Mobalikitoko
Member
- Jan 4, 2022
- 61
- 59
Ahsante Kwa kutoa darsa labda wataelewa kuwa walichomezeshwa ni upuuzi wa kibinadamu na sio maagizo ya MUNGU
Kama unahisi kwenye maandiko matakatifu Kuna mawazo yakibinadamu ndani yake basi hata hili la watoto wakando limechukuliwa kibinadamu maana naamini Mungu hakumuumba mtu na kumruhusu Aishi Ili aitwe majina ya laaana. Majina na Mambo mnayoyapigania mkiamini ni maagizo ya Mungu mjue waliongeza wanadamu wenye mwili wa nyama na sio mwenyezi Mungu muumba wa mbingu, nchi na vitu vyote vilivyomo.
hapo ndipo mnapokua wagumu kuelewa aliokwambia mtoto wa nje ya ndoa analana ni nani au unajitungia mtoto wa nje ya ndoa anaheshima kama wanavyo heshimiwa binaadam wengine laana ni kwa wazazi wake walio vunja amri ya Allah
fungua masikio uelewe vizuri haya nikuambiayo.
1- Mwana mume amewekewa sheria na Allah atakapotaka kumuingilia mwanamke lazima kwanza amuowe.
2- Mwanamke naye akitaka kuingiliwa lazima aolewe kwanza.
3-Dume la mnyama linapotaka kupanda jike hakuna sheria ya kuona.
4- jike la mnyama linapotaka kupandwa hakuna sheria ya kuona.
N:B
KWA SHERIA HIYO YA NDOA ndio anayo halalisha mtoto anae patikana hapo awe wa Baba na mama kwa Binaadamu.
NA KWA SHERIA YA KUTOKUWEPO ndoa kwa wanyama ndio inayo halalasha mtoto anaye patakana awe wa MAMA TU.
HUTOONA HATA SIKU MOJA JOGOO AKARUDI NA VIFARANGA NYUMBANI AU MWENYE JOGOO AKADAI NAYE NI MUHUSIKA WA VIFARANGA WA JIKE LA JIRANI YAKE KWA KUA JOGOO WAKE ALIMSHUGULIKIA KWELIKWELI JIKE LILE
WALA DUME LANG'OMBE KURUDI NA NDAMA NYUMBANI.
Hilo ndio linalotokea kwa Binaadamu watakapo chupa sheria yao ya NDOA wakafuta sheria ya wanyama KUTOKUWEPO NDOA. basi mtoto anakua wa mama kama ilivyo kwa JAMII YOTE YA WANYAMA NDEGE N.K
QURA'AN 6:38
Wanyama walio ardhini na ndege warukao kwa mbawa zao ni umma kama mlivyonyinyi(binaadam) hutakuacha kuelewesha chochote kile katika hiki kitabu kisha kwa Mola wenu mtarudishwa.