Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Je, kweli ni ngumu kuishi na mwanaume aliyewahi kuoa?

Tangu awali imeandikwa na kushauriwa watu wote mume na Mke wakutane wote wakiwa hawajawahi kuwa kwenye mahusiano.

Anawezakuwa haijawahi kuoa au kuwa mwenye ndoa lakini ameshakua kwenye mahusiano na wanawake kadhaa. Huyo unamuweka kundi Gani?

Nnachosema ni kwamba, Kila kitu kina faida na hasara, mwenye kuwahi kuishi na mwanamke anawezakuwa na uzoefu na kiwango Cha ukomavu na asiwe na baadhi kero ndogondogo.

Kwa upande mwingine kumbukumbu za Mke wa awali zinaweza kuwa mwiba kwenye mahusiano Kwa maana ya kulinganisha.

Kikubwa ni nyie wahusika mnaiva na kuendana Kwa kiasi gani. Mnaweza kuitengeneza maisha yasiyotegemea mahusiano yoyote ya awali.
 
Tangu awali imeandikwa na kushauriwa watu wote mume na Mke wakutane wote wakiwa hawajawahi kuwa kwenye mahusiano.

Anawezakuwa haijawahi kuoa au kuwa mwenye ndoa lakini ameshakua kwenye mahusiano na wanawake kadhaa. Huyo unamuweka kundi Gani?

Nnachosema ni kwamba, Kila kitu kina faida na hasara, mwenye kuwahi kuishi na mwanamke anawezakuwa na uzoefu na kiwango Cha ukomavu na asiwe na baadhi kero ndogondogo.

Kwa upande mwingine kumbukumbu za Mke wa awali zinaweza kuwa mwiba kwenye mahusiano Kwa maana ya kulinganisha.

Kikubwa ni nyie wahusika mnaiva na kuendana Kwa kiasi gani. Mnaweza kuitengeneza maisha yasiyotegemea mahusiano yoyote ya awali.
Bottom line mahusiano kwa sasa hayawezi kjwa shwari maana wahusika wanakuwa na emotions attached kwengine
 
Tangu awali imeandikwa na kushauriwa watu wote mume na Mke wakutane wote wakiwa hawajawahi kuwa kwenye mahusiano.

Anawezakuwa haijawahi kuoa au kuwa mwenye ndoa lakini ameshakua kwenye mahusiano na wanawake kadhaa. Huyo unamuweka kundi Gani?

Nnachosema ni kwamba, Kila kitu kina faida na hasara, mwenye kuwahi kuishi na mwanamke anawezakuwa na uzoefu na kiwango Cha ukomavu na asiwe na baadhi kero ndogondogo.

Kwa upande mwingine kumbukumbu za Mke wa awali zinaweza kuwa mwiba kwenye mahusiano Kwa maana ya kulinganisha.

Kikubwa ni nyie wahusika mnaiva na kuendana Kwa kiasi gani. Mnaweza kuitengeneza maisha yasiyotegemea mahusiano yoyote ya awali.
Imekaa poa sana
Ikiwa mmoja anataka kubadilika ila mwingine ni mgumu inakuwaje mfano
Imepitia kwenye mkasa wa rafikiyangu anampenda sana mumewe ila sio mtu wa kujali Wala kumsaidia japo mwanamke anatumiza majukumu yake pia Kuna Ile akimkosea anadai atamuacha kama mwenzio
Mtu kma huyu unaishi nae vipi?
 
Sio ngumu ikiwq umejua historia yake ya mahusiano yaliyopita..
Wamevunjaje mahusiano!? Mwenza wake amefariki au taraka hapo utajua Jinsi ya kuishi naye ili akuamini na akupende
 
Ogopa sana unapigwa matukio na mke then mama mkwe anasapoti , unaenda ustawi wa jamii unakutana na single maza wa haki za wanawake , nyuma yako inakuja timu ya wadada kama sita wamepigilia madera sijui mnaita vijora😂🤗🤗
Kunamtu nikimwambia nataka nisome mambo ya ustaw wa jamii nina wito kusaidia watu akanambia utaalaniwa Yani achana na hayo mambo 😂😂
 
Kuna ile tendency ya kufanya ulinganisho.
Siku watu wakigundua kwenye ndoa hakuna malaika ambao tunaelezwa kuwa ni wakamilifu bali ni binaadamu ambao siyo wakamilifu naamini migogoro mingi itapungua!

Ukweli: Zunguka dunia nzima hutampata mume/mke aliyekamilika!

Ushauri: Kabla hujaoa/kuolewa jiulize: Je, kwa haya madhaifu yangu yupo wa kuyakabili?? Je,kwa haya madhaifu yake nitaweza kuyakabili??

Mwisho:Uvumilivu na kuheshimu hayo madhaifu itakuwa silaha kuu kwenye ndoa!
 
Siku watu wakigundua kwenye ndoa hakuna malaika ambao tunaelezwa kuwa ni wakamilifu bali ni binaadamu ambao siyo wakamilifu naamini migogoro mingi itapungua!

Ukweli: Zunguka dunia nzima hutampata mume/mke aliyekamilika!

Ushauri: Kabla hujaoa/kuolewa jiulize: Je, kwa haya madhaifu yangu yupo wa kuyakabili?? Je,kwa haya madhaifu yake nitaweza kuyakabili??

Mwisho:Uvumilivu na kuheshimu hayo madhaifu itakuwa silaha kuu kwenye ndoa!
Exactly 💯
 
Back
Top Bottom