Je, Mbowe kufutiwa kesi kabla ya mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa?

Je, Mbowe kufutiwa kesi kabla ya mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa?

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2020
Posts
4,437
Reaction score
13,836
Kesi ya Mbowe na wenzake inatarajiwa kuendelea tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA

Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.

Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Hizi siasa za TZ zimeja unafiki mtupu hamna lolote la maana, wengi wanajali matumbo yao msimamo haupo, wewe unadhani Zitto au mbatia wanaweza kugomea hicho kikao kisa mbowe iko gerezani sio rahisi........kila kitu kitaendelea vizri kama serikali inavo penda
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.

Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Kingai, mahta na igp watajinyonga.
 
Hizi siasa za TZ zimeja unafiki mtupu hamna lolote la maana, wengi wanajali matumbo yao msimamo haupo, wewe unadhani Zitto au mbatia wanaweza kugomea hicho kikao kisa mbowe iko gerezani sio rahisi........kila kitu kitaendelea vizri kama serikali inavo penda
Lkn kikao cha kwanza walikigomea kikashindikana
 
Ina mkono mrefu halafu imeshindwa kumkamata aliyejiunga ishia bomba la mafuta hapa mjini.
Ndio hapo sasa, ushahidi wa kuunga unga ule hautokani mkono mrefu au macho mengi ya serikali, ni wa kupika ofisini.
 
Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.

Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.

Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?

Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.

Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.

Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Hivi kweli kuna Chama cha Siasa kitakachoenda kwenye hili genge. Wawaachie maCCm yenyewe kwani kwenda kwenye hiyo ni kuunga mkono ukandamizaji wa demokeasia unaoendelea.
 
Back
Top Bottom