Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #121
Mtoto ataolewa kama kawaida Ila idhini haotatoka Kwa Baba yake Ila Kwa kiongozi wa kidini ndio atamuozesha Kwa niaba yakeHii hapa imekaaje? Sasa hapo huyo mtoto hatoolewa Ama ?
Mkuu umeleta hoja ya msingi Sana lakini mambo mengine ni ya kimungu zaidi.Tuachane na kizazi cha kwanza cha adamu tuje kwa adamu wa tatu ambaye ni Ibrahim aliye tuletea imani mbili ya Isaka na Ismail, Iweje imani ya Ismail umbague na kumkandamiza mtoto wa nje ya ndoa kiasi hicho ilihali muasisi wake alizaliwa nje ya ndoa?. Kwanini isingetoa room ya kurekebisha na kupewa haki kama watoto waliozaliwa ndani ya ndoa.
Mkuu Mungu sio katili Ila hayo ndio matokeo ya kwenda kinyume na sheria zake.Ndo maana wengine wanakuwa wapagani. mungu gani katili hivi anaadhibu watoto ambao hawakuomba wazaliwe na wazinzi?
Umesema sahihi,ninavyojua Mimi ni ndoa ya kikristo ndio inatambulika endapo mke na mume WA Imani Yao watabadili Dini na kuwa waislamu hawatalazimika kuoana tenaNikisahihishe kidogo, ni kweli ndoa ya msingi ya dini inapendelewa zaidi ila katika uislamu ndoa zilizofungwa kwa imani nyengine zinatambuliwa pia, yani mtu akifunga ndoa kanisani huko ama uhinduni huko hiyo ndoa inatambulika
Ndio maana wanaondoa wa imani tofauti wakiingia uislamu hawana haja ya kufunga ndoa upya
Kwahiyo kujaaliwa na Mwenyezi Mungu ndio upo sahihi?Na hapo ndio ujue haijalishi ulizaliwa ndani ya ndoa au nje Mungu anaweza kumjalia yeyote kati yao.
Na hapo ndio ujue pia Mungu hajasema hicho kilicholetwa na mleta mada,ni mambo yaliyopangwa na wana wa adamu tu kwa kuwabagua wengine ambao pia ni viumbe kwa maslahi wanayoyajua wenyewe
Ndio maana wanatoa povu balaa! HahahaUmewagusa watoto wa nje ya ndoa mkuu washakuvamia
Sawa, ila ikinitokea mm itabidi anielewe tu maana siwezi telekeza damu yangu. Mm huwa naamini mtt ni zawadi kutoka kwa MUNGU. Sasa akiruhusu nikaipata hiyo zawadi katikati ya makosa yangu ya uzinifu ajue tu atabeba jina langu, urithi nitamwandikia na nitamuunganisha na dada na kaka zake wa ndani ya ndoa.Mkuu Mungu sio katili Ila hayo ndio matokeo ya kwenda kinyume na sheria zake.
Lau tungekuwa watiifu na kufuata muongozo wake haya yote yasingetokea
Na kwakila Jambo Lina fundisho ndani yake, ambao hawajafanya huo upuuzi watajifunza kutoka Kwa walikosea
Nikupe mfano mmoja ISA mwana WA Mariam hakuwa na Baba na ndio maana ameitwa Kwa jina la mama yakeSasa mtoto anakuaje hana baba aisee. Na vipi mtoto akipatikana kabla ya ndoa na mkaoana mkiwa na huyo mtoto bado atakua hana baba??
Hahaha najua si unamvimbia Mungu usijali we Vimba Tu IPO siku paap huyu hapa ndo utakujua hujuiSawa, ila ikinitokea mm itabidi anielewe tu maana siwezi telekeza damu yangu. Mm huwa naamini mtt ni zawadi kutoka kwa MUNGU. Sasa akiruhusu nikaipata hiyo zawadi katikati ya makosa yangu ya uzinifu ajue tu atabeba jina langu, urithi nitamwandikia na nitamuunganisha na dada na kaka zake wa ndani ya ndoa.
Sasa hukuwepo ungejuajeBinadamu wa kwanza walifunga ndoa wapi?
πππ Kpnz changu naona unapagawa Tu, ndio mambo ya dunia hayoUnajua nini,kuna amri kumi za Mungu lakini binadamu wa kisasa hakuna hata moja katimiza afu huyo huyo anakuja kuleta fafanuz nyingiii....mi huwa naangalia tu na kujisemea ...Hiiiii
MimI sifanyi maamuzi sababu naogopa. Najua sina nafasi mbele ya MUNGU ila still itabidi anielewe tu. Yatakuwa ni mazungumzo kati ya MUNGU na aliyemuumba kwa mfano wake kuhusu baraka ya uzao aliompa.Hahaha najua si unamvimbia Mungu usijali we Vimba Tu IPO siku paap huyu hapa ndo utakujua hujui
Maelezo yako nimeyapata lkn hakuna kauli ya itayochukua nafasi dhiki ya Allah na MtumeIPO kauli ya baadhi ya Ahlul ilmi ( Wanazuoni wa dino ya kiislamu) nafikiri mmojawapo ni Al-uthaimiin, kuwa mtoto wa nje ya ndoa anaweza kunasibishwa na baba Kwa masharti kadhaa, miongoni mwayo ni (I) Baba kumkubali mtoto kuwa ni wake (Ii) mwanamke aliyezaa na asiwe mke wa mtu (III) kusiwe na mtu mwingine anaedai pia kuwa mtoto husika ni wake.
Ninayoyakumbuka ni hayo juu, hivyo yakitimia hayo mtoto atapata haki zote apatazo mtoto aliyezaliwa ndani ya ndoa, Allah ni mjuzi zaidi.
Nimesahau hiyo Aya IPO katika Sura gani,lkn itapatikana Tu inshallahNafikiri ingependeza zaidi ungeweka na source/reference
Ndio najaribu kujikumbusha SURAT AN-NISAAI hapa
Ila Dini sometimes inaleta UPUMBAVU Sana... yaani inakufanya unakuwa mjingaMimi binafsi ni mhanga wa hili Jambo lakini namlea mwanangu vizuri Sana,ingawa sikupenda kabisa mwanangu WA kiume asichukue Jina la ubini wangu lkn sina namna kwakuwa namuamini Allah huyo mtoto ataitwa Kwa jina la ubini WA mama yake.
Kwangu Mimi neno la Mwenyezi Mungu lipo juu ya kila kitu.
Kwahiyo kama Baba natoa huduma zote stahiki.
ππππ Kpnz changu naona unapagawa Tu, ndio mambo ya dunia hayo