Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wewe ndio unapanic totooπ€£π€£Sasa hivi mimi ndio namnyoosha kila siku natupia picha nipo na madumu ya mbege nakula bata yeye ni kupanic tuπππ
Huyo ni muharibifu tu, team kataa ndoa.Unamtenda vibaya nimeumia sana sasa Si uvute ubavu uishi nao ? Au wewe haupumui ?
Yaani Mkuu we acha tu. Kuna Manzi fulani naye kapigwa tukio hapa kitaa alikuwa wa maana sana Made in Singapore alimletea uhuni Kijana wa Kitanga. Aisee kachakazwa with 2 Kids hana ishu anacheza Dubwi tu. πππMno mkuu tako lote kwisha now anapigwa matukio tu na kina mariooo wa mjiniππππ
Ah wanasema eti mie nyoka wa kibisa kwenye mijadala yaoUnamtenda vibaya nimeumia sana sasa Si uvute ubavu uishi nao ? Au wewe haupumui ?
Atateseka sana as long as uko Positive Inshallaah your time will come.Huyo ni muharibufu, team kataa ndoa.
Hiyo ni kidogo mbona apo nyuma mimi niliondoka na shati moja tu la mistari ya pundamilia πTabia mbaya.
Sio team dronedrake ? π€£π€£π€£Ah wanasema eti mie nyoka wa kibisa kwenye mijadala yao
Sasa hivi ubaya ubwele ukija ki master mwenzio anakuja ki ninja , akitulia myajenge maisha mbona fresh tuπ€Yaani Mkuu we acha tu. Kuna Manzi fulani naye kapigwa tukio hapa kitaa alikuwa wa maana sana Made in Singapore alimletea uhuni Kijana wa Kitanga. Aisee kachakazwa with 2 Kids hana ishu anacheza Dubwi tu. πππ
Ndio maana nasema Mwanamume ku sort mambo ni easy kuna Mbwa fulani mwaka 2014 alikimbia na laptop yangu sasa hivi yupo tu kaharibika maana amechezea sana mikia ya Wahuni.Hiyo ni kidogo mbona apo nyuma mimi niliondoka na shati moja tu la mistari ya pundamilia π
Nafikir inategemeana na mambo mengi hakuna jibu la moja kwa moja.Kwahiyo hakuna unafuu
Sasa Babu mbona unaharibu CV yangu Mimi ni Mjukuu mwema mnoo ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ
πππ Endelea tu kunywa mbege.Hiyo ni kidogo mbona apo nyuma mimi niliondoka na shati moja tu la mistari ya pundamilia π
Ukiona unampenda Mumeo halafu yeye anampenda Mke wa zamani, itakuwa Kuna sehemu unamkosea.Babu hii changamoto ya wengi unaweza Kuta unampenda sana mumeo kumbe yeye anampenda mke wa zamani
Ishu ya malezi nayo kama ni changamoto
Mm sio Babu nilivo dhaifu nitakufa mapema mm nitafutie new model mjukuu wako niienjoy π