Tutaoana kwa manufaa ya dunia asili haijawahi kudanganya😊Sasa itakuwaje? 🤣 Unaujua ule msemo wa “hata tukibali wawili duniani hatuwezi kuoana?
Tutabaki kutembeleana. Umeangalia series inaitwa The last man on earth?
Tabia ya mtu inategemea vitu vingi alivyopitia maishani wapo baadhi ya Single father's wako vizuri kabisa na wapo wa ovyo kwa hio hatuwezi kuleta experience katika maisha ya mtu ,kwakuwa wamependana waache waenjoyNatumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Mimi tangu nimejunza kwamba mapenzi sio suala la kulipa kipaumbele na kulichukulia siriaz maisha yangu yamekua ya amani na progress ya maendeleo yangu naionaAnhaa kum
😀😀 Kumbe na wewe umewahi kuoa ?
Dah ni kweli naona ni kazi kweli maana hata Mimi hata nikipata demu yeyote lazima nianze kumfananisha na mke wangu wa zamani hasa usafi ,kauli nzuri ni hapo najikuta naachana na wengi sababu nilishamzoea yule kitabia na kisosholojia inakuwa ngumu kukubali tabia mpya za mdada mwingine .
Ila najipa Imani nitafanikiwa kufit kwenye life la mtoto wa mtu ,few days
Hebu fanya kuvileta haraka Ndio mitoko yangu sitanii🤣🤣🤣🤣🤣😅tunaweza kushare pia@min-meUnajua nitakuletea kweli wewe fanya utani tu mama mchunga wangu🤔🤔🤔
Tembea uone Kaka ,Kuna kakabila kadogo nadhwanau
Wanaume hatusemagi hivyo,wanawake ndio sana,kwa mwanaume labda awe punguwani,
kabila gani hili mkuu,na pole kwa maswahibu,eh,watoto wana mkana baba ?watu mnapita mazito jamani,atakuwa mchaga huyo maana ndio mbanga zao hizo
Hongera mdogo wangu ,Tuendeleze mapambanoMimi tangu nimejunza kwamba mapenzi sio suala la kulipa kipaumbele na kulichukulia siriaz maisha yangu yamekua ya amani na progress ya maendeleo yangu naiona
Yako poa hayana shidaIna shida gani tena?na why hujaniambia "I love you so bad Dady zulu,i might just black out though?et binti yangu?
😊😉
Natumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapo
Mwanamke hajawahi kueleweka anataka nini. Kile kinachokosekana ndani ya nyumba ndicho kinachompagawishamwanaume aliyewahi kuoa ni mubaba. Si mnasemaga wababaz ndio wanajua kulea, hamtaki fresh from school
Umenasa tuje kukunasua au?It depends na nn mkuu
Yaan anakua na familia 2 kwa wakati mmoja moja kaiacha nyingine kaoa kwa hio kuna wakati anaenda kupasha misulimwanaume aliyewahi kuoa ni mubaba. Si mnasemaga wababaz ndio wanajua kulea, hamtaki fresh from school
Mimi toka nimechomoka kwa yule nahisi kama nimetoka gereza la ADX Florence la huko colorado , yani mtato wa mtu anikiambia habari za kumuoa ninashtuka sana kwa kwel😂😂
Hii imeenda sisAsante kwa kuniita Mamdogo. Eksipiriense zinatofautiana.
Kwenye group la mashost zangu walioolewa; Shogaetu aliyeolewa na bwana (muislamu) Aliyewahi kuoa akadivorce with 3 kids ndio our best couple so far. Wana struggle zao chache tu, Mwanaume ni Muislamu, dada ni mkristo amebadilisha dini kumfuata mume, so kuna vitu bado wanaeleweshana otherwise hawana matatizo kivileeee , wameongeza watoto wawili so wanao watano hadi sasa, na kapesa kapo. Ukiwajua vizuri unajua kabisa upendo unaishi mule.
My take: Aliyewahi kuoa/kuolewa ahakikishe ameheal trauma za first marriage, na awe na uhakika kama anataka second marriage things will be easier. Na sijui sana kama age range yao has something to do with their life style, Wako late 40’s na earlier 30’s, Mwanaume leads everything, dada ana amani and as much as i know, hakuna drama ya former wife/baby mama.
Shemeji etu ate it! 👌
Sasa huu ni mfano mmoja tu wa my very own best-shost, Wengine wanaweza kuwa na ekspiriensi tofauti.
Nilitaka kufahamu hiz situation zinakuaje mimi pia ndio kinara wa kwanza kubembeleza amuelewe mumewe nafurahi kuwaona wakiwa pamojaTabia ya mtu inategemea vitu vingi alivyopitia maishani wapo baadhi ya Single father's wako vizuri kabisa na wapo wa ovyo kwa hio hatuwezi kuleta experience katika maisha ya mtu ,kwakuwa wamependana waache waenjoy
Na sisi matapeli huwa tuna jua kubembeleza hatari🤗Nilitaka kufahamu hiz situation zinakuaje mimi pia ndio kinara wa kwanza kubembeleza amuelewe mumewe nafurahi kuwaona wakiwa pamoja
Lengo Lilikuwa ni kutaka kufahamu tu inakuwaje hii
Hapana wewe sio tapeli madam 😂Kwahiyo mm tapeli 😂😂
It depends kwa maana ya experience aloipata kule alikokuwa,mtazamo wake ukoje baada yakutoka,mfano kuna wanaume wenye kuropoka Kwa mke mpya Kama kusema yule alikuwa hivi au vile tena kwa kumsifia kwa huyu mpya,kitu ambacho si kizuri hata kidogo!!,hayo yapo hata kwa wanawake waloachika au kufiwa na walokuwa wame zao,tabia mbaya sana hii!!,inapelelea ndoa mpya kukosa radha itakiwayo,ugomvi nk,haifai kujilinganisha na mwingine maana watu hatufanani ati,, mwenzako anaweza kkuona ovyo!!,sio sifa kusema hayo usemayo.Natumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Kabisa yaani hii ni changamoto unaangalia madhaifu ya mwingine Ili kumlinganisha na mwingineIt depends kwa maana ya experience aloipata kule alikokuwa,mtazamo wake ukoje baada yakutoka,mfano kuna wanaume wenye kuropoka Kwa mke mpya Kama kusema yule alikuwa hivi au vile tena kwa kumsifia kwa huyu mpya,kitu ambacho si kizuri hata kidogo!!,hayo yapo hata kwa wanawake waloachika au kufiwa na walokuwa wame zao,tabia mbaya sana hii!!,inapelelea ndoa mpya kukosa radha itakiwayo,ugomvi nk,haifai kujilinganisha na mwingine maana watu hatufanani ati,, mwenzako anaweza kkuona ovyo!!,sio sifa kusema hayo usemayo.