That is why shouting from the roof tops would make a difference and subsquent bring the desired checks and balances entities. Don't you think so?Checks & Balance (Responsible Entity if not Entities; Where Are They For That To Happen Just Incase !!??).
Lugha mkuu!!Wewe akili yako ndefu imekufikisha wapi? Kwani huchutami wakati wa kunya?
Mkuu huwezi kuamua muendelezo kamili wa political protests. Tunasema tuanze na civil disobedience. Wenye mamlaka kwa asilimia kubwa ndo wanaamua madhara ya protestsCivil dosobedient Yes but machafuko hapana. Tuna nchi moja tu tulitopewa na Mungu na hatuna nchi nyingine. Civil dosobedient ambayo kwa Kiingereza inakuwa defined kama
- "the REFUSAL to comply with certain laws considered UNJUST as a PEACEFUL form of political protest.
Kwanza kabisa huja elezea state capture ni nini na corruption ya kawaida ni nini na tofauti yake ni nini.Rudia kusoma Mada yangu. Si rais ndo anayefanya hivy bali Private entities!
Civil disobedience utaifanya kwenye internet tu. Kwa jamii ya Tanzania angalao kwa miaka 50 sioni kitu kama hicho kikitokeaMkuu huwezi kuamua muendelezo kamili wa political protests. Tunasema tuanze na civil disobedience. Wenye mamlaka kwa asilimia kubwa ndo wanaamua madhara ya protests
Wakiendelea kuminya watu au wakija kinguvu na kimauaji lazima watu watajibu kivingine!!
Basi tusiishie kujadili tu. Tuweke mikakati ni mpango kazi madhubuti wa kuwashughulikia hawa ^war-who-knee!^ They see you talking sense without corresponding actions, and they enjoy it.By the way nchi hii si ya kina Kikwete, Rizwan, SSH & Company ama mtu yeyote yule. This is our country we should DEMAND ACCOUNTABILITY TRANSPARENCY and FAIRNESS devoid of any patronage from ANY quarters!!
Ila don't be so pessimistic. Halafu, hakuna mtu anayetaka kufanya civil disobedience. Actually, this is logical and informed accountability inayotakiwa kwa kila raia anayeipenda nchi yake.Civil disobedience utaifanya kwenye internet tu. Kwa jamii ya Tanzania angalao kwa miaka 50 sioni kitu kama hicho kikitokea
Labda lile kundi dogo la ^war-who-knee!^sisi watanzania
Anachojua ni kutisha tu. Dalili za mfa-maji huyo.Tatizo lako unaangalia maandamano. Nani alikuambia maandamano ndo huleta mabadiliko?
Ninachozungumza hapa ni zaidi ya maandamano.
Hata maandamanoya amani bado ni haki ya kikatiba.
Hapa umempoteza kabisa! Afadhali hata ile ya kwanza ilikuwa rahisi kwake.I think my topic is self explanatory if you read it properly. Kindly digest it!
^If people don't learn from history, they are doomed to repeat it.^State capture ya kiwango cha lami once ilitokwa south Africa .report yake imetoka juzi . Gupta family kuna siku walifanya arusi ikafika hatua wanatua private jet kwenye uwanja wa jeshi. Hapa si ajabu tunaelekea huko maana wapwani huwa hawana historia nzuri kwenye uongozi wa nchi yetu .kijana wa Zuma kama hivyo hivyo na influence kama liziwani alikuwa akimiliki shares na walanguzi toka India .sasa kuna mambo mengi yanaanza kujitokeza mara wahindi wanaitwa kuwekeza kwenye energy sector .hawa watu ni wa kuwaangalia Kwa jicho la mwewe
Umeambiwa katiba iliyopo sasa ndiyo inampa loopholes za kufanya ulanguzi wa nchi. Usichoelewa ni kipi? Au atumie Kichina?Hawajali hilo hata iliyopo Ina mengi lakini bado wanaikanyaga na kuisigina
Je hiyo itafiatwa? I doubt it
Is it not that she has captured herself? Because, who do you think said, ^Sasa nafungulia nchi!^?There is no excuse she is captured!! Time will tell
Hizi ^PUA^ Mindset kazipeleke kule kwa Job Ndugai na kujiuzulu kwake! Hazina nafasi kwa sasa!Vijana bana, mnaongea humu Ila kesho tukisema njooni barabarani tuandamane wote mnageuka kuwa CCM ooh wanatuita tuandamane Ila wao watoto wao hawapo.
Tanzanians you deserve this. Hii ndio maana halisi ya kutawala watanzania na mpo hivyo najua mtanishambulia.
Hapa mnajibaraguza tu Sasa ngoja tuwaambie twendeni vitani wote mnakimbilia sinza kuvaa visuruali vya kubana, blaaaalifaken
Ukipata nafasi kula tu, hakuna mtanzania mwenye guys za kubishana
Kipi ni afadhali: Kukaa kimya au angalau kuwa na constructive conversation? And, who knows, kama this time round wamekusudia kufanya ^key-two^ expressive & tangible?Mbowe kapiga kelele kaishia jela na hakuna anayekaa kujali yanayoendelea mnakuja na MB za mkopo kupiga lomoni tu
Aiseeeee! Hivi kweli ^utajengaje maisha^ yako wakati Bi Mikopo anayabomoa?Watu wanahangaika sana. Hizi siasa zitawatesa tu. Mtakufa na stress. Chapeni kazi. Jengeni maisha yenu binafsi. Achaneni na hawa Watu.
Tuache kumsemasema sana Mama yetu, kwa theories za political science.Kulingana na maamuzi ya hivi karibuni ya Rais Samia kuwaondoa baadhi ya Mawaziri watenda kazi kama Lukuvi na wengine na kuingiza watu wake, tayari hii in kuwa Rais Samia yuko chini ya State Capture?
State capture is a type of systemic political corruption in which private interests significantly influence a state's decision-making processes to their own advantage.
State Capture ni UFISADI MKUBWA wa KISIASA ambapo WATU Binafsi kama Wafanya Biashara WAKUBWA ama MAKUNDI binafsi yaliyo na USHAWISHI KISIASA na KIUCHUMI ili kuleta mabadiliko kwa minajiri yakunufaisha Watu binafsi.
Hii itamgharimu sana sana, maana watu wameamka na wanafuatilia kwa ukaribu.
Umeambiwa katiba iliyopo sasa ndiyo inampa loopholes za kufanya ulanguzi wa nchi. Usichoelewa ni kipi? Au atumie Kichina?
^Kazi yake^? Hajatumwa Ikulu akafanye kazi yake, bali kazi ya raia wa JMT.Acheni mama afanye kazi yake