Je, Mtoto aliyezaliwa nje ya Ndoa anafaa kuitwa Jina la ubini la Baba yake?

Ndio maana nimesema haujaleta Swali bali Maelezo... (kwa Imani yako uliyoyaeleza ni sawa) ila kwa kidunia na kwa macho ya mlengwa (huyo mtoto) sio sawa hata kidogo Hapo Kale watu walipata shida sana za kutetwa, kutengwa na kutokupewa wadhifa wowote popote pale sababu walionekana kama Haramu / Bastards... Hio si sawa kwa Bin Adamu mmoja kumtendea mwingine..., ingawa kwa imani yako ni sawa na nitakuwa chizi kukubishia imani yako.....
 

Sawa kwanini adhabu apewe huyo mwanamke na mtoto tu? Maana hiyo zinaa hajafanya peke yake
 
Nje ya ndoa ndio wapi?
 
Hivi vilivyomo ndani ya binadam viliumbwa na Mani?
 
Kuhusu swali katika mada yangu bilashaka halikuwa swali kama swali hasa Ila Ila namna ya kuileta mada husika au kuiweka mada husika.

Nashukuru kwamba umekiri Kwa mujibu wa Imani ni Sawa na hauna haki ya kuhoji Hilo

Ila

Umekiri Kwa Maisha ya duniani ya kawaida ni mtihani na changamoto,nami sipingani na wewe hata kidogo juu ya hilo
 
Ukitaka kuhoji hayo basi itabidi uanze kuhoji je uzao kutoka Kwa adam ilikuwaje kuwaje

Nadhan unatambua wale watoto ilibidi watembee na madada zao ili kizazi kiongozeke, je hapo utasemaje?
Mkuu ni wapi ulisikia watoto wa adammu walizaa na dada zao?. Adamu alipata watoto watatu tu wote wa kiume inamaanisha kulikuwa na jamii nyingine tofauti na mwanzo wa uzao wa adamu.
 

Open your mind,usiwe limited nanaamni Mungu amekupa ubongo wa kureason so kujificha kwenye mlango wa maandiko sio sawa
 
mtoto hapo adhabu yake ni hipi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
msababishi mkubwa wa zinaa ni mwanamke,ajabu watu wengi awajui nini maana ya neno bdoa wengine wanajua ila wapinga kwa kusukumwa na chuki ya ushenzi walio nao hata mila zinapinga kujitwalia mtoto wamtu bila talatibu za mila husika

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hili la kubagua watoto limeongeza ukatili katika jamii kwa asilimia nyingi mno.
Hapa swala ni watu kubadilika na kuacha kuzaa ovyo kama wanyama nje ya utaratibu

Tukikubali ukweli huu tutabadilika na huo ndio msingi wa maagizo na Sheria za Mungu
 
Open your mind,usiwe limited nanaamni Mungu amekupa ubongo wa kureason so kujificha kwenye mlango wa maandiko sio sawa
Mkuu kuna mambo ya kureason lkn zinapokuja Sheria za Mola wako aliyekuumba wewe na Mimi huna haki ya kuleta maoni yako
 

Mmekaa kikandamizi sana,ona lawama zote mnamsukumizia mwanamke…Hata katika mahusiano ya mapenzi kawaida nani huwa initiator kama sio mwanaume? Sasa mwanamke anakujaje hapo?ok sawa na je waliobakwa? Wao ndo wamesababisha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…