britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Tarehe 06/03/2021 Sauti nakabwa kooni ilisikika Mara kadhaa na shughuli yake pale Dodoma kwa wajeda ikasitishwa ilikuwa ifanyike tarehe 09 l.kwa Suala la Protocol ni kwamba kiomgozi akiondoka hawatangazi tu Ila kuna utaratibu, bahati mbaya TISS yetu hawezi thibiti taarifa nyeti Kama hii BADALA yake Taaruki zikiaza hadi PM akaanza kujikanyaga. Na hii ni baada ya kujaribu kukwepa kumpandisha pipa wampeleke kwa mabeberu, wakaomba ubalozi wa CHINA the direct flight to them nao wakakataa, na walishaanza kushangilia tokea tarehe 10/03/2021 Taarifa tulikuwa nazo (Ndo maana naangaliaga Kapuku wa Manzese eti alikubalika kwa wa China na China wakati ndege walitunyima’ kwa Kifupi watu walio ukanda fulan walishapewa na hints Kama atakubaliwa’ Kifupi kuna mengi ntashusha uzi one day kueleza why wasingetumia ndege yetu direct to china, also why China denied kutoa msaada wa ndege kwa afya yake
Britanicca
Britanicca