha ambayo yasiyoendana na vipato vyetu.Tunaiga iga tu,unakuta jirani ana kipato cha milion moja na kila siku anabadil mboga bas na wewe mwenye laki tatu unataka ushindane nae , hapa lazma maisha yakushinde tu,laiti tungekua tunajikubali kuishi na kuandaa budget zetu kulingana na kipato tulicho nacho basi wengi tungefika mbali.Unakuta mtoto wa jirani anafanyiwa birthday kila mwaka na wewe unataka uige ili tu usipitwe,lakin wakat huo huo tunasahau kua binadam tunatofautiana vipato.

Kingine ni vipaumbele,yupo mmoja namfaham ye na mkewe kwa mwez wana 2m lakin pia hawalipi kodi wanaisha kwenye nyumba ya kampuni.Hawa vipaumbele vyao ni kula vizuri kuvaa vizuri na gari mda wote iwe full tank,na kuna wakati wanaishiwa ad ada za watoto na wanaishia kwenda kukopa.Wana watoto watatu.Nikisema kula vzr yan mboga zao kwa siku ni lazima nyama samaki maharage na mboga za majan ziwepo.bila kusahau matunda.HIVYO BASI KIPATO CHOCHOTE KIKITUMIKA KWA NIDHAMU MTU UNAPIGA HATUA.KIKUBWA NI KUJIKUBALI NA HALI ULIYO NAYO HUKU UKIMWOMBA MUNGU AZIDI KUKUPA UFAHAMU WA NJIA ZINGINE ZA KUJIONGEZEA KIPATO
 
Ndio maana mimi nikipataga mshahara huwa nausafisha nusu nzima bar kwa siku 2 tatu halafu mambo mengine yaendelee. Ukisema uanze kuupigia hesabu unakuta zinagoma zinagoma.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Tumefanana mkuu[emoji122][emoji122]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom