min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hapana kunyooshwa kwa namna ile ilikua ngumu zaidi 🤔🤔Kumbe umewahi kuoa!!! Kunyooshwa kuko pale palee shindikana🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kunyooshwa kwa namna ile ilikua ngumu zaidi 🤔🤔Kumbe umewahi kuoa!!! Kunyooshwa kuko pale palee shindikana🤣🤣🤣
Pika Leo halafu uziunguze kidogo 😄hahaha hiyo kichwa yako duh
Ni kweli tumekengeuka ilaHakuna formula dada maakuli, oa au olewa na mtu sahihi, aliyekupangia mola. Sema sikuhizi tunajifungisha ndoa mkeka wenyewe kwanza, baadae ndo tunazirasimisha na kuhalalisha. Only if tungemsikilizaga Mungu na kujiepusha na zinaa, yote haya yasingekuwapo.
Asante kwa somoKuishi na mwanaume aliyewahi kuoa si rahisi kweli IKIWA bado anashikilia mambo na hisia za ndoa iliyopita/awali
asante pia binti yangu wa kwanza na pekee.Asante kwa somo
Kwahiyo kiko kikikufikia mambo yatakuwa mepesi ?Hahaha..............sio rahisi kama Kiko haijanifikia 😜
Hii sentensi hii daa basi tu 😍na😪asante pia binti yangu wa kwanza na pekee.
Hapo uhakika, nitajua namna ya kumshawishi Mjukuu 😜Kwahiyo kiko kikikufikia mambo yatakuwa mepesi ?
Ina shida gani tena?na why hujaniambia "I love you so bad Dady zulu,i might just black out though?et binti yangu?Hii sentensi hii daa basi tu 😍na😪
Hapo uhakika, nitajua namna ya kumshawishi Mjukuu 😜
Kwa kiwango gani mkuu hakuna mkamilifu
Hebu wekeni mbinu hapa
Mama mchungaji haujambo?Hii sentensi hii daa basi tu 😍na😪
Hii ndio point.Hakuna formula dada maakuli, oa au olewa na mtu sahihi, aliyekupangia mola. Sema sikuhizi tunajifungisha ndoa mkeka wenyewe kwanza, baadae ndo tunazirasimisha na kuhalalisha. Only if tungemsikilizaga Mungu na kujiepusha na zinaa, yote haya yasingekuwapo.
Utaenda kuomba wapi,ethical clearance ya utafiti wako?Miss Aaliyyah mambo ?
Kwanza sina experience na hili jambo lakini nakuahidi kulifanyia utafiti ili nipate uhakika. Halafu nitaweka mrejesho.