Je, kweli ni bora kuamini Mungu yupo halafu siku ya mwisho usimkute, kuliko kutoamini halafu ukamkuta?

Je, kweli ni bora kuamini Mungu yupo halafu siku ya mwisho usimkute, kuliko kutoamini halafu ukamkuta?

Mkuu haya maandiko yana hitilafu nyingi ambazo ukisoma utaelewa tu hayaandikwa na Mungu wala watu walioongozwa na Mungu.

Kitabu ambacho kimeandika kuwa mtumwa anapaswa awe mnyenyekevu kwa boss wake ni rahisi kufikiria kuwa aliyeandika ni Slave master mwenyewe.

Kitabu ambacho Mungu anatoa maagizo ya kuangamiza watoto wa uzao wa kwanza wasio na hatia kwasababu tu ya kumkomoa farao, hakiwezi kuwa kimeandikwa na Mungu mwenye upendo wote.
Yaani kama Biblia imewapanga sana watu aiseee, kuna uzi niliuanzisha humu ngoja niutafute nikutag
 
Wapi nimesema kuwa sayansi ndio inayoamua hivi na vile?

Mbona unanipakazia maneno ambayo mimi sijayasema?

Sayansi ni elimu ya iliyozingatia kufanya tafiti kuhusu natural phenomena zilizotuzunguka.

Wapi katika maneno hayo kunafafanua kuwa Sayansi ndio inayoamua hiki na kile??

Unajua kuwa Sayansi inakubali kuwa haipo perfect kwenye tafiti zake na hivyo inatoa mwanya kuruhusu ukosoaji kwa wale wenye majibu mazuri zaidi?

Unaelewa kwamba Sayansi ikisema Cyanide ni kemikali yenye sumu, hakuna maana ni maamuzi yaliyofanywa na watu baada ya kupatikana kwa kura nyingi zilizokubali kuwa ni sumu bali yemyewe inakuwa imetimiza wajibu wake kwa kutoa majibu kulingana na tafiti zilizofanywa?
Yani hayo maelezo yako ndio yanathibitisha nilichokisema jinsi unavyoichukulia sayansi, hebu soma hayo maelezo yako vizuri.

Unaposema sayansi inakubali haipo perfect, mara sayansi inatoa mwanya kuruhusu ukosoaji. Huoni tu unakuwa unaifanya sayansi kama dubwasha fulani hivi?

Sayansi haisemi wala kukosolewa, tafiti za kisayansi zinazofanywa na watu ndio husema hivi au vile na ndio maana unaweza kuzikosoa.
 
Makala hii nitaiweka kwa vipande kuepusha kero ya usomaji.

Moja ya hoja maarufu kutoka kwa watu wanaoamini Mungu (Theists).

Ni hoja ambayo imelenga kuweka matumaini ya mwelekeo katika maisha ili kuwafanya watu waone kuamini Mungu yupo ndio uchaguzi bora zaidi (rational) kwasababu haitakupa matokeo mabaya mwishoni.

Hii ni Analogy iliyopata sana umaarufu miaka ya 1640s na muazilishi aitwaye Pascal Wager.

Huyu jamaa alihoji kuwa ni vyema ukaamini kuwa Mungu yupo ukafa na usimkute kuliko kutokuamini halafu ukafa ukamkuta.

Pascal analaani kuwa kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi kuliko kutokuamini kuwepo kwake, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake. Hii ni kwasababu zifuatazo.

  1. Kama Mungu yupo na tutamwabudu, tutapata thawabu ya milele (kama ushindi mkubwa).
  2. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (kama hasara ndogo).
  3. Kwa upande mwingine, kama Mungu yupo na hatumwamini, tutapata adhabu ya milele (hasara kubwa).
  4. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (ushindi mdogo).

Hivyo, Pascal anasema kwamba kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi, kwasababu unaweza kupata thawabu ya milele na kuepuka adhabu ya milele, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake.

Swali: Je Atheists hawatuogopi siku ya mwisho kukutana na hukumu ya Mungu na kutupwa kwenye moto wa milele?

Hatuogopi kubaini kuwa hadithi za mitume zinazosimuliwa kuhusu Yesu na Muhammad kuwa ni za kweli na kwamba tumepoteza nafasi ya kuishi maisha ya milele peponi kwa kutoamini?

Je isingekuwa vyema Atheists kuwa upande salama wa kumuamini Yesu, Muhammad na Mungu kama backup just in case?
Labda uweke Double chance ( X1, X2 au 12)
 
Makala hii nitaiweka kwa vipande kuepusha kero ya usomaji.

Moja ya hoja maarufu kutoka kwa watu wanaoamini Mungu (Theists).

Ni hoja ambayo imelenga kuweka matumaini ya mwelekeo katika maisha ili kuwafanya watu waone kuamini Mungu yupo ndio uchaguzi bora zaidi (rational) kwasababu haitakupa matokeo mabaya mwishoni.

Hii ni Analogy iliyopata sana umaarufu miaka ya 1640s na muazilishi aitwaye Pascal Wager.

Huyu jamaa alihoji kuwa ni vyema ukaamini kuwa Mungu yupo ukafa na usimkute kuliko kutokuamini halafu ukafa ukamkuta.

Pascal analaani kuwa kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi kuliko kutokuamini kuwepo kwake, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake. Hii ni kwasababu zifuatazo.

  1. Kama Mungu yupo na tutamwabudu, tutapata thawabu ya milele (kama ushindi mkubwa).
  2. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (kama hasara ndogo).
  3. Kwa upande mwingine, kama Mungu yupo na hatumwamini, tutapata adhabu ya milele (hasara kubwa).
  4. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (ushindi mdogo).

Hivyo, Pascal anasema kwamba kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi, kwasababu unaweza kupata thawabu ya milele na kuepuka adhabu ya milele, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake.

Swali: Je Atheists hawatuogopi siku ya mwisho kukutana na hukumu ya Mungu na kutupwa kwenye moto wa milele?

Hatuogopi kubaini kuwa hadithi za mitume zinazosimuliwa kuhusu Yesu na Muhammad kuwa ni za kweli na kwamba tumepoteza nafasi ya kuishi maisha ya milele peponi kwa kutoamini?

Je isingekuwa vyema Atheists kuwa upande salama wa kumuamini Yesu, Muhammad na Mungu kama backup just in case?
Tuamini yupo Mungu,Imani ni bayana kwa mambo yasioonekana kwa macho,lakini ni dhahiri kama vile upepo uvumavyo kutoka kusini kwenda kaskazini au magharibi kwenda mashariki .Hatuuoni ila tunahisi!
 
Kujua ni bora zaidi kuliko kuamini.

Kwa nini huyo Mungu ajifiche na aachie watu wakisie uwepo wake ilhali angeweza tu kujitokeza na wote tukamjua?
Kinachotangulia ni elimu inayohusu Mungu uisikie akili ielewe, baada ya kujua imani inazaliwa moyoni,
"Chanzo cha imani ni kusikia neno la Kristo" Rum 10:17.
 
Makala hii nitaiweka kwa vipande kuepusha kero ya usomaji.

Moja ya hoja maarufu kutoka kwa watu wanaoamini Mungu (Theists).

Ni hoja ambayo imelenga kuweka matumaini ya mwelekeo katika maisha ili kuwafanya watu waone kuamini Mungu yupo ndio uchaguzi bora zaidi (rational) kwasababu haitakupa matokeo mabaya mwishoni.

Hii ni Analogy iliyopata sana umaarufu miaka ya 1640s na muazilishi aitwaye Pascal Wager.

Huyu jamaa alihoji kuwa ni vyema ukaamini kuwa Mungu yupo ukafa na usimkute kuliko kutokuamini halafu ukafa ukamkuta.

Pascal analaani kuwa kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi kuliko kutokuamini kuwepo kwake, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake. Hii ni kwasababu zifuatazo.

  1. Kama Mungu yupo na tutamwabudu, tutapata thawabu ya milele (kama ushindi mkubwa).
  2. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (kama hasara ndogo).
  3. Kwa upande mwingine, kama Mungu yupo na hatumwamini, tutapata adhabu ya milele (hasara kubwa).
  4. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (ushindi mdogo).

Hivyo, Pascal anasema kwamba kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi, kwasababu unaweza kupata thawabu ya milele na kuepuka adhabu ya milele, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake.

Swali: Je Atheists hawatuogopi siku ya mwisho kukutana na hukumu ya Mungu na kutupwa kwenye moto wa milele?

Hatuogopi kubaini kuwa hadithi za mitume zinazosimuliwa kuhusu Yesu na Muhammad kuwa ni za kweli na kwamba tumepoteza nafasi ya kuishi maisha ya milele peponi kwa kutoamini?

Je isingekuwa vyema Atheists kuwa upande salama wa kumuamini Yesu, Muhammad na Mungu kama backup just in case?
Maswali umeyacomplicate sababu unamweka Mungu kama mtu mwenye mwili.Lakini sio hivyo, Mungu ni Roho hawezi kuonekana kwa macho anaonekana kwa imani kwa wale waloamua kuongozwa na neno lake.Hivyo hakuna sababu ya kubet kama yupo au hayupo kwani imani yako itadhirisha kuwa Mungu ni Bwana,
 
Makala hii nitaiweka kwa vipande kuepusha kero ya usomaji.

Moja ya hoja maarufu kutoka kwa watu wanaoamini Mungu (Theists).

Ni hoja ambayo imelenga kuweka matumaini ya mwelekeo katika maisha ili kuwafanya watu waone kuamini Mungu yupo ndio uchaguzi bora zaidi (rational) kwasababu haitakupa matokeo mabaya mwishoni.

Hii ni Analogy iliyopata sana umaarufu miaka ya 1640s na muazilishi aitwaye Pascal Wager.

Huyu jamaa alihoji kuwa ni vyema ukaamini kuwa Mungu yupo ukafa na usimkute kuliko kutokuamini halafu ukafa ukamkuta.

Pascal analaani kuwa kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi kuliko kutokuamini kuwepo kwake, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake. Hii ni kwasababu zifuatazo.

  1. Kama Mungu yupo na tutamwabudu, tutapata thawabu ya milele (kama ushindi mkubwa).
  2. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (kama hasara ndogo).
  3. Kwa upande mwingine, kama Mungu yupo na hatumwamini, tutapata adhabu ya milele (hasara kubwa).
  4. Lakini kama Mungu hayupo na hatumwamini, hatutapata chochote (ushindi mdogo).

Hivyo, Pascal anasema kwamba kuamini kuwepo kwa Mungu ni tendo la busara zaidi, kwasababu unaweza kupata thawabu ya milele na kuepuka adhabu ya milele, hata kama hatuna uhakika kuhusu kuwepo kwake.

Swali: Je Atheists hawatuogopi siku ya mwisho kukutana na hukumu ya Mungu na kutupwa kwenye moto wa milele?

Hatuogopi kubaini kuwa hadithi za mitume zinazosimuliwa kuhusu Yesu na Muhammad kuwa ni za kweli na kwamba tumepoteza nafasi ya kuishi maisha ya milele peponi kwa kutoamini?

Je isingekuwa vyema Atheists kuwa upande salama wa kumuamini Yesu, Muhammad na Mungu kama backup just in case?
Ukiamini Mungu yupo ili tu ikitokea kweli yupo u-save, hiyo si imani ya kweli, utakuwa unapoteza muda wako.

Ili kumpendeza Mungu lazima uwe na imani ya kweli kwamba yupo, siokuamini kwa namna ya kujikatia insurance ili kama yupo utoboe siku ya mwisho!
 
Yani wewe hubadilikagi ni mzito kuelewa.

Hivi wewe unaweza kufananisha ngono inayofanywa na wacheza filamu za ngono na ngono inayofanywa na watu wa kawaida katika faragha? Lengo la ngono ni kufanya kama maonesho hadharani?
Kwani ngono ya wacheza filamu huwa haihusishi penetration of sex organ?
 
Wewe ndio hujanielewa mimi, hata sijui hayo maelezo unanielezea mimi kwa maana gani?

Hakuna naposema kuwa dawa za asili zinapigwa na sayansi maana naona maelezo yako ndio yanaeleza hivyo, nachosema ni kutokuwepo na tafiti za kisayansi au kutokuwa na maelezo ya kisayansi kwa baadhi ya dawa au tiba ila ijapokuwa watu hutumia na kupona.

Na si dawa za asili tu hata sasa kuna vitu vyenye kudaiwa kuwa na faida mbalimbali za kiafya ila hakuna ushahidi wa kisayansi kusapoti hayo madai, hicho ndio nachozungumzia mimi hapa.
Kwanza unatakiwa kujua kuwa Sayansi haisemi kuwa inajua kila kitu.

Pili Sayansi ilisha set standard zake za namna inavyo operate kwa hiyo huwezi kuona inatoka kwenye njia kwa ajili ya ku feed ego za watu. Na ndio maana utaona wapo wanasayansi wana amini Mungu yupo lakini sio Sayansi.

Kitu cha tatu ambacho naweza kukuongezea kama ziada kuhusu dawa za asili nyingi zinatoka katika mazingira ya kitamaduni sehemu ambayo Sayansi haija take over na hutumika kwa asilimia kubwa katika mazingira hayo hayo. Ulitegemea kuiona wanasayansi wanazunguka kila kona kufanya utafiti wa hizo dawa?

Kusema kwamba kuna dawa zinatibu na watu wanapona ila hakuna maelezo ya kisayansi, its like kusema mauaji ya albino kama kafara ya kujitajirisha yamekosa uthibitisho wa kisayansi ila kuna watu wanaua Allbino na wanapata hela.
 
Maswali umeyacomplicate sababu unamweka Mungu kama mtu mwenye mwili.Lakini sio hivyo, Mungu ni Roho hawezi kuonekana kwa macho anaonekana kwa imani kwa wale waloamua kuongozwa na neno lake.Hivyo hakuna sababu ya kubet kama yupo au hayupo kwani imani yako itadhirisha kuwa Mungu ni Bwana,
Unaweza kuthibitisha huyo Mungu yupo?
 
Kwanza unatakiwa kujua kuwa Sayansi haisemi kuwa inajua kila kitu.

Pili Sayansi ilisha set standard zake za namna inavyo operate kwa hiyo huwezi kuona inatoka kwenye njia kwa ajili ya ku feed ego za watu. Na ndio maana utaona wapo wanasayansi wana amini Mungu yupo lakini sio Sayansi.

Kitu cha tatu ambacho naweza kukuongezea kama ziada kuhusu dawa za asili nyingi zinatoka katika mazingira ya kitamaduni sehemu ambayo Sayansi haija take over na hutumika kwa asilimia kubwa katika mazingira hayo hayo. Ulitegemea kuiona wanasayansi wanazunguka kila kona kufanya utafiti wa hizo dawa?

Kusema kwamba kuna dawa zinatibu na watu wanapona ila hakuna maelezo ya kisayansi, its like kusema mauaji ya albino kama kafara ya kujitajirisha yamekosa uthibitisho wa kisayansi ila kuna watu wanaua Allbino na wanapata hela.
Duh! Mkuu ni hoja ipi hapa ambayo unanipinga kwenye hili suala la sayansi? Labda hapo ndio nitajua nikueleweshe vp maana naona naeleza kitu ambacho umeshindwa kabisa kielewa.
 
Back
Top Bottom