Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Imekaa poa sana
Ikiwa mmoja anataka kubadilika ila mwingine ni mgumu inakuwaje mfano
Imepitia kwenye mkasa wa rafikiyangu anampenda sana mumewe ila sio mtu wa kujali Wala kumsaidia japo mwanamke anatumiza majukumu yake pia Kuna Ile akimkosea anadai atamuacha kama mwenzio
Mtu kma huyu unaishi nae vipi?

Vitu vingi sana vinapelekea watu kubadilika, na hasa upendo ukipoa, hapo ndio uvumilivu huisha, unaanza kuyaona mapungufu ya mwenza wako.

Kikubwa ikiwa mmoja atabahatika kuona kwamba vitu haviko sawa akaamua kujitoa muhanga kunusuru ndoa/ mahusiano, inaweza kusaidia badala ya wote kuingia kwenye mashindano ya kukomoana au kuchoka kuendelea kuwa mwema Kwa kuona hakuna mabadiliko upande wa pili.

Kuna vitu kama vingezungumzwa, unawezagundua kumbe ni mtizamo tu tofauti wa jambo ambalo halipo kama mnavyolichukulia ila mmeamua kunyamaziana au kuingiza chuki ikafanya ugomvi uzidi kumlea na kuleta madhara zaidi.

Narudia tena, watu wanabadilika kutokana na sababu tofauti tofauti na mazingira wanayokutana nayo, kikubwa hakikisha mna mazingira Rafiki ya kuweza kuongea na kuzungumza mambo yenu. Na usimuwazie hasi mwenzio wako, wakati huo huo uamue kuwa sehemu ya suluhu ya kunusuru mahusiano.

Ukiamua kumchukulia mtu ni mmvaya au ana kasoro nyingi, hautaona jema hata Moja Kwa huyo mtu.

Mwambie huyo Rafiki Yako shida inaweza kuwa sio yeye ila ni kipindi anachopitia mwenza wake, ajaribu Kwa upole kuonyesha kwamba anaona mabadiliko kwenye mahusiano Yao na Yuko tayari kujadili kuepusha intimacy kupotea.

Mwisho kabisa. Natamani wanaume tungekua nasisi tuna vikao vyetu kukumbushana namna Bora ya kuwa wapenzi Kwa wake zetu. Tunajisahau mno, ilimradi unahudumia familia na kufanya mambo ya msingi, unaona inatosha lakini kumbe wake zetu Wana mahitaji ya kihisia na kupendwa kuliko hata vitu vikubwa tunavyofanya.

Unakuta haukumbuki Mara ya mwisho tulimnunulia lini zawadi au kumdanyia kitu maalum Mke wako kuonyesha upendo wako kwake, na hatuoni ni tatizo. Basi hata mlitoka wote lini mkaenda mahali pamoja mkawa na muda wakufueahia, hakuna. Tokea enzi za uchumba na baada ya siku za awali za ndoa mambo mengi yamepoa na sie waume hatuoni ni tatizo.

Nimejikuta naandika mambo mengi hata sijui kama nimegusa Kwa ufasaha swali ulilouliza.

Kwa kumalizia, hakuna user guide au instraction manual ya mahusiano, bado haijatoka.
 
Vitu vingi sana vinapelekea watu kubadilika, na hasa upendo ukipoa, hapo ndio uvumilivu huisha, unaanza kuyaona mapungufu ya mwenza wako.

Kikubwa ikiwa mmoja atabahatika kuona kwamba vitu haviko sawa akaamua kujitoa muhanga kunusuru ndoa/ mahusiano, inaweza kusaidia badala ya wote kuingia kwenye mashindano ya kukomoana au kuchoka kuendelea kuwa mwema Kwa kuona hakuna mabadiliko upande wa pili.

Kuna vitu kama vingezungumzwa, unawezagundua kumbe ni mtizamo tu tofauti wa jambo ambalo halipo kama mnavyolichukulia ila mmeamua kunyamaziana au kuingiza chuki ikafanya ugomvi uzidi kumlea na kuleta madhara zaidi.

Narudia tena, watu wanabadilika kutokana na sababu tofauti tofauti na mazingira wanayokutana nayo, kikubwa hakikisha mna mazingira Rafiki ya kuweza kuongea na kuzungumza mambo yenu. Na usimuwazie hasi mwenzio wako, wakati huo huo uamue kuwa sehemu ya suluhu ya kunusuru mahusiano.

Ukiamua kumchukulia mtu ni mmvaya au ana kasoro nyingi, hautaona jema hata Moja Kwa huyo mtu.

Mwambie huyo Rafiki Yako shida inaweza kuwa sio yeye ila ni kipindi anachopitia mwenza wake, ajaribu Kwa upole kuonyesha kwamba anaona mabadiliko kwenye mahusiano Yao na Yuko tayari kujadili kuepusha intimacy kupotea.

Mwisho kabisa. Natamani wanaume tungekua nasisi tuna vikao vyetu kukumbushana namna Bora ya kuwa wapenzi Kwa wake zetu. Tunajisahau mno, ilimradi unahudumia familia na kufanya mambo ya msingi, unaona inatosha lakini kumbe wake zetu Wana mahitaji ya kihisia na kupendwa kuliko hata vitu vikubwa tunavyofanya.

Unakuta haukumbuki Mara ya mwisho tulimnunulia lini zawadi au kumdanyia kitu maalum Mke wako kuonyesha upendo wako kwake, na hatuoni ni tatizo. Basi hata mlitoka wote lini mkaenda mahali pamoja mkawa na muda wakufueahia, hakuna. Tokea enzi za uchumba na baada ya siku za awali za ndoa mambo mengi yamepoa na sie waume hatuoni ni tatizo.

Nimejikuta naandika mambo mengi hata sijui kama nimegusa Kwa ufasaha swali ulilouliza.

Kwa kumalizia, hakuna user guide au instraction manual ya mahusiano, bado haijatoka.
Upo sahihi umeeleweka vizuri
So mahusiano ni kujitoa na kuelewana na hapo kwenye kumuwazia mabaya mwenzio ndio sehemu kubwa ya maisha yetu vijana sio ndoa tu hata mahusiano

Wengi hatukubali kuwa positive kwenye mambo mengi ni kuwaza mabaya tu
 
le
Inategemea alitokaje huko, anaweza chukua mda sana kukuamini, ili ukikaa naye kwa uvumilivu na upendo wa kweli, baadae atakutendea mema sana!

Mtu ambaye katoka huko kapatiwa matatizo anakujia akiwa makini, lakini mwanamke akitulia na kumwomyesha tumaini, anatulia haswa!

Shida ni: Kweli utaweza mngoja apone? Maana Amekaa mguu sawa kwa umakini asiingie kwenye mazingira aliyotoka!

Ila ni muhimu sana kujua:

1. Katokaje huko.
2. Je ni mke wa ngapi?
3. Lazima awe financial stable ( watoto)
4. Lazima aweke Msingi mzuri
Lete linamba nikutumie chochote ukanywe wine
 
Mkuu pia x wife wangu alikua anasema kama huyo bibie ila mwisho wa siku zilikua kampeni tu😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Kumbe ndio walivyo...kampeni za kupata cheo cha uwife. Wakishapata cheo wanabadilika.
So ata Kelsea ananipiga somjo kusema kuwa anahitaji anaheweza hudumia familia. Nikishamuweka ndani atasaka tall dark and handsome 🤣🤣🤣🤣
 
wanau
Sema ukimtendea baya akikumbuka wema wa x mkewe umekwisha
Utaskia ni bora hata yule Alkuwa hv na hv ohooo
Wanaume hatusemagi hivyo,wanawake ndio sana,kwa mwanaume labda awe punguwani,
Shukuru Kama uliachwa salama Kaka.
Mwenzako nilinyang'anywa watoto na bado Mali za baba yangu na zangu zikagawiwa Kati wanasema 50/50 basi miezi miwili toka anipige naa kitu kizito nikadakwa na kesi za udokozi kazini ,nikasota jela mzee .

Natoka naambiwa Mimi sio baba wa wale watoto eti baba yao yupo ukicheki mitoto imerithi mpaka meno na kuongea ila bado alisema si wangu na watoto wakanikana kabisa Mimi si baba yao .

Kaka nilipowaza kuanza harakati za DNA na majanga nilipitia nikaamua kumuachia ushindi wake .

Sasa nipo mwenyewe Kama kinda aliyekosa mama no family no parents bad enough no relative naishi ili nisife ila Sina Raha nimejaribu kufuga paka na mbwa walau wawe ndugu zangu na wafariji ila mbwa naye kanisaliti amehamia kwa jirani kufuata wanawake ,hivyo ndugu ni paka wangu ,nicotine .

Japo bado naaamini kwenye mahusiano ila sikatai kuwa nilikosea kuoa lile kabila .
Ni hivyo bro ,jipe Imani kesho ni njema bado wanawake wazuri wapo na wabaya wapo kaka
kabila gani hili mkuu,na pole kwa maswahibu,eh,watoto wana mkana baba ?watu mnapita mazito jamani,atakuwa mchaga huyo maana ndio mbanga zao hizo
 
Halafu Bora, mwambie mi sitaki kumuita Meku, wala Lelo. kwanini aniite Mura😏 nitakata pua yake uyo tell her oooho
Kumbe wewe ni mura😂😂😂😂
1708525283213.jpg
 
Back
Top Bottom