nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Hata hicho wagomee tuLkn kikao cha kwanza walikigomea kikashindikana
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hicho wagomee tuLkn kikao cha kwanza walikigomea kikashindikana
Shahidi wa mchongoMbowe apambane na tuhuma zake,serikali ina mkono mrefu ,kajaa
Ccm Haina ushawishi wowote Ni mabavu tu.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.
Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Alimlala mama yako?Acha kuota kamanda. Mwenyekiti ana tuhuma nzito mno.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Vyama vyote vimesajiliwa kwa Msajili wa Vyama Siasa kwa mujibu ya sheriabya vyama vya Siasa ya mwaka 1992. Vyama vyote viko sawa mbele ya sheria. Kitachokupa uhalali wa kwenda Ikulu siyo idadi ya wanachama wako bali sera zako utakavyoshawishi wapiga kura.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.
Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Kuna mengi chini ya kapeti, muda utaongea.Acha kuota kamanda. Mwenyekiti ana tuhuma nzito mno.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Nguvu inayotumiwa na chama tawala kukabiliana na chama pinzani ndiyo inaonesha utofauti wa vyama vilivyopo.Vyama vyote vimesajiliwa kwa Msajili wa Vyama Siasa kwa mujibu ya sheriabya vyama vya Siasa ya mwaka 1992. Vyama vyote viko sawa mbele ya sheria. Kitachokupa uhalali wa kwenda Ikulu siyo idadi ya wanachama wako bali sera zako utakavyoshawishi wapiga kura.
CHADEMA msijipe umaarufu msio nao
ila mpaka sasa kachemka na ushahidi wake usio na mtiririko wa kumtia hatianiKingai hawezi kukubali.Aliitunga kesi kwa muda mrefu
Hakuna Serikali duniani itavumilia michezo ya hovyo kama ambavyo walikuwa wameanzishaNguvu inayotumiwa na chama tawala kukabiliana na chama pinzani ndiyo inaonesha utofauti wa vyama vilivyopo.
Na hapa ndio kuna kosa kubwa lakuwapa MaCCM nafasi ya kuvuruga nchi watakavyo.Hizi siasa za TZ zimeja unafiki mtupu hamna lolote la maana, wengi wanajali matumbo yao msimamo haupo, wewe unadhani Zitto au mbatia wanaweza kugomea hicho kikao kisa mbowe iko gerezani sio rahisi........kila kitu kitaendelea vizri kama serikali inavo penda
Bahati nzuri tabia huwa haijifichi, wananchi tunawajua vizuri sana wachumia tumbo ni akina nani.Na hapa ndio kuna kosa kubwa ,lakuwapa MaCCM nafasi ya kuvuruga nchi watakavyo.
upinzani unaotengenezwa na CCM ndio watakua kimbere mbere kwenye uharibifu wa demokrasia.
Unaujua mkono mrefu au unaropoka utafikiri mlevi wa kilabuni au umemeza bapa la konyagiMbowe apambane na tuhuma zake,serikali ina mkono mrefu ,kajaa
Negotiations nje sheria nikubaka Demokrasia.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CDM ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CDM ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CDM.
Kama hatofutiwa, CDM watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Ndoto hizoKuna mambo yanaendelea kimya kimya yenye kuashiria pambazuko jipya.. Hata wakimfutia si kwa utashi wao bali pressure ya EU na washirika wake.. ! Kukichwa kupambazuka
Chadema ni maarufu kama hutaki kunywa sumu ufe tu.Vyama vyote vimesajiliwa kwa Msajili wa Vyama Siasa kwa mujibu ya sheriabya vyama vya Siasa ya mwaka 1992. Vyama vyote viko sawa mbele ya sheria. Kitachokupa uhalali wa kwenda Ikulu siyo idadi ya wanachama wako bali sera zako utakavyoshawishi wapiga kura.
CHADEMA msijipe umaarufu msio nao
Endelea kutumikia chama cha familia ya MteiChadema ni maarufu kama hutaki kunywa sumu ufe tu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Vitabu vya kuchonga uingiaji wa mahabusu Tazara naushahidi wa Komandoo wa Tabora vinaenda kuondoa uhalali wa kesiKingai, mahta na igp watajinyonga.
Je vipi nae Badluck atakubali🤔.Hata akikubali, sidhani kama Mahita atakubali.