Je, maamuzi ya Rais Samia ni State Capture?

Je, maamuzi ya Rais Samia ni State Capture?

Hii nchi ni yao, na kama huamini jaribu kuhoji uone utakavyoshughulikiwa. Nchi ni yetu wote kwenye maandishi, lakini kwenye keki ya taifa wao ndio wanufaika. Na vile Magufuli kawafundisha kukaa madarakani bila kujali box la kura, hapo ndio shughuli ilipo. Jiandae tu kwa machafuko ili mabadiliko utakayo yatokee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Si unasema mungu wako alikusadia kuleta ukombozi bila kumwaga damu
 
South Africa's former President, Jacob Zuma, is giving evidence this week at a commission set up to investigate corruption allegations during his time in office.
The inquiry takes its name from an academic term, "state capture", that has become a buzzword - shorthand for the multiple scandals that plagued the Zuma administration and eventually brought it down.

So what exactly is state capture?​

State capture describes a form of corruption in which businesses and politicians conspire to influence a country's decision-making process to advance their own interests. As most democracies have laws to make sure this does not happen, state capture also involves weakening those laws, and neutralising any agencies that enforce them.
PENGINE UTAELEWA sasa. Hiyo ni kutoka BBC.
Kwani mtu akiuliza swali ni kwa sababu hajaelewa tu?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Sasa nani anafanya state capture, kwa ushahidi gani, na unatofautishaje regular corruption or even grand corruptio na state capture?

Nimekuuliza kwamba kashfa zilizopita za EPA, Lugumi, Chavda, zilikuwa corruptiin tu? Au state capture?

Hujajibu.
 
Kwani mtu akiuliza swali ni kwa sababu hajaelewa tu?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Sasa nani anafanya state capture, kwa ushahidi gani, na unatofautishaje regular corruption or even grand corruptio na state capture?

Nimekuuliza kwamba kashfa zilizopita za EPA, Lugumi, Chavda, zilikuwa corruptiin tu? Au state capture?

Hujajibu.
Naona nina safari ndefu kukuelimisha. Nafikiri fanya tafiti zako hasa nilichokiandika.
 
Kwani mtu akiuliza swali ni kwa sababu hajaelewa tu?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Sasa nani anafanya state capture, kwa ushahidi gani, na unatofautishaje regular corruption or even grand corruptio na state capture?

Nimekuuliza kwamba kashfa zilizopita za EPA, Lugumi, Chavda, zilikuwa corruptiin tu? Au state capture?

Hujajibu.
Acha niongeze kidogo tu. Mada yangu haikuhitaji arguments so as to engage in Socratic method. Ilikuwa ni informative kwa mtu mwenye uelewa.
 
Kwani mtu akiuliza swali ni kwa sababu hajaelewa tu?

Unaelewa Socratic method ni nini?

Sasa nani anafanya state capture, kwa ushahidi gani, na unatofautishaje regular corruption or even grand corruptio na state capture?

Nimekuuliza kwamba kashfa zilizopita za EPA, Lugumi, Chavda, zilikuwa corruptiin tu? Au state capture?

Hujajibu.
Nimejibu. Je umesoma
 
Civil disobedience utaifanya kwenye internet tu. Kwa jamii ya Tanzania angalao kwa miaka 50 sioni kitu kama hicho kikitokea
Bora wewe umekuwa mkweli... it can take even longer than 50 years...
Ujinga hauishagi haraka!
 
Acha niongeze kidogo tu. Mada yangu haikuhitaji arguments so as to engage in Socratic method. Ilikuwa ni informative kwa mtu mwenye uelewa.
Wewe ni nani mpaka uamue mada inahitaji nini na haihitaji nini?

Cheo cha kuwa muamuzi wa hilo nani kakupa?
 
What specific individuals or corporations have led to your beliefs of so-called "state capture" ?
 
Naona nina safari ndefu kukuelimisha. Nafikiri fanya tafiti zako hasa nilichokiandika.
Kama wewe mwenyewe hujui unielimishe au uniachie nifanye tafiti mwenyewe, basi inaonekana wewe ndiye una safari ndefu kuliko mimi.

Kisaikolojia tunasema una "cognitive dissonance".

Kunielimisha unataka. Kuniacha nifanye utafiti unataka.

Kibaya zaidi hujui hata kuhalalisha hoja zako.

Unalazimisha tu kwamba una safari ndefu kunielimisha, hujaeleza kimantiki kwa nini.
 
Kama wewe mwenyewe hujui unielimishe au uniachie nifanye tafiti mwenyewe, basi inaonekana wewe ndiye una safari ndefu kuliko mimi.

Kisaikolojia tunasema una "cognitive dissonance".

Kunielimisha unataka. Kuniacha nifanye utafiti unataka.

Kibaya zaidi hujui hata kuhalalisha hoja zako.

Unalazimisha tu kwamba una safari ndefu kunielimisha, hujaeleza kimantiki kwa nini.
Nimejaribu kuwa na consistance kujibu baadhi za comments za watu. Ila wewe ulikuwa unaleta sarcasm of which I'm not ready to engage!!
 
Wewe ni nani mpaka uamue mada inahitaji nini na haihitaji nini?

Cheo cha kuwa muamuzi wa hilo nani kakupa?
Nani kanipa ni immaterial.
Huemda wewe ni mmoja wao. Mbona hivi?
 
Back
Top Bottom