Je, mama analikimbia kundi lililompigania kuhakikisha anakikalia kiti? Kwann?

Je, mama analikimbia kundi lililompigania kuhakikisha anakikalia kiti? Kwann?

Sote tunazikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuliona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Labda anaamini kundi jipya lina nguvu kuliko kundi lililomweka Madarakani

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hahaha...tuliwaambia humu mtu yeyote ataesimama na JPM anaukwaa uRais asubuhi sana, wapumliwa visogoni bado mnaamini JPM aliiba kura...pathetic
Yeye hakuiba kura, alivuka hatua za kuiba kura, yeye alipora mchakato mzima wa uchaguzi, na Wala hilo sio jambo la kificho.
 
Hahaha...tuliwaambia humu mtu yeyote ataesimama na JPM anaukwaa uRais asubuhi sana, wapumliwa visogoni bado mnaamini JPM aliiba kura...pathetic
Wanaelewa sana, wanajitoa akili makusudi.
 
Sote tunazikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuliona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Huu ni mwanzo wa "UTUNGU" kuna jambo Mungu anataka kulitendea taifa la Tanzania.
 
Wewe maisha yako ni kulalama na ujuaji mwingi,huu ni ugonjwa mbaya sana.


Imani yangu kizazi chako kina hasara sana hapa duniani
 
Sote tunazikumbuka tetesi na minong'ono iliyokuwa imezagaa mara tu baada ya kifo cha Magufuli. Tetesi zilidai kundi la watu watiifu kwa Magufuli hawakutaka mama akikalie kiti hicho. Walifanya kila liwezekanalo ili waweke mtu wao.

Ikatokea kundi la "wenye nchi" likawa na akili kubwa na ushawishi mkubwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama wakakakomaa na kuhakikisha mama anakalia kiti.
Kufuatia kadhia hiyo, tuliona watu wengi waliokuwa watiifu kwa Magufuli wakionja joto ya jiwe baada ya mama kukikalia kiti. Akina Bashiru, Polepole, Ndugai, Lukuvi, Kabudi, Hapi, Sabaya, n.k waliondolewa kwenye nyadhifa zao ili wasiwe karibu na sinia la mema ya nchi.

Lkn sasa tunaona mwelekeo wa mama ni kulisogeza kundi la mwendazake taratibu kwenye sinia la mema ya nchi. Uteuzi wa Makonda, Biteko na Mnyeti unathibitisha haya.

Swali la kujiuliza ni je, mama analikimbia kundi lililompigania? Kwann?
Dawa inakolea tarrrrratibu, mtaelewa tu 😆 😆
 
Mbinu inayotumika siyo nzuri. Kwasabb kama lengo ni kuyaua makundi basi kuzodoana na kukashifiana kulipaswa kuepukwa.

Anachokifanya Makonda ni kuibomoq ule upande wa Samia gang na kuutukuza upande wa sukuma gang.
Unaumia ukiwa wapi mwenzangu? 😀 😀 😀
 
Ccm wanacheza na akili ya watanzania walio wajinga.Na ndio maana wanaua elimu yetu ili wajipatie mtaji wa wajinga wawatawale milele na milele .Hii ya makonda na kina Biteko wanataka wateke kura za Kanda ya ziwa baada ya umaarufu wao kushuka.
 
....yale yale niliyosema, mnalazimisha. SG unajua fika sina uchawa, na sijawahi kuwa chawa. That aside.

narudia, mnalazimisha uwepo wa genge la kabila la Wasukuma, mnalazimisha uwepo wake, kama wewe umejiweka kwenye hilo kundi la wenye Akili, basi utagundua hata huyu SSH ni kundi hilo hilo, nankama umonkwenye wasio na akili basi mtabakia na Makasiriko tatizo hamtaki kuamini mnachokiona.

CCM kama ilivyo hahitaji hizo siasa za Kikanda. Kama ilivyo, SSH ni mgombea, kama ilivyo keshapita na kwa matokeo ya 2020 hakuna wa kubadilisha matokeo 2025 na huo ndio Ukweli.

Haya mengine sijui genge hili na lile jiwe this and that, ni negative reinforcement tu. Its a psychological warfare kwa Wananchi kwa sababu tu ya Impact ya J.P.M kwenye siasa za Dunia. Period. Ameweza kupunguza mbio za treni la Ukoloni mamboleo.

Ongeza na zako au uendeleze ukasuku.
You don't need to use a pair of binoculars to see mipasuko iliyopo ndani ya CCM,wala hatuhitaji kuaminishwa kwamba magenge hayapo wakati yanaonekana.
 
Binafsis

Binafsi CCM ilianza kunitoka moyoni baada ya kifo Cha magufuli na yale matamshi ya Nape kuwa CCM inawenyewe.
Sisi wakongwe ccm ilitutoka mwaka 1991 baada y kashfa ya loliondo, wizi wa dhahabu wa mama siti mwinyi, kashfa ya chavda nk.
 
Watu ambao hawakujua kucheza na siasa ni CDM kwa kushindwa kutembelea nyota ya Magufuli mapema wakati CCM wakimsodoa na CDM kumbaghaza Magufuli baada ya kufariki na kumwita mwendazake,wamepishana na kura nyingi. CCM anajua kusoma upepo wamemchukua Makonda ili aifufue nyota ya Magufuli kwa CCM kwa vile ni mtu sahihi kumtumia. In fact kwa nchi nzima wacha CDM waendelee na siasa za kuonewa huruma. Jazitawalipa muda eipta. No longer valid.
 
Hili ni jina halina kiswahili wa kiingereza. Kwani Hilo jina lako FaizaFoxy kiswahili chake kikije?

Hakuna kitu deep state ipo nchi za watu, siyo hawa walevi wa mnazi wa hapa kwetu. Huyu mzee mm namuaminia mno.

Mama akiendelea na ujinga wake wa kumparura kwa kumtumia Makonda tutaimba parapanda
Kwa hiyo yeye ndiye aliyemparapanda rondo?
 
Yashikilie mwenyewe mamlaka hayo, usiwasambazie wengine, ambao na wao wanayo ya kwao.
Nitasambaza ukweli siku zote kwa mamlaka niliyokuwa nayo! Tafadhali, koma,na Usinipangie, namna, jinsi, wakati au sehemu ya kufanya hivyo.

hatahivyo...sijamshika mtu "mwingine' yeyote mwenye kusambaza "Ukweli" na nitaendelea kukemea wote wenye kusambaza Uwongo wa aina yeyote ule.

Amani ikutawale.
 
Magufuli anapaswa kutukwanwa, Wala siyo kukejeliwa tu. Alikuwa mwendawazimu, mshamba na dikteta.

Chama cha Zitto hakikumkejeli jiwe? Aliyesema Magufuli ni mashamba na limbukeni siyo Zitto??
Lile halikuwa jendawazimu tu, bali ni shetani halisi
 
hatahivyo...sijamshika mtu "mwingine' yeyote mwenye kusambaza "Ukweli" na nitaendelea kukemea wote wenye kusambaza Uwongo wa aina yeyote ule.
Kwa nini wa kwako uwe ukweli, na ya wengine yawe uongo!
Tahadhari: usitumie tena maneno kama hayo ya 'ukome' kunijibu mimi ukitaka twende kwa staha humu.
 
Kisiki anayetegemea vyombo vya Dola, au Mimi ndio sijui ukisiki ni nini? Dhalimu mwenyewe alikuwa anapewa kubwa yake live wakati wa kampeni hadi akawa anaenda gereji Kila mara, itakuwa huyo makalio ya mlogalinzila? Cdm hawategemea siasa za mbeleko, unapewa kubwa yako maana hawaendekezi siasa za hisani.
Sukari imepanda
 
Back
Top Bottom