Je, Mapambano ya Wanaharakati na Diamond yana faida kwa nchi?

Uaikumbuka ile kura kura ya kumtafuta kiongozi bora wa afrika na wabongo wakaungaana kumpigia rais wa Ghana ili mwendazake asishinde,kuanzia hapo tafuta kwa nini inakuwa hivyo,kuna chuki dhidi ya raia na kama ndio kwa nini?
 
Hao wadhalimu ndio walitumia nguvu na akili zao katika kuijenga Tanzania. Haiwezekani asilimia pana ya walichokifanya kikawa ni udhalimu tu.

Mwanamuziki ni mtu mdogo sana kuweza kuuweka hadharani huo udhalimu halafu akaendelea kuwa na urafiki na uongozi wa juu wa watuhumiwa wa udhalimu.
 

nakukumbuka vyema shabiki nguli.
 
Uaikumbuka ile kura kura ya kumtafuta kiongozi bora wa afrika na wabongo wakaungaana kumpigia rais wa Ghana ili mwendazake asishinde,kuanzia hapo tafuta kwa nini inakuwa hivyo,kuna chuki dhidi ya raia na kama ndio kwa nini?
Hao waliompigia kura rais wa Ghana ni wachache walio sehemu ya kundi la wanafiki, hao siku zote wapo.

Tunazo roho mbaya siku zote.
 
Kama ni mfanya biashara kwa nini aliona na aliunga mkono maandano na harakati za wanaigeria kupinga uonevu wa polisi #End SARS,lakini binaadamu huyuhuyu anawaambia raia wa nchi yake wakae kimya kwa yanayoendelea nchini mwake hilo ndio swali watu wanajiuliza na kumuona kuwa ulikuwa na ufahamu wa kutosha bali alijitia upofu,hakuona hata wasanii wenzake yaliyo wapata kwa nini hakupaza sauti pamoja nao ila akashauri tukae kimya?
 
Hajui hili..

Fedha imeshamlevya. Ufahamu umeshatekwa na fedha. Macho yake yanaangalia fedha tu. Kila akipata fursa anabwabwaja kwa dharau dhidi ya hao hao wanaomfanya apate hizo fedha...

Kosa analofanya Diamond Platimuz ni kukifungamanisha kipaji cha sanaa yake ya muziki na siasa hususani siasa za CCM moja kwa moja....

This is a grave mistake...

Hii maana yake ni moja tu, kuwa, ufikapo mwisho wa CCM ndiyo utakuwa mwisho Wa sanaa yake pia na ndiyo utakuwa mwisho wa kila alichonacho...!!

Diamond Platinumz ajifunze kwa akina Ole Sabaya, Paul Makonda na wengine wa aina hiyo ambao starehe zao, jeuri yao, kula yao, akili na ufahamu wao umliomtegemea mtu. Sasa mtu kafa nao wanakufa taratibu na ndiyo mwisho Wa mambo yao yote...!!

Kama ambavyo wengi walikuwa hawaamini kuwa John P. Magufuli atafikia mwisho wake haraka sana, ndivyo ambavyo watu hawaamini kuwa CCM inasambaratika sana and it's very soon hilo litakuwa wazi kwa kila mtu...

Sanaa ya muziki haipaswi kufungamanishwa na siasa. Kina Diamond Platimuz na wanamuziki wengine kama wanataka kuishi ktk nyakati zote, waanze kuacha taratibu kuifungamanisha sanaa na vipaji vyao vya muziki kwenye siasa za moja kwa moja...
 
Umeandika upuuzi mwingi kwa faida ya aliekutuma. Kukosa kwako elimu isiwe sababu ya ww kuja kuanika ujinga wako hapa jukwaani, ukiendelea kuendekeza njaa kuna siku hao waliokutuma watakuomba to.bo la taka.. Shauri yako
Bado unaishi dunia ya masaria? tayari upepo ulishabadirika kama hujui muulize sabaya atakupa ubuyu.
 
unadhani chanzo kikubwa cha fedha za Diamond ni show? hujui hiyo ni mara moja tu kila baada ya miaka mitano,kwa hiyo tuelewe kuwa yeye anathamini pesa hata kama sote tutaisha! kama jibu ni ndio basi hafai hata kwa kulumangia.
 
Acheni uchawi wenu wa msata nyie watu..Vuta picha wewe ndio Diamond na nature ya utawala uliopita ulivyokuwa ungediliki kukataa kuwa upande wao? Hali ya nchi yetu inajulikana unataka apewe makesi ya kuhujumu uchumi? Kampeni yenu hii ni rubbish
Mbona wa kina Ney bado wapo?
 
Kufatilia siasa za Tanzania ni ujinga, full stop.
 
Under normal circumstances DOMO Asingeweza kutoa kauli yoyote kupinga uonevu kwenye ile awamu hata kama ungekuwa wewe asilani usingejaribu yani…as we speak angekua kesha potezwa vbaya sana..avune alichopanda ila hakua na namna
AJITOKEZE awaombe radhi wabongo
Hao waliompigia kura rais wa Ghana ni wachache walio sehemu ya kundi la wanafiki, hao siku zote wapo.

Tunazo roho mbaya siku zote.
Sio roho mbaya hata wao nao walikuwa wanamuona hana roho nzuri,ndio maana wakataka kumzuia asipate hiyo heshima haikuwa inamstahili,na ndivyo ilivyo kwa Diamond wanaona hastahili hiyo hishima kutokana na ushahidi walio utoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…