Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Kwani kasema ni mchaga mkuuwanau
Wanaume hatusemagi hivyo,wanawake ndio sana,kwa mwanaume labda awe punguwani,
kabila gani hili mkuu,na pole kwa maswahibu,eh,watoto wana mkana baba ?watu mnapita mazito jamani,atakuwa mchaga huyo maana ndio mbanga zao hizo
Lakini kisa chake kinaumiza sana kinachoumiza hapo ni Watoto wake wamkane live live , kweli koseaa vyoteeee ila sio kuoa kuolewa