Wagweno hawapendi kujitambulisha kama wapare, Ila maeneo hayo ya Kahe, Mabogini, Nyumba ya Mungu, Msitu wa Tembo kote huko ni mchanganyiko wa makabila mengi wakiongozwa na wapare.Kahe, chekereni, mabogini, new land kule Kuna wapare wengi, japokua pia Kuna makabila mengine kama wamasai
Wakahe na wagweno wengi wanapenda kujitambulisha kama wapare sababu tamaduni za kipare wanazitumia sana japokua Wana lugha zao
Ukisoma uzi wa Paschal Mayalla kaelezea alikuwa Mc wa Harusi ya DR.Mwele,inaonekana aliolewa kisha akaachika ndiyo akaja kuwa Mistress wa Baba yake Mange.Mwele hakuwahi olewa wala kuzaa?
Lakin wamefahamiana toka zamani sana
Mange sio zao la sidechick. Mama yake alikuwa Mke halali wa baba yake ingawa alikuja kuachwa baadaye.
Ukisoma uzi wa Paschal Mayalla kaelezea alikuwa Mc wa Harusi ya DR.Mwele,inaonekana aliolewa kisha akaachika ndiyo akaja kuwa Mistress wa Baba yake Mange.
uongo gani wakati nimesema nasikia ina maana zilikua tetesi.ni zamani ilisemwa hivyo sio mimi niliyesemaPunguza uongo Mkuu,hayo maneno ya kejeli hayasaidii uongo wako kuwa ukweli.
uongo gani wakati nimesema nasikia ina maana zilikua tetesi.ni zamani ilisemwa hivyo sio mimi niliyesema
walaumu waliosema hivyo,mi nimekumbuka tu kama kweli si kweli hainihusuSasa kwa nini uandike tetesi husizokua na uhakika nazo ?
Nadhani P alichanganya madesa, alikuwa anamzungumzia Seche ambaye ni mdogo wa marehemu, ndiye ambaye aliolewa....alifafanua baadae.Ukisoma uzi wa Paschal Mayalla kaelezea alikuwa Mc wa Harusi ya DR.Mwele,inaonekana aliolewa kisha akaachika ndiyo akaja kuwa Mistress wa Baba yake Mange.
Wanajitambuliasha wagweno wengi wanajua kipare, wapare wengi hawajui kipare nakuambia kwa sababu nimeshakaa ugweno kipindi flaniWagweno hawapendi kujitambulisha kama wapare, Ila maeneo hayo ya Kahe, Mabogini, Nyumba ya Mungu, Msitu wa Tembo kote huko ni mchanganyiko wa makabila mengi wakiongozwa na wapare.
Mange sio zao la sidechick. Mama yake alikuwa Mke halali wa baba yake ingawa alikuja kuachwa baadaye.
Mwele aliolewa na mtoto wa Kampten Mapunda lakini hawakufanikiwa kupata mtoto. Waliachana baadae.Nadhani P alichanganya madesa, alikuwa anamzungumzia Seche ambaye ni mdogo wa marehemu, ndiye ambaye aliolewa....alifafanua baadae.
Huyu na yule mzee mwingine mchaga aliemiliki ule mgahawa nyuma ya posta mpya walikuwa washikaji wakubwa.Actually Jumanne Kimambi umaarufu wake ulianzia tangia kipindi mzee wa msoga anautafuta ubunge. Kimambi ndiye alikuwa muongoza timu ya kampeni enzi hizo kwani alikuwa na mpunga wa kutosha. JK aliyoingia kwenye uwaziri pia ilimsaidia Sana Kimambi kupata contracts mbalimbali serikalini kama kujenga majumba, fumigation, barabara etc... Hata alivyofariki JK alikuja kumzika Kijijini kwao ORIA, kata ya Kahe, Moshi Vijijini. Huyu mwamba pesa ilimtembelea mapema Sana miaka hiyo mpaka watu wakawa wanasema anauza mapoudaaa...
Hao wengine ni majirani mlango huu na ule au geti hili na lile.Dah jf watu wanamafaili aisee
Info za ndan kama hizi huwezi pata kwenye gazet lolote ππππ
Naona watoa info kidogokidogo πMwele aliolewa na mtoto wa Kampten Mapunda lakini hawakufanikiwa kupata mtoto. Waliachana baadae.
Mpare na mkahe wote ni wapare, kama wachaga wa kibosho na romboMange sio Mpare ni Mkahe
Kuna tofaut gani kati ya wagweno na wapare??? Ila kahe na kule upareni (same ) ni sehem mbili tofaut sanaMpare na mkahe wote ni wapare, kama wachaga wa kibosho na rombo
Tofaut kat ya wagweno na wapare ni ipi??Wanajitambuliasha wagweno wengi wanajua kipare, wapare wengi hawajui kipare nakuambia kwa sababu nimeshakaa ugweno kipindi flani
Wagweno tamaduni zao ni za kipare mfano majina wanatumia ya kipare kama kanyika, kisakeni, kimako, mcharo, kazeni, mrutu, enea, kajiru n.k na ya kike wnatumia ya kipare
Nilitaka nimlaani, lkn nimemsameheMadogo wamekosa adabu sana mkuu, yaani mtu umeshuhudia Nyerere alikabidhiwa uhuru na mkoloni halafu dogo anazingua?!!
Ni lugha Ila tamaduni na tabia ziko sawa, ni kama mchaga wa rombo na machame lugha tofauti Ila tamaduni, tabia zinaendanaTofaut kat ya wagweno na wapare ni ipi??