Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Ahsante Kwa kutoa darsa labda wataelewa kuwa walichomezeshwa ni upuuzi wa kibinadamu na sio maagizo ya MUNGU


hapo ndipo mnapokua wagumu kuelewa aliokwambia mtoto wa nje ya ndoa analana ni nani au unajitungia mtoto wa nje ya ndoa anaheshima kama wanavyo heshimiwa binaadam wengine laana ni kwa wazazi wake walio vunja amri ya Allah
fungua masikio uelewe vizuri haya nikuambiayo.
1- Mwana mume amewekewa sheria na Allah atakapotaka kumuingilia mwanamke lazima kwanza amuowe.
2- Mwanamke naye akitaka kuingiliwa lazima aolewe kwanza.
3-Dume la mnyama linapotaka kupanda jike hakuna sheria ya kuona.
4- jike la mnyama linapotaka kupandwa hakuna sheria ya kuona.

N:B
KWA SHERIA HIYO YA NDOA ndio anayo halalisha mtoto anae patikana hapo awe wa Baba na mama kwa Binaadamu.

NA KWA SHERIA YA KUTOKUWEPO ndoa kwa wanyama ndio inayo halalasha mtoto anaye patakana awe wa MAMA TU.

HUTOONA HATA SIKU MOJA JOGOO AKARUDI NA VIFARANGA NYUMBANI AU MWENYE JOGOO AKADAI NAYE NI MUHUSIKA WA VIFARANGA WA JIKE LA JIRANI YAKE KWA KUA JOGOO WAKE ALIMSHUGULIKIA KWELIKWELI JIKE LILE
WALA DUME LANG'OMBE KURUDI NA NDAMA NYUMBANI.

Hilo ndio linalotokea kwa Binaadamu watakapo chupa sheria yao ya NDOA wakafuta sheria ya wanyama KUTOKUWEPO NDOA. basi mtoto anakua wa mama kama ilivyo kwa JAMII YOTE YA WANYAMA NDEGE N.K

QURA'AN 6:38
Wanyama walio ardhini na ndege warukao kwa mbawa zao ni umma kama mlivyonyinyi(binaadam) hutakuacha kuelewesha chochote kile katika hiki kitabu kisha kwa Mola wenu mtarudishwa.
 

Nashukuru Kwa maoni yako chief na Una haki ya kufanya hivyo.

Ila sheria itasimama mahala pake ili haya mambo yafikie kipindi yakome kabisa.

Shukrani Kwa kuchangia.
 
Shukrani Kwa kutia neno mkuu maana naona watu hawataki kuelewa uhalisia WA mambo Ila wanasukumwa na hisia tu
 
Mashallah chief

Asantumu Kwa kujazia maarifa hapa
 
Nashukuru Kwa maoni yako chief na Una haki ya kufanya hivyo.

Ila sheria itasimama mahala pake ili haya mambo yafikie kipindi yakome kabisa.

Shukrani Kwa kuchangia.
Sheria iliyojaa mapungufu top to bottom ni sheria?? Ni tamanadun na taratibu za kiarabu za hovyo

Mambo yakome?? yanakoma vipi wakat watendaj hawaathiriki na chochote hapo , au huyo mtoto n mtendaji?? Manake yeye ndie muathirika na sio wazazi
 
Mnathibitisha vipi kama mtoto ni zao la ndoa? Nauliza hivi kwani hakuna uhakika (guarantee) kuwa kweli watoto wote ni wa mume na mke fulani. Na haki zao zikoje?
 
SHAHAWA za DICKSON/JUMA unataka ziitwe jina la mama? kweli WA ASIA wamewaroga ninyi kisa kanzu ambazo hata gest wanaenda nazo.
 
Mpaka leo naeleza waarabu hawana akili mnabisha.

Waarabu wameleta dini lakini wanaangalia penye asali.

Ukiwa nacho wewe ni mwarabu mwenzao ukiwa kapuku wewe ni ahaya zina kuusu
Sijakusoma Mkuu..

Kwamba matako yako ni mekundu?
 
Sheria iliyojaa mapungufu top to bottom ni sheria?? Ni tamanadun na taratibu za kiarabu za hovyo

Mambo yakome?? yanakoma vipi wakat watendaj hawaathiriki na chochote hapo , au huyo mtoto n mtendaji?? Manake yeye ndie muathirika na sio wazazi

Nilitamani huu mjadala na wewe ungeisha kwasababu huwa Nina kanuni moja ambayo ni kwamba

Ikifikia kipindi hatuelewani au hatufikii muafaka au tunapishana kimitazamo au kila mtu anasimamia misimamo yake basi ni Bora KUKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA

Ila nitachangia jambo hili,unaposema kuwa watendaji hawaathiriki sio kweli,anayefuata sheria na kuamini juu ya sheria ya Allah huathirika Sana.

Kitendo cha mtoto wako WA zinaa kutompa Jina la ubini wako ni adhabu tosha kabisa,maana kutochukua ubini wako ni kama unamiliki gari halafu huna Kadi au kiwanja na huna Hati,maana ni kwamba Mda wowote chochote kinaweza kutokea

Kitendo cha wewe kutorithiana na huyo mtoto ni adhabu tosha kwako wewe Baba.

Kitendo cha kukosa haki ya kuozesha kama ni mtoto WA kike ni adhabu tosha maana itabidi umtafute sheikh amuozeshe Kwa niaba yako.

Sasa mtu mwenye akili timamu next time hawezi fanya upuuzi huo tena.

Nitakuwa tena sina la ziada kujadiliana na wewe,naogopa tusije kuvunjiana heshima.

Shukrani.
 
SHAHAWA za DICKSON/JUMA unataka ziitwe jina la mama? kweli WA ASIA wamewaroga ninyi kisa kanzu ambazo hata gest wanaenda nazo.
Huo ni mtazamo wako na maoni yako na Una haki ya kufanya hivyo

Ingawa

Upo mbali na uhalisia
 
Mnathibitisha vipi kama mtoto ni zao la ndoa? Nauliza hivi kwani hakuna uhakika (guarantee) kuwa kweli watoto wote ni wa mume na mke fulani. Na haki zao zikoje?

Hili unalo uliza limeshajibiwa katika komenti zilizo pita lkn nitajibu Kwa ufupi.

Iko hivi...

Ndoa ndio kidhibitisho chako wewe kuwa huyo mtoto ni wako kisheria, ndio inakupa umiliki halali WA hao watoto wako kwasababu mwenye shamba ndio mwenye mazao yake.

Hata kama akitokea jirani akalima shambani kwako bado mwenye mazao ni wewe, kwahiyo hata ikatokea ukazini na mke WA mtu na ukazaa nae,huyo mtoto ni WA mume husika.

Ni Sawa na wewe ukizaa nje ya ndoa basi huyo mtoto wa zinaa sio wako kwakuwa hauna nasabu naye kutokana na kutokuwa na ndoa Kati yenu.
 
Iko hivi...

Ndoa ndio kidhibitisho chako wewe kuwa huyo mtoto ni wako kisheria, ndio inakupa umiliki halali WA hao watoto wako kwasababu mwenye shamba ndio mwenye mazao yake.
Kwenye ndoa ya Mutah utajuaje mtoto ni wako , na ukichukulia unaweza maliza siku tatu zako kidume kingine kikaoa siku tatu tena
 
Kwenye ndoa ya Mutah utajuaje mtoto ni wako , na ukichukulia unaweza maliza siku tatu zako kidume kingine kikaoa siku tatu tena
Hizo zilikuwa na mushkeli ndio maana zilifutiliwa mbali, naamini waliofuatia kuzifanya walikuwa na mapungufu mengi

Na

Kuna kauli zinasema kuwa hizo ndoa hazikuwepo.
 
Hizo zilikuwa na mushkeli ndio maana zilifutiliwa mbali, naamini waliofuatia kuzifanya walikuwa na mapungufu mengi

Na

Kuna kauli zinasema kuwa hizo ndoa hazikuwepo.
Hakuna ushahidi zilifutwa , Muhammad kafa zilikiwa zinaendelea ,

Unataka kusema Allah anaweza leta ndoa ambayo Ina mushkeli? Embu rekebisha kauli
 
Hakuna ushahidi zilifutwa , Muhammad kafa zilikiwa zinaendelea ,

Unataka kusema Allah anaweza leta ndoa ambayo Ina mushkeli? Embu rekebisha kauli
Je unajua makusudio ya kuletwa zile ndoa?
 
Rekebisha kwanza kauli Yako kumzulia Allah kaleta ndoa yenye mushkeli,

Kazi ya kumpinga Allah niachie mimi
Mushkeli kwa watekelezaji WA ndoa hizo na sio Allah azza WA jallah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…