Huyo anayesema mkono mrefu ni upi huo? Mkono mrefu wa Kingai, Mahita, Jumanne, Goodluck kusafiri kutoka kituo chao cha kazi Arusha, kwenda kukamata watu Moshi, Tabora na Mwanza, huku polisi wa maeneo hayo hawahusishwi?Ndio hapo sasa, ushahidi wa kuunga unga ule hautokani mkono mrefu au macho mengi ya serikali, ni wa kupika ofisini.
Kuna vyama vya kipumbavu utavisikia vimeenda.Hivi kweli kuna Chama cha Siasa kitakachoenda kwenye hili genge. Wawaachie maCCm yenyewe kwani kwenda kwenye hiyo ni kuunga mkono ukandamizaji wa demokeasia unaoendelea.
Lini mtaleta ushahidi wa hizo tuhuma nzito?Acha kuota kamanda. Mwenyekiti ana tuhuma nzito mno.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Rais Samia angepata credit kubwa sana kama angefuta hiyo kesi kabla ya kujadiliwa E.U.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA
Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Mbowe sio meza wala viti vya kikao hicho, kusema Chdema ni maarufu na vingine ni takataka ni lazima ujue kikao hicho kimeandaliwa chini ya uongozi wa Zitto ambaye ni mwanachama nje ya hiyo Chadema.Ukweli unaujua Chadema ni maarufu na muhimu kukiko hizo takataka zingine.
Pole nduguEndelea kutumikia chama cha familia ya Mtei
Acha kushabikia watu kunyanyaswa kwa tuhuma za kijinga .Kila Mtanzania ana haki bila kijali yupo chama gani ,kuwa na moyo wa kibinadamu ,Mbowe kuwa mahabusu hakutakufanya wewe uwe tajili.Vyama vyote vimesajiliwa kwa Msajili wa Vyama Siasa kwa mujibu ya sheriabya vyama vya Siasa ya mwaka 1992. Vyama vyote viko sawa mbele ya sheria. Kitachokupa uhalali wa kwenda Ikulu siyo idadi ya wanachama wako bali sera zako utakavyoshawishi wapiga kura.
CHADEMA msijipe umaarufu msio nao
Huu ni ukweli maana Jajialisha muomba Kingai amsamehe ngoja niitafuteKingai hawezi kukubali.Aliitunga kesi kwa muda mrefu
Jeshi letu linahitaji kufumiliwa.Mama atalifumua loote.
Kwa nini alifumue?Jeshi letu linahitaji kufumiliwa.Mama atalifumua loote.
Jeshi haliendani na kasi ya mama na limejikita katika mambo ya kisiasa kinyume na katiba.Ni kulifumua loote.Kwa nini alifumue?
Wao CCM pamoja na huyo mama, wanapenda jeshi la polisi linalojihusisha na siasa kwa sababu linawalinda wao dhidi ya vyama vingine vya siasa. Vyama vingine vya siasa vikitaka kufanya siasa, jeshi la polisi linatoa mkong'oto, hapo CCM wanapumua vizuri. Atalifumuaje jeshi kama hilo?Jeshi haliendani na kasi ya mama na limejikita katika mambo ya kisiasa kinyume na katiba.Ni kulifumua loote.
Uzamishiwe wewe kwenye njia ya haja kubwaHiyo sindano bila ganzi izame kwa nyumbu gang nyweeeeeeeeee
Well Noted...Kuna mambo yanaendelea kimya kimya yenye kuashiria pambazuko jipya.. Hata wakimfutia si kwa utashi wao bali pressure ya EU na washirika wake.. ! Kukichwa kupambazuka
Apo ndio mama anashauriwa vibaya na akina Kingai.Wao CCM pamoja na huyo mama, wanapenda jeshi la polisi linalojihusisha na siasa kwa sababu linawalinda wao dhidi ya vyama vingine vya siasa. Vyama vingine vya siasa vikitaka kufanya siasa, jeshi la polisi linatoa mkong'oto, hapo CCM wanapumua vizuri. Atalifumuaje jeshi kama hilo?
CHADEMA hawatakubali kushiriki uozo huo kwa kuwa ni chama makini.Kesi ya Mbowe inatarajiwa kutajwa tena mahakamani tarehe 14 Desemba.
Wakati huohuo, Mheshimiwa rais Samia anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye mkutano wa wadau wa demokrasia na vyama vya siasa tarehe 16 na 17 Desemba.
Je serikali itamfutia kesi mwenyekiti wa CHADEMA ndugu Freeman Mbowe kabla ya mkutano huo?
Ikumbukwe kuwa CHADEMA ndio chama cha siasa chenye wanachama wengi zaidi na ushawishi mkubwa baada ya CCM, hivyo itakuwa ni maigizo na vichekesho kufanya mkutano huo bila CHADEMA
Kama hatofutiwa, CHADEMA watakubali kushiriki kwenye mkutano huo? Sijasikia msimamo wa chama so far.
Kuna negotiations zozote chini ya kapeti baina ya serikali, msajili wa vyama na vyama vya siasa?
Mtajuana wenyeweMbowe sio meza wala viti vya kikao hicho, kusema Chdema ni maarufu na vingine ni takataka ni lazima ujue kikao hicho kimeandaliwa chini ya uongozi wa Zitto ambaye ni mwanachama nje ya hiyo Chadema.