Mkuu naona wachangiaji wengi wanaikwepa sana hio point,,, Kikao cha mirathi.!?? Halafu Ukweni.!?? Ili iweje.!?? Ndugu wa Mume nao walikuwa wapi.!???
Tatizo liko hapa na wala sio hio mirathi au aliyechaguliwa.
Sawa mfiwa ulikuwa na wakati Mgumu,,,, Je,Ndugu wa Mume walikuwa wapi.!? Walishiriki kikao?? Nini sababu ya kikao kufanyika Ukweni.!??
Mleta uzi Pole sana kwa Kufiwa na Mkeo.. Kilichofanya ufike hapo ndio kitafanya ushindwe hata huko Mahakamani... Rekebisha Mentality yako.. Unaonekana Mtoto wa mama sana,,, Kuwa Mwanaume kwanza ndio ulishughulikie hilo...
Be a man,,, Stay taliban...
ROBERT HERIEL msaidie huyu mawazo kisheria