Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Je, leo inaweza kuwa ndio ile siku? Ukweli halisi ni upi? Nini hasa kilitokea na kwanini tulijulishwa baada ya siku 5?

Tarehe 06/03/2021 Sauti nakabwa kooni ilisikika Mara kadhaa na shughuli yake pale Dodoma kwa wajeda ikasitishwa ilikuwa ifanyike tarehe 09 l.kwa Suala la Protocol ni kwamba kiomgozi akiondoka hawatangazi tu Ila kuna utaratibu, bahati mbaya TISS yetu hawezi thibiti taarifa nyeti Kama hii BADALA yake Taaruki zikiaza hadi PM akaanza kujikanyaga. Na hii ni baada ya kujaribu kukwepa kumpandisha pipa wampeleke kwa mabeberu, wakaomba ubalozi wa CHINA the direct flight to them nao wakakataa, na walishaanza kushangilia tokea tarehe 10/03/2021 Taarifa tulikuwa nazo (Ndo maana naangaliaga Kapuku wa Manzese eti alikubalika kwa wa China na China wakati ndege walitunyima’ kwa Kifupi watu walio ukanda fulan walishapewa na hints Kama atakubaliwa’ Kifupi kuna mengi ntashusha uzi one day kueleza why wasingetumia ndege yetu direct to china, also why China denied kutoa msaada wa ndege kwa afya yake

Britanicca
 
Nijibu kwa sababu ya kikawaida, nadhani uamuzi ule wa kuchelewa kutoa taarifa rasmi za tukio ulisababishwa na sababu za kiusalama, kuondoa tension ambayo walidhani ingeweza kujitokeza kwa jamii.

Kiasi kikubwa walifanikiwa kwenye hili, kwani tetesi zilizosambaa kuhusu taarifa za kifo, zilisababisha siku walipotangaza rasmi pasiwepo na mshtuko mkubwa, na ndio maana taarifa ile ilitolewa usiku mnene, wakijua watanzania wengi watakuwa wamelala.
Lakini brother wangesema basi tukio lilotokea tarehe fulani,ila kwa sababu ya usalama na mambo mengine busara ilituongoza kuutangazia umma tarehe ya leo. Ingeleta mantiki kidogo.
 
Siku kama hii ndio alitudanganya kwenye nyumba ya ibada kule Njombe kuwa jamaa ni mzima na anachapa kazi tena anawasalia sana.
Wakati huo hata ziara zake zilikuwa na wenge wenge tu kati ya mikoa ya Iringa, Dodoma na Njombe.
Sasa sijui na huyu alikuwa hajui ndio maana akawa anazururishwa tu huko! Kumbuka wakati huu pia ilikuwa inapangwa ziara nyingine ya kwenda Tanga.
Ila ni muongo muongo na hana aibu wala yani kudanganya umma kwake ni kitu cha kawaida tu
 
Ilikuwa ngumu kutoa taarifa moja kwa moja kutokana na usiri ndani ya jamuhuri na usiri wa wale wangemrithi. Kiufupi hakujapoa yapo mengi mazito a heads of nation. Hence watu tujiandae Kisaikolojia
Yes hata sumu zilikaribia kutumika watu kuchinjana wale wa Karibu waliogundua..

1. One day unaingia unasema kwamba Kiongozi siku Hiyo Hiyo analiwa kichwa
2. Unatoa Tamko la Ukaguzi wa Looting and Theft hapo B.O.T
3. The current one hakuwa Ana amini yaliyo ndani kama kweli ameshashika usukani kutokana na mnyukano (na a hadi alizopewa akae pembeni Yule akasema hapana Komaa)
4. Alisema alisema na Kumwambia kwamba Mkijaribu kuweka watu barabarani kwamba Katiba ipindishwe basi Wajomba tunachukua hii nchi

5. Akatoa DOKEZO DOKEZO DOKEZO DOKEZO


BRITANICCA
 
Yes hata sumu zilikaribia kutumika watu kuchinjana wale wa Karibu waliogundua..

1. One day unaingia unasema kwamba Kiongozi siku Hiyo Hiyo analiwa kichwa
2. Unatoa Tamko la Ukaguzi wa Looting and Theft hapo B.O.T
3. The current one hakuwa Ana amini yaliyo ndani kama kweli ameshashika usukani kutokana na mnyukano (na a hadi alizopewa akae pembeni Yule akasema hapana Komaa)
4. alisema alisema na Kumwambia kwamba Mkijaribu kuweka watu barabarani kwamba Katiba ipindishwe basi Wajomba tunachukua hii nchi

5. Akatoa DOKEZO DOKEZO DOKEZO DOKEZO


BRITANICCA
Let's go brother
 
Ni hivi ukiwa kwenye power na kuondoka na kuondoka ni tofauti na yule aliye staafu...

Kulikuwa na ulazima wa system kupiga kimya kuangalia usalama wa eneo husika ili kuzuia UASI..

Suala hili lilikuwa siri sana ...

Lilikuwa siri... Kilichofanyika ni kutuandaa kisaikolojia...

Wakatumia mtu wa Ubelgiji, Kenya News Media.., Na baadhi ya watu kuspread news huku masuala ya ulinzi yakiimarishwa na kuhakikisha kiapo cha mtu mpya kinakwenda salama salmini..
 
Madam yoga na wanna harakati za Siri TumainiEl na mdukuzi mseme Jambo.
Kwa ufupi haijawahi kutokea kwa kiongozi mkubwa akakata kamba na ikatangazwa hapo hapo,lazima kuwe na maandalizi ya kuswitch kutola hali fulani kwendahali nyingine.
Kuna maswala ya succession logistics,ni nyeti sana lazima muwe na muda wakujipanga,mpaka mnatangazia Taifa mnakuwa mmeshaweka mambo sawa
 
DRC Kabila alipouwawa walisema ni mzima. Mwili wake ukasafirishwa kama vile mzima hadi Zimbabwe.

Bingu wa Mutharika alipofariki mwili wake ulisafirishwa hadi Afrika Kusini kana kwamba alikuwa mzima.

Huyu bwana ni kama lilivyokuja kujipambanua kuwa alikuwa ofisini akichapa kazi.

Bila shaka ilikuwa hivyo pia kwetu katika kuhakikisha kunakuwa na smooth transfer of power au soft landing kama asemavyo beberu.

Ni wazi kuwa kama inavyokuwa kwingine, hata kwetu dhana ya kugombea madaraka ilikuwa pale pale.

Waliotunyima hadi nafasi ya kumwombea yule bwana wakati akiugulia maumivu ni waliokuwa wakijInasibu kuwa ni wazalendo kweli kweli.
 
Hili suala la kununua muda na kutangazwa usiku na sio mchana linabaki kuwa na maswali na majibu moyoni na sio public.

Na kuna swali la msingi, who was in command kwenye transition ya hizo siku tajwa?

Ila namsifu sana rafiki yetu yule mwenye tabasamu muda wote. Yeye anadai alikuwa na wazee wenzake kijijini, mara akapigiwa simu, akaomba watawanyike maana kuja jambo la kuwataka wasiendelee na 'mastory ya town'.

Kuna documentary huwa zina-uncover classified info huko ulimwengu wa Kwanza, bila shaka kuna watakuja GT kama alivyo muanzisha mada, wakapata fursa ya ku-declassify enzi hizo sote tushatangulia mbele ya haki 😴😴
 
Kuna wimbo wa Lucky Dube siukumbuki jina ila kuna verse wanaimba

Politician wanna thank you father
For making them be able to lie to us,whith straight face
While nations cries
They wanna thank you

Wimbo unaitwa Rasta man's prayer asante Rasterman kunikumbusha

Nikambuka kuna mmoja akiwa sehemu takatifu macho makavu kuwa jamaa yuko fit ofisini anachapa kazi,

Wanasiasa hamuendi mbinguni
 
Kuna wimbo wa Lucky Dube siukumbuki jina ila kuna verse wanaimba Thank you father for making politician lie to us.

Nikambuka Mh Kasim Majaliwa akiwa sehemu takatifu macho makavu kuwa jamaa yuko fit ofisini anachapa kazi,

Wanasiasa hamuendi mbinguni
Wimbo unaitwa

"Rastaman's Prayer"
.......Thank you for making politician able to lie with straight eyes while the Nation cry...."
 
Kuna wimbo wa Lucky Dube siukumbuki jina ila kuna verse wanaimba

Politician wanna thank you father
For making them be able to lie to us,whith straight face
While nations cries
They wanna thank you

Wimbo unaitwa Rasta man's prayer nimekumbuka

Nikambuka Mh Kasim Majaliwa akiwa sehemu takatifu macho makavu kuwa jamaa yuko fit ofisini anachapa kazi,

Wanasiasa hamuendi mbinguni
😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom