Je, maamuzi ya Rais Samia ni State Capture?

Hii ya kuteua watendaji wa serikali ndio ina permit self-interest ya mtoa teuzi, ataweka watu wanaomsapoti na sio wenye weledi, viongozi wote wa serikali wawe wanachaguliwa na wananchi kutokana na competence zao, muda wa kuserve wananchi upunguzwe kutoka miaka mitano mpaka miaka mitatu,mtu atafanya kazi kwa bidii akijua ana muda mchache in the office, kuwe na criteria ama guidelines kumeasure performance ndipo tutwkapoendelea....hivi hivi walaaaaa
 
Na ile ya Magufuli ya kuteua watoto wa Dada zake, wajomba na mabinamu zake, kabila lake na ukanda wake kwenye nafasi mbalimbali nyeti unaiitaje?
Mimi sijui hayo labda unipe jina.
 
Ndiyo maana nikasema naongea na GTs only Ona sasa, unaongelea Mimi kutetea, soma nilicho kiongelea na nioneshe wapi nilipomtetea, misimamo yngu ya kisiasa huijui hivyo usitake kuni force.
Unamtetea Mwendazake bado unajiita na GT?? BIG shame on you. Lemme tell you upfront, you belong to mediocre minds the so called "Wanyonge". A group that was brainwashed by false propaganda
Naona hunielewi. Nafikiri wewe ni mmoja wa wafaidika. Two WRONGS don't make a RIGHT!!!!
Mbona haukumshutumu akiwaweka akina Dotto James kuwa Paymaster General?
 
Huyo Dotto unayemsema si mada yangu. Angalia mapana ya Taifa. Usi narrow Ufahamu wako. We unajua maana ya State Capture ama unajibu tu ili usikike?
 
Niruhusu kidogo nitofautiane nawe. Kwa wananchi kuchagua watumishi wa Serikali itakuwa ni vichekesho na aibu. Tunasoma ili kuwa faida kwa wananchi na si kupigiwa kura uwe afisa Elimu. Tatizo kuu ni kuwa nchi inahitaji mabadiliko chanya. Kila kiongozi wa nchi anapoingiza madarakani hafanyi anavyotaka.
 
Sawa kama unaona viongozi wateuliwe na mtu mmoja ambae ukiwa na conflict interest naye huli teuzi kwa heri..
 
Duh! Blaalfaken hii imenichekesha sana !! Hahahaha!
 
utakuwa na mimba changa ulioachiwa jitahidi ule maembe mabichi......
utulize hasira
 
Nadhani your perspective is right,she is likely part of the state capture system,hasa ukizingatia kwamba ametoka kwenye NGOs ambazo ni part of the state capture system.To me frankly the state is already captured,kwa kuwa hata installation yake as President seems to be pre-arranged.Mwenye akili anaona.
 
Hawa jamaa akili zao fupi sana......
 
Raisi apewa mamlaka na Katiba kuchagua baraza la mawaziri bila kupangiwa na mtu yyte yule,.. Baraza la mawaziri ndo chombo kikuu cha serikali na ndio nguvu ya raisi inapokisimiwa.. Kuwa mtendaji mzuri pekee hakukupi sifa ya ww kuwa ndani ya cabinet, lazima raisi achaguwe watu ambao wanaweza Linda nguvu yake kama mtawala ndani ya nchi, huwez kuwa na mawaziri wachapakazi alafu wapo tofauti na mlengo wako kiu tawala wanaweza kuku sabotage... Hata JPM hakwenda na watu wote wa JK, vivyo hvyo kwa maraisi wote,... Hata samia anahaki kama raisi kuweka watu anaoona wanamfaa yeye bila kuhojiwa na yyte yule kwann kwa samia ndio iwe state capture'' JPM alivokuwa akifanya mabadiliko mbna hatukusema ni state capture
 
Je ww umeamini vipi kama hao waliowateuwa ni watu wake?.
 
Ina maana ile iliyopitishwa na bunge la katiba inayosubiri kura tu ya raia (siku Ccm wakipenda) huitaki.
Proved ile itatupa shida sana mbele ya safari. Ilishirikisha wanasiasa wa vyama wengi kuliko wananchi na asasi za kiraia!
 
Tanzania, kama taifa, ina safari ndefu sana! Selfish politicians serving their own selfish bellies at the expense of the masses. Pathetic!
Ulichoandika hapa ndio kawaida duniani kote. Ndiyo hulka ya wanasiasa na watawala duniani. Ndio maana katika demokrasia makini nchi huwa zina mifumo thabiti ya udhibiti (checks & balances, good governance, law & order) inayofanya kazi kwa watu wote na taasisi zote bila upendeleo. No individual is above the law.

Tanzania tumekwepa kuweka mifumo hiyo kwa “ndoto” ya kutarajia kupata Rais mtakatifu atakayeletwa kwetu moja kwa moja toka kwa Mungu. Waliokataa na wanaokataa katiba mpya; katiba ya wananchi ndio hao waliodhamiria kuendeleza tawala za maslahi binafsi na uroho wa kupindukia (unfettered greed).
 
State capture inaondolewa siku zote na wananchi,kwa kesi ya Tz...wananchi bado sana wako kwenye usingizi mzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…