Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Ni kweli tumekengeuka ila
Wapo walioona kabisa na ndoa zikavunjika ndio Hawa tunaozungumzia
"...mke/mume mwema atoke kwa Mungu...." Kuna namna pia huwa tunakoseaga hapa. Kweli kwa macho uliona he/she is a good spouse material kabisa LAKINI kumbe hakuwa wa kwako wewe. Nikupe mfano rahisi, unaamini waweza fanya jambo sahihi kwa wakati USIO sahihi na mahali SIO sahihi na vice versa is true pia. Kweli restaurants ni mahali pa kula msosi, BUT ukiinuka saa tisa usiku kwamba nataka kula ukaenda then yakakukuta njiani then ulipatia kutaka kwenda kula BUT muda haukuwa sahihi though mahali palikua sahihi. Ukiitafakari hii pia labda ni moja ya sababu, though sometimes ni shetani tu anapenda hangaisha watu, kwahiyo tumkemee na kumfukuza kwa Jina la Yesu.
 
"...mke/mume mwema atoke kwa Mungu...." Kuna namna pia huwa tunakoseaga hapa. Kweli kwa macho uliona he/she is a good spouse material kabisa LAKINI kumbe hakuwa wa kwako wewe. Nikupe mfano rahisi, unaamini waweza fanya jambo sahihi kwa wakati USIO sahihi na mahali SIO sahihi na vice versa is true pia. Kweli restaurants ni mahali pa kula msosi, BUT ukiinuka saa tisa usiku kwamba nataka kula ukaenda then yakakukuta njiani then ulipatia kutaka kwenda kula BUT muda haukuwa sahihi though mahali palikua sahihi. Ukiitafakari hii pia labda ni moja ya sababu, though sometimes ni shetani tu anapenda hangaisha watu, kwahiyo tumkemee na kumfukuza kwa Jina la Yesu.
🤔🤔🤔😅
 
Natumaini mkopoa?

Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa

Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa

Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa

Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu

Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Mkuu huyo jamaa anayetaka kukuoa aliachana na mke wake wa kwanza au mke wake alifariki na ana watoto wa ngapi na huyo mke wa kwanza ambaye hujatuambia kama aliachana naye au alitangulia mbele ya haki.
NB: Kuwa mama nzuri wa kambo, usije ukawasanyanyasa watoto wa mke mwenzako, mungu hapendi.
 
Kama Una New model tena Ya china Ushaur Wetu Wa nn!! Anatakiwa Mihanga hapa ndio Tuumize Vichwa
Anavunja ndoa ya mtu halafu jamaa akitaka kumwoa anakuja kuomba ushauri, mbona hajatuambia kuwa alikuwa anafanya mahaba pori na huyo jamaa.
 
Back
Top Bottom