Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Je, Magic Mushrooms ni halali hapa Tanzania?

Status
Not open for further replies.
[emoji89] kuna siku niliyakanyaga, kuna wanayo ita bongo_shit na hiyo skanka zile sio bhangi ni sumu! Mara ya kwanza sikuelewa nilichukua nikaitumia usiku, inapanda haraka sana kuliko bhangi kawaida inakuzoazoa inakupeleka hukoo[emoji16] mpaka hapo sikuona shida kwa upande wangu, ila kuna jamaa yangu nilikua nae ilimchukua kiasi kwamba sikuwahi muona akiwa kwenye hali ile na alianza kuongea vitu ambavyo siku tegemea kama bichwa lake limeoza kiasi kile[emoji16] nikamuhimiza kulala aisikilizie akiwa kalala na asiongee apitilizie usingizini hukohuko, nilichofanya ni kufungulia redio nikaendelea kui'enjoy ikinipa mawazo haya na yale mpaka nilipo amua kulala, shida ni kesho yake haikua kama siku nyingine huko nyuma nilipotumia ganja ya kawaida, kwanza ilikua ina hang_over kali kama ya pombe, hakuna hamu ya kula wala kunywa maji na muda mwingi unakua kama ume hibanate tu na kujisikia kuchoka kupita maelezo, siku hiyo jioni sikugusa kabisa ili nione mwisho wake, kulala na kuamka kesho yake nikajikuta nipo sawa kabisa, nikatafuta ile ya kawaida nikaigusa, ikawa smooth as usual na hata kesho yake nika sawa kama kawaida[emoji846] siku iliyofuata nikachukua tena ile sumu[emoji16][emoji16] mdundo ulikua mperampera kama ule wa mwanzo ndipo nilipo baini sio ganja ya kawaida kuna kitu wamechanganya nikaamua kuachana nayo kabisa! Yule ndugu mbali na matokeo mabaya na kuto itathimini ile skanka anadai ilimvutia zaidi, akaendelea nayo[emoji17][emoji17] ndani ya mwezi mmoja alikonda, alafu lile swala lililo msumbua mara ya kwanza nikama lilikwama kichwani mwake mazima maana kila nikikutanae mbali na story nyingine tulizokua tunapiga lazima alikua anagusia kwa kutaka msaada wa majibu wa swala lile, na haswa lilikua linamsibu ni kifo cha wadogo zake wawili mapacha kugongwa na gari wote siku moja, na maswala ya kwao,[emoji17] tukio hilo tangu nimemfahamu lilitokea mda kidogo na kwa awamu hii tulikutana kazini akiwa katokea msibani ila alikaa sawa mpaka hiyo siku alipokutana na skanka ikawa kama msiba umeanza upya, akidai ameshajua kilicho pelekea kifo cha wadogo zake na kila akizoom anaona yeye ndio anafuatia[emoji55] basi kaendelea na huo mzigo wa skanka mpaka kufikia kufanya matukio kadhaa ya kufikirisha na lamwisho lilimpoteza tusijue alielekea wapi mpaka leo bila mawasiliano, hope atakua kwao salama!
Dah, mimi mkuu naogopa sana Bangi ya Dar na hizi zinazouzwa Mijini sababu nyingi wanachanganya na vitu vya ajabuajabu. Nikitaka kula ganja ni hadi nikienda kijijini. Hata marasta wengi wanaojifanya kuuza Bangi town wanauza Bangi hiyohiyo chafu. Vijana wengi wanawehuka
 
Dah, mimi mkuu naogopa sana Bangi ya Dar na hizi zinazouzwa Mijini sababu nyingi wanachanganya na vitu vya ajabuajabu. Nikitaka kula ganja ni hadi nikienda kijijini. Hata marasta wengi wanaojifanya kuuza Bangi town wanauza Bangi hiyohiyo chafu. Vijana wengi wanawehuka
Kweli! Ilifika mahala nikaikaushia maana unachotegemea na unachoenda kupata ni tofauti! Kwa sasa natumia kwa nadra sana mpaka niwe na swala flani linalo nisukuma kitumia na inaweza kua kwa mwezi au miezi miwili ni mara moja na sio bongo_shit wala skanka naona bora yale majiti wanayokatakata na mbegu humohumo[emoji43][emoji1787][emoji1787]
 
kumbe bangi ina positive impacts
Bangi ni vile unavyo itumia au unavyotaka kuitumia, kuna mwingine akitumia anaweza kufanya kazi sana au kupita kiasi, lakini bangi hiyo hiyo akaivuta mtu mwingine hatoweza kufanya kazi utamkuta katulia kama mdoli wa dukani akiwaza anayo yajua mwenyewe[emoji1787][emoji1787], mwingine atakua mkorofi, mwingine atakua muongeaji, mwingine aangalie muvi au kusikiliza mziki, mwingine anawehuka kabisaa!
 
Bangi ni vile unavyo itumia au unavyotaka kuitumia, kuna mwingine akitumia anaweza kufanya kazi sana au kupita kiasi, lakini bangi hiyo hiyo akaivuta mtu mwingine hatoweza kufanya kazi utamkuta katulia kama mdoli wa dukani akiwaza anayo yajua mwenyewe[emoji1787][emoji1787], mwingine atakua mkorofi, mwingine atakua muongeaji, mwingine aangalie muvi au kusikiliza mziki, mwingine anawehuka kabisaa!
mkuu wew umewezaje kuitumia kwa manufaa na kwa kuidhibit
 
mkuu wew umewezaje kuitumia kwa manufaa na kwa kuidhibit
Kwa experience niliyonayo kwenye hiyo kitu sijui nianze kukuelezea wapi!

Kwanza kabisa: kama umesha toboa 25 na hujawahi tumia kilevi chochote, yani pombe, sigara na ganja, sikushauri uthibutu kuanza kutumia hivyo vitu kabisa wewe endelea kunywa juice za embe na machungwa na maji kwa wingi, hivyo vitu hapo juu usiviwaze kabisa.

Kwanini: mwili na akili yako hua havipokei effect zake kwa haraka, hua vinaenda vikijifunza taratibu hivyo ni ishu kuvi control mapema, hivyo mbali na kulewa baada ya kutumia wewe ndio unalewa kuzidi kutaka kuvitumia, utataka ujaribu kila linalowezekana ili uone matokeo yake na hapa ndipo watu tunapo poteana, wengine hua hawaridhiki na walivyotumia au walivyozoea tumia au walivyo kwisha tumia na kuendelea kujaribu vigeni zaidi kwao ndio hudondokea kwenye UNGA AKA NGADA na mpaka hapo biashara inakua imefika mwisho.

Hivyo mpaka kufikia kuvimudu hivyo vitu kwanza unatakiwa uwe na kichwa kizuri ( kwa neema ya Mungu na jinsi alivyo kuumba [emoji72] ) pia uweze kuhimili mihemko means uweze kuendesha akili zako sio kila amri inayotoka kichwani mwako uwe unaitekeleza, unapoona imetosha maana yake imetosha na sio " ngoja niongeze kidogo ", unapoona hiki hakiwezekani au ni hatari ukae kujiua ni hakiwezekani na ni hatari kweli sio " ngoja nijaribu nione "

Pia mwili na akili yako vikubaliane sio mwili hautaki alafu akili inakulazimisha au akili haitaki mwili unakulazimisha, ukisema unatumia maana yake unatumia na ukikataa maana yake usitumie kifupi vinahitaji nidhamu, ukiwa mfujaji navyo vitakufuja!

Bahati mbaya huwezi pata hiyo nidhamu mapema hua inachukua muda mpaka uvizoee ndio maana nikakwambia kama umetoboa 25 usivifikirie mf: ganja nimeitumia mfululizo ( matumizi ya kawaida ya kila siku asubuhi, sometimes mchana, na usiku na usiku ndio ilikua sherehe[emoji16]) kwa miaka kama 9 au kumi tangu gari limewaka form two[emoji2960]. Ndio nikaanza kubadili utaratibu wa matumizi na aina za matumizi lakini nilikua siwezi kufanya chochote kama sijapasha pia haikua rahisi ilini gharimu ila kwakua niliidhamiria akili na mwili vilikubali nika stop ghafla baada ya attempt kadhaa za kuacha kikawaida kushindikana ( kama kupunguza dose, kuruka siku moja moja na nyinginezo ), niliumwa hatari mpaka kulazwa hosp na hata nimetoka hosp hali haikua nzuri homa si homa, no kula no nini, ila shangaa dawa ikawa ni hiyo hiyo ganja tena, nimetoka hosp kufika home nikajichekecha nikaenda kuipuliza nilipona hapo hapo na ndio ikawa mwisho kuitumia mfululizo[emoji854] hivyo unapata picha ukiianza ulevi na 25 itakavyo kugharimu, huto pata muda wa ku turn_over

Kwa story hiyo fupi kulingana na swali lako, sio ganja pekee! Kilevi cha aina yoyote mpaka ukijue na kukidhibiti kinakuhutaji muda na lazima kikugharimu kwanza ndio uweze kuki control. Sijui nitakua nimekujibu!!?
 
Hizo mushrooms zinaitwa 'psiloccibin mushrooms".
Zinakua na psychedelic effect na ndo hyo inaitwa trip a.k.a safari.
Zinaweza kua consumed kwa kutafuna au kwa kuchanganya na maji ya moto kama chai.
Wengi wanasema unaeza kudata lakini hii ni kutokana na kutoelewa how to use them.
Hizi shrooms lazma uwe guided kama hujawahi kutumia. And here is the reason.
Kwanza lazma uanze na a small dose.
Pili, the guidance ni kwamba, unapotumia inafungua deep feelings ambazo kama hujaweza kucontrol unaeza jikuta u r dealing with bad feelings ambayo it leads to a bad trip.
So kwenye guidance, kwa mfano mtu anaeza kua guided kujaribu kuona future yake, so it takes ypur subconscious to another level and you can see vitu ambavyo kwenye normal senses huezi kuona.
Jamii nyingi za ndani ndani kama red indians na wale watu wanaoishi kwenye misitu ya amazon hua wanaitumia sana kama a form of deep meditation.
Hivyo bas, kama haujui vzur how to use them itakufanya uone mauza uza tu. N kama bangi, kama mtu hajui kuitumia vzur anaeza kuishia either kubembea au kupata mawenge ya kisoro, lakini kwa mtu anaejua misingi yake it can be used as a source of focus, au source of pleasure n.k.
Problem kubwa kwa nchi yetu n kwamba most times hatupati vitu standard so effect inakua haieleweki. Example bangi inayouzwa hovyo hovyo unaeza kuta leo umevuta sativa, kesho umevuta indica kwaio the effect inakua different. Mbaya zaidi ukivuta iliochanganywa na plama ndo kabisaa unajikuta umeanza kuwa mjate.
Lakini watu wanaovuta high grade wanapata a specific breed kwaio anapata the same effect everyday na inasaidia sana.

Nataka kujifunza kuvuta bangi
 
Kwa experience niliyonayo kwenye hiyo kitu sijui nianze kukuelezea wapi!

Kwanza kabisa: kama umesha toboa 25 na hujawahi tumia kilevi chochote, yani pombe, sigara na ganja, sikushauri uthibutu kuanza kutumia hivyo vitu kabisa wewe endelea kunywa juice za embe na machungwa na maji kwa wingi, hivyo vitu hapo juu usiviwaze kabisa.

Kwanini: mwili na akili yako hua havipokei effect zake kwa haraka, hua vinaenda vikijifunza taratibu hivyo ni ishu kuvi control mapema, hivyo mbali na kulewa baada ya kutumia wewe ndio unalewa kuzidi kutaka kuvitumia, utataka ujaribu kila linalowezekana ili uone matokeo yake na hapa ndipo watu tunapo poteana, wengine hua hawaridhiki na walivyotumia au walivyozoea tumia au walivyo kwisha tumia na kuendelea kujaribu vigeni zaidi kwao ndio hudondokea kwenye UNGA AKA NGADA na mpaka hapo biashara inakua imefika mwisho.

Hivyo mpaka kufikia kuvimudu hivyo vitu kwanza unatakiwa uwe na kichwa kizuri ( kwa neema ya Mungu na jinsi alivyo kuumba [emoji72] ) pia uweze kuhimili mihemko means uweze kuendesha akili zako sio kila amri inayotoka kichwani mwako uwe unaitekeleza, unapoona imetosha maana yake imetosha na sio " ngoja niongeze kidogo ", unapoona hiki hakiwezekani au ni hatari ukae kujiua ni hakiwezekani na ni hatari kweli sio " ngoja nijaribu nione "

Pia mwili na akili yako vikubaliane sio mwili hautaki alafu akili inakulazimisha au akili haitaki mwili unakulazimisha, ukisema unatumia maana yake unatumia na ukikataa maana yake usitumie kifupi vinahitaji nidhamu, ukiwa mfujaji navyo vitakufuja!

Bahati mbaya huwezi pata hiyo nidhamu mapema hua inachukua muda mpaka uvizoee ndio maana nikakwambia kama umetoboa 25 usivifikirie mf: ganja nimeitumia mfululizo ( matumizi ya kawaida ya kila siku asubuhi, sometimes mchana, na usiku na usiku ndio ilikua sherehe[emoji16]) kwa miaka kama 9 au kumi tangu gari limewaka form two[emoji2960]. Ndio nikaanza kubadili utaratibu wa matumizi na aina za matumizi lakini nilikua siwezi kufanya chochote kama sijapasha pia haikua rahisi ilini gharimu ila kwakua niliidhamiria akili na mwili vilikubali nika stop ghafla baada ya attempt kadhaa za kuacha kikawaida kushindikana ( kama kupunguza dose, kuruka siku moja moja na nyinginezo ), niliumwa hatari mpaka kulazwa hosp na hata nimetoka hosp hali haikua nzuri homa si homa, no kula no nini, ila shangaa dawa ikawa ni hiyo hiyo ganja tena, nimetoka hosp kufika home nikajichekecha nikaenda kuipuliza nilipona hapo hapo na ndio ikawa mwisho kuitumia mfululizo[emoji854] hivyo unapata picha ukiianza ulevi na 25 itakavyo kugharimu, huto pata muda wa ku turn_over

Kwa story hiyo fupi kulingana na swali lako, sio ganja pekee! Kilevi cha aina yoyote mpaka ukijue na kukidhibiti kinakuhutaji muda na lazima kikugharimu kwanza ndio uweze kuki control. Sijui nitakua nimekujibu!!?
nimekupata sana mtaalam
bangi naogopa kutokana na madhara ya moja kwa moja niliyoshuhudia kwa watu

vip kuhusu hii ya leo ,shrooms
tutajirbu au unasema mtaalam,?
 
nimekupata sana mtaalam
bangi naogopa kutokana na madhara ya moja kwa moja niliyoshuhudia kwa watu

vip kuhusu hii ya leo ,shrooms
tutajirbu au unasema mtaalam,?
Hii nikijaaliwa kuipata nitatumia kwa maana specification zake kwa maelezo ya hao wazee hapo juu ina meet na moja ya hitaji langu kuna swala ningetamani kulifahamu kwa kina japo nilishapata maelezo ya kutosha pia kupitia uzi huu kuna niliyo ongezea, nadhani nimebakiza kushuhudia tu[emoji2960][emoji16]
 
Hamjawahi kusikia stori za pori fulani ukipita unajikuta unazunguka ndani humo na kupoteza siku nzima halafu unajikuta umerudi mwanzoni ulipoanzia,
Ni kuwa humo kuna hizi mushroom, ambapo unajikutaa umezikanyaga zikatoa vumbi fulani likakungia wakati kwa jinsi unavuta pumzi kawaida na kupanda kichwani.
 
Hamjawahi kusikia stori za pori fulani ukipita unajikuta unazunguka ndani humo na kupoteza siku nzima halafu unajikuta umerudi mwanzoni ulipoanzia,
Ni kuwa humo kuna hizi mushroom, ambapo unajikutaa umezikanyaga zikatoa vumbi fulani likakungia wakati kwa jinsi unavuta pumzi kawaida na kupanda kichwani.
Nimewahi sikia story kama hii! Nini kinatokea mpaka huoni pakutokea!!?
 
Hapa hapa tz matajiri kibao wana moka, sio wasanii sio viongozi ni suti na maV8 ndio zina waficha
em nipe elimu mkuu
hii kitu inafaida zipi ambazo zimeleta mafanikio kwako binafsi ukilinganisha na hao matajiri uliotaja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom