Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Waamini.mko bien🤚Kuna ratiba imetolewa Leo mchana kuweka makundi ya utoaji pesa,ili kuepusha kuchelewesha muamala,nadhani pia unaleta figisu sababu Celia anajibu issue zote on line, sasa imekuja huku kulalamika kwa wasiojulikana ili iweje mkuu.Nenda Whatsapp group A101 na (802) usome details za utoaji cash.
ongea na madmini wakusaidie
Kuna mkutano wa makubaliano wa mama samia na wasira.
Wanaanzaga hivihivi, baada ya wiki wanazima kabisaKuna ratiba imetolewa Leo mchana kuweka makundi ya utoaji pesa,ili kuepusha kuchelewesha muamala,nadhani pia unaleta figisu sababu Celia anajibu issue zote on line, sasa imekuja huku kulalamika kwa wasiojulikana ili iweje mkuu.Nenda Whatsapp group A101 na (802) usome details za utoaji cash.
Atajiua usimwambieTukwambie au tukuache?
Lakini pesa zetu zisharudi tunakula prftWanaanzaga hivihivi, baada ya wiki wanazima kabisa