Anikajema
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 644
- 558
Uko wapi kaka naweza kukupa msaada wawatu wanaoweza kukusaidia, ila kiufupi huyo jamaa ni mdhulumaji, kwahyo kamfungulie kesi ya aina hiyo ingawa sijui itakua ni jinai au ni nini, kama unarekod zozote za malipo ya mwisho, na baadhi ya meseji au risit za miamala, au maongez yenu kabla hajaanza bugdha hizi itakiwa vzr maana itakuwa ni ushahidi, pia umejarbu kuongea na upande wa ndugu zake? Maana haya mambo ya familia bwana yanalawama sana, anza kuongea na upande wa ndugu zake kama hawatakuelewa na kumuweka chini ujue ni njama, kwahyo unakata nao mazoea then unaenda kortin sasa.