Je, maamuzi ya Rais Samia ni State Capture?

Je, maamuzi ya Rais Samia ni State Capture?

Checks & Balance (Responsible Entity if not Entities; Where Are They For That To Happen Just Incase !!??).
That is why shouting from the roof tops would make a difference and subsquent bring the desired checks and balances entities. Don't you think so?
 
Civil dosobedient Yes but machafuko hapana. Tuna nchi moja tu tulitopewa na Mungu na hatuna nchi nyingine. Civil dosobedient ambayo kwa Kiingereza inakuwa defined kama
  1. "the REFUSAL to comply with certain laws considered UNJUST as a PEACEFUL form of political protest.
Mkuu huwezi kuamua muendelezo kamili wa political protests. Tunasema tuanze na civil disobedience. Wenye mamlaka kwa asilimia kubwa ndo wanaamua madhara ya protests
Wakiendelea kuminya watu au wakija kinguvu na kimauaji lazima watu watajibu kivingine!!
 
Rudia kusoma Mada yangu. Si rais ndo anayefanya hivy bali Private entities!
Kwanza kabisa huja elezea state capture ni nini na corruption ya kawaida ni nini na tofauti yake ni nini.

Private entities zimefanya nini?

Hicho kilichofanywa na private entities kimeanza lini?

Unajuaje hizo habari za state capture si fantasies zako tu kukuza corruption ya kila administration kuiita state capture?
 
Mkuu huwezi kuamua muendelezo kamili wa political protests. Tunasema tuanze na civil disobedience. Wenye mamlaka kwa asilimia kubwa ndo wanaamua madhara ya protests
Wakiendelea kuminya watu au wakija kinguvu na kimauaji lazima watu watajibu kivingine!!
Civil disobedience utaifanya kwenye internet tu. Kwa jamii ya Tanzania angalao kwa miaka 50 sioni kitu kama hicho kikitokea
 
By the way nchi hii si ya kina Kikwete, Rizwan, SSH & Company ama mtu yeyote yule. This is our country we should DEMAND ACCOUNTABILITY TRANSPARENCY and FAIRNESS devoid of any patronage from ANY quarters!!
Basi tusiishie kujadili tu. Tuweke mikakati ni mpango kazi madhubuti wa kuwashughulikia hawa ^war-who-knee!^ They see you talking sense without corresponding actions, and they enjoy it.

Kuna watu BoT na Hazina hawajui hata jinsi mwananchi anavyohangaika kulima nyama na vitunguu huko mashambani. But wao wako busy kuyafanya maisha magumu na kutumbua pesa za walipa-kodi.

If we cannot do anything, then we are done!

#^Car-taaWar-who-knee!^
 
Civil disobedience utaifanya kwenye internet tu. Kwa jamii ya Tanzania angalao kwa miaka 50 sioni kitu kama hicho kikitokea
Ila don't be so pessimistic. Halafu, hakuna mtu anayetaka kufanya civil disobedience. Actually, this is logical and informed accountability inayotakiwa kwa kila raia anayeipenda nchi yake.

The internet will help us organize ourselves. Nchi zote zilizo-demand civil accountability kwa ufanisi (hivi kariibuni), mtandao ulichangia kwa kiasi kikubwa sana.
 
Tatizo lako unaangalia maandamano. Nani alikuambia maandamano ndo huleta mabadiliko?
Ninachozungumza hapa ni zaidi ya maandamano.
Hata maandamanoya amani bado ni haki ya kikatiba.
Anachojua ni kutisha tu. Dalili za mfa-maji huyo.
 
State capture ya kiwango cha lami once ilitokwa south Africa .report yake imetoka juzi . Gupta family kuna siku walifanya arusi ikafika hatua wanatua private jet kwenye uwanja wa jeshi. Hapa si ajabu tunaelekea huko maana wapwani huwa hawana historia nzuri kwenye uongozi wa nchi yetu .kijana wa Zuma kama hivyo hivyo na influence kama liziwani alikuwa akimiliki shares na walanguzi toka India .sasa kuna mambo mengi yanaanza kujitokeza mara wahindi wanaitwa kuwekeza kwenye energy sector .hawa watu ni wa kuwaangalia Kwa jicho la mwewe
^If people don't learn from history, they are doomed to repeat it.^
 
Vijana bana, mnaongea humu Ila kesho tukisema njooni barabarani tuandamane wote mnageuka kuwa CCM ooh wanatuita tuandamane Ila wao watoto wao hawapo.

Tanzanians you deserve this. Hii ndio maana halisi ya kutawala watanzania na mpo hivyo najua mtanishambulia.

Hapa mnajibaraguza tu Sasa ngoja tuwaambie twendeni vitani wote mnakimbilia sinza kuvaa visuruali vya kubana, blaaaalifaken

Ukipata nafasi kula tu, hakuna mtanzania mwenye guys za kubishana
Hizi ^PUA^ Mindset kazipeleke kule kwa Job Ndugai na kujiuzulu kwake! Hazina nafasi kwa sasa!
 
Mbowe kapiga kelele kaishia jela na hakuna anayekaa kujali yanayoendelea mnakuja na MB za mkopo kupiga lomoni tu
Kipi ni afadhali: Kukaa kimya au angalau kuwa na constructive conversation? And, who knows, kama this time round wamekusudia kufanya ^key-two^ expressive & tangible?
 
Watu wanahangaika sana. Hizi siasa zitawatesa tu. Mtakufa na stress. Chapeni kazi. Jengeni maisha yenu binafsi. Achaneni na hawa Watu.
Aiseeeee! Hivi kweli ^utajengaje maisha^ yako wakati Bi Mikopo anayabomoa?
 
M
Kulingana na maamuzi ya hivi karibuni ya Rais Samia kuwaondoa baadhi ya Mawaziri watenda kazi kama Lukuvi na wengine na kuingiza watu wake, tayari hii in kuwa Rais Samia yuko chini ya State Capture?

State capture is a type of systemic political corruption in which private interests significantly influence a state's decision-making processes to their own advantage.

State Capture ni UFISADI MKUBWA wa KISIASA ambapo WATU Binafsi kama Wafanya Biashara WAKUBWA ama MAKUNDI binafsi yaliyo na USHAWISHI KISIASA na KIUCHUMI ili kuleta mabadiliko kwa minajiri yakunufaisha Watu binafsi.

Hii itamgharimu sana sana, maana watu wameamka na wanafuatilia kwa ukaribu.
Tuache kumsemasema sana Mama yetu, kwa theories za political science.
Raisi hawezi kuongoza nchi bila strategies, tumwache finally " the end justifies the means"
 
Back
Top Bottom