Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee nimechekaaaaa🤣🤣🤣🤣Kwa nilikopita, nikipata mume tunaeendana haki tena nitamtunza kama lulu.
😂😂Huu ni mjadala huyo mume wangu Yuko wapi hapo
Umejuaje😂mambo ya ndoa ni pata potea full stop 😁
"...mke/mume mwema atoke kwa Mungu...." Kuna namna pia huwa tunakoseaga hapa. Kweli kwa macho uliona he/she is a good spouse material kabisa LAKINI kumbe hakuwa wa kwako wewe. Nikupe mfano rahisi, unaamini waweza fanya jambo sahihi kwa wakati USIO sahihi na mahali SIO sahihi na vice versa is true pia. Kweli restaurants ni mahali pa kula msosi, BUT ukiinuka saa tisa usiku kwamba nataka kula ukaenda then yakakukuta njiani then ulipatia kutaka kwenda kula BUT muda haukuwa sahihi though mahali palikua sahihi. Ukiitafakari hii pia labda ni moja ya sababu, though sometimes ni shetani tu anapenda hangaisha watu, kwahiyo tumkemee na kumfukuza kwa Jina la Yesu.Ni kweli tumekengeuka ila
Wapo walioona kabisa na ndoa zikavunjika ndio Hawa tunaozungumzia
🤔🤔🤔😅"...mke/mume mwema atoke kwa Mungu...." Kuna namna pia huwa tunakoseaga hapa. Kweli kwa macho uliona he/she is a good spouse material kabisa LAKINI kumbe hakuwa wa kwako wewe. Nikupe mfano rahisi, unaamini waweza fanya jambo sahihi kwa wakati USIO sahihi na mahali SIO sahihi na vice versa is true pia. Kweli restaurants ni mahali pa kula msosi, BUT ukiinuka saa tisa usiku kwamba nataka kula ukaenda then yakakukuta njiani then ulipatia kutaka kwenda kula BUT muda haukuwa sahihi though mahali palikua sahihi. Ukiitafakari hii pia labda ni moja ya sababu, though sometimes ni shetani tu anapenda hangaisha watu, kwahiyo tumkemee na kumfukuza kwa Jina la Yesu.
Unayewindwa kuolewa ni wewe, unasingizia rafiki yako.Hapo nimekuelewa Sasa
Ikitokea kuwa na mwanaume wa namna hii vipi unaweza kumuweka kwenye mstari maybe mwanamke kama ana weakness au huyu mwanaume analinganisha mwanzo na Sasa hiv
Mkuu huyo jamaa anayetaka kukuoa aliachana na mke wake wa kwanza au mke wake alifariki na ana watoto wa ngapi na huyo mke wa kwanza ambaye hujatuambia kama aliachana naye au alitangulia mbele ya haki.Natumaini mkopoa?
Katika piatapita zangu nikakutana na mada Kwamba mwanamke kama hujawahi kuolewa bas usikubali kuolewa na mtu ambae alishawahi kuoa ama Kuishi na mwanamke Yani hata wale waliowahi Kuishi pamoja bila ndoa
Rafikiyangu ameolewa na mwanaume wa aina hiyo ambae alishakuwa na mke na ana watoto before hajamuoa
Katika mazungumzo yetu mara nyingi Huwa anasema ni ngumu Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa ikiwa mwanamke pia hukuwah kuolewa
Mara ya pili akarudia neno hilo Hilo
Sikutaka kuhoji sana sababu nilishasikia mahali nimeona niliweke hapa Kwa wataalamu na watu wenye uzoefu
Je ni kweli Kuishi na mwanaume aliewahi kuoa au Kuishi na mwanamke ni changamoto?
Huwa wapoje Hawa watu ambao ndoa zao za mwanzo zimevunjika
Mhm halafu huwa na kutag Mara nyingi nashindwa speel za jina lako mpishi wetu 😅😅😅😅😅Sawa shukrani Kwa mchango wako
Kama Una New model tena Ya china Ushaur Wetu Wa nn!! Anatakiwa Mihanga hapa ndio Tuumize VichwaHapna hata sio dear
Mimi Nina new model kutoka china 😂😂
Anavunja ndoa ya mtu halafu jamaa akitaka kumwoa anakuja kuomba ushauri, mbona hajatuambia kuwa alikuwa anafanya mahaba pori na huyo jamaa.Kama Una New model tena Ya china Ushaur Wetu Wa nn!! Anatakiwa Mihanga hapa ndio Tuumize Vichwa