peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Mzee malechela alimuoa Anne kilango malechela mke wa pili ambaye ni mpare, na mange ni mpare. Hili Pia linawezekanaNimesoma mahali flan kuwa Dr.Mwele aliolewa na Mzee Kimambi ambaye ni Baba yake Mange kwahiyo alikuwa ni Step Mom wake.
Actually Jumanne Kimambi umaarufu wake ulianzia tangia kipindi mzee wa msoga anautafuta ubunge. Kimambi ndiye alikuwa muongoza timu ya kampeni enzi hizo kwani alikuwa na mpunga wa kutosha. JK aliyoingia kwenye uwaziri pia ilimsaidia Sana Kimambi kupata contracts mbalimbali serikalini kama kujenga majumba, fumigation, barabara etc... Hata alivyofariki JK alikuja kumzika Kijijini kwao ORIA, kata ya Kahe, Moshi Vijijini. Huyu mwamba pesa ilimtembelea mapema Sana miaka hiyo mpaka watu wakawa wanasema anauza mapoudaaa...Tatizo hayo yote Yana majibu sema wewe ni mtoto wa juzi, ungekuwepo enzi ya Mkapa ndio ungeelewa Kimambi ni nani na kwa nini mwanae alijikuta anakaa na celebrities na kwa nini babake aliweza kuweka mtoto wa Malecela Kama kimada wake ingali nae ni msomi mkubwa tu.
Soma alama za nyakati dogo
Tena andazi lililochachaUlipoandika lisu nikakuona andazi tu lisu ana ELIMU gani
USSR
Elimu kwako unaitafsirije? Mfano kwa kuangalia contribution au legacy ya mtu unaweza Kumlinganisha Lissu na Prof Lipumba?Ulipoandika lisu nikakuona andazi tu lisu ana ELIMU gani
USSR
But uzuri ni kwamba mzee kimambi watoto wake (wa ndani na nje ya ndoa) aliwa treat equally...Mange ni zao la sidechicks so nae ni sidekid akaona kumkomoa mke halali ni kumpenda sidechick mwingjne.
Madogo wamekosa adabu sana mkuu, yaani mtu umeshuhudia Nyerere alikabidhiwa uhuru na mkoloni halafu dogo anazingua?!!One, these are minor issues to occupy my time and mind; and lastly I can say for sure naweza hata kumzaa baba yako/mama yako! Sitanii! na wala siyo nimekutukana, hapana, nasema ukweli wa umri wangi. 1961 NILIKUWA NA AKILI ZANGU TUNAPATA UHURU IN STD 6!. WASEMAJE? FUTA NENO DOGO BASI!
Tango pori hili... Huyo mama wa kimakonde hakuwa kapuku.. Uzuri ni kwamba Mange yumo humu na nimjuavyo ataibuka kujibu hizi maneno aidha humu au kwenye app yake..Upo sahii kabisa Mange alimkana Mama yake Mzazi anakaa Tandika maswekeni akajipenyeza kwa Mwele Kua ndio mama Yake wakati Mwele alikua ni Mchepuko wa baba yake
Mange Hakutaka watu wamjue Mama yake mzazi alikua anamficha Ficha Yule mama kwa sababu ya umaskini japo alishaanza Kua na kipato mama yake akiwa bado hajafariki.
Naona alikuja kugundua Kua mama ni Mama when it was too late akakosa Baraka za mama yake
Sio wote wanasimamiwa na wahindi kama wewe, Wengine kazi zao zinaruhusu kuwa onlineKama ni mama ake au sio .nyinyi inawahusu vipi acheni umbea Fanyeni kazi
Acha ligi za Kijinga, mimi namjua mpaka Babu yake Mange... Kimambi, wadogo zake, Kaka yake Kimambi wote ni wapare wako hapo Kijiji cha ORIA...Mange sio Mpare ni Mkahe
Angeweka angaya ataUlipoandika lisu nikakuona andazi tu lisu ana ELIMU gani
USSR
But uzuri ni kwamba mzee kimambi watoto wake (wa ndani na nje ya ndoa) aliwa treat equally...
Baba yake ni mpareMbona Mange alishawahi kusema mama yake ni Mmakonde? Hata picha aliionyesha nafikiri Anne Kilango ni Mparea ama?
Inaonekana kipindi Cha ujana wake alikua pisi kaliDr Mwele kumbe alikuja kufanya diet akaoungua sana hiyo oicha naona hapo akiwa na Mange hakua hivyo alikua pande la Mwanamke Paja nHiii nhaaa....
Kahe, chekereni, mabogini, new land kule Kuna wapare wengi, japokua pia Kuna makabila mengine kama wamasaiAcha ligi za Kijinga, mimi namjua mpaka Babu yake Mange... Kimambi, wadogo zake, Kaka yake Kimambi wote ni wapare wako hapo Kijiji cha ORIA...
Dah jf watu wanamafaili aiseeMangereza ni mtoto wa mke wa kwanza wa kimambi, huyu mama aliitwa Asha Hamisi, mmakonde, bi Asha alimzaa Mange akiwa anafanya kazi chuo cha usafirishaji kama Katibu muktasi
Mange ni zao la sidechicks so nae ni sidekid akaona kumkomoa mke halali ni kumpenda sidechick mwingjne.
Nimeshangaa sana mtu anatuongopea bila aibu,asante kwa kuliweka hili sawa.Mange sio zao la sidechick. Mama yake alikuwa Mke halali wa baba yake ingawa alikuja kuachwa baadaye.
Uongo gani sasa we nyambizi mbona kiherehere hivyoMtu mzima unakuja na habari za uongo za "Naskia......."
π³
Pia Mange anapenda watu wenye majina makubwa, ilikuwa fahari kwake kuwa mtoto wa Mwele.
Punguza uongo Mkuu,hayo maneno ya kejeli hayasaidii uongo wako kuwa ukweli.Uongo gani sasa we nyambizi mbona kiherehere hivyo