FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #101
Hapana, sijalenga kuuliza hilo, nimeuliza kile nilichouliza tuInawezekana. In fact,it is the ONLY way to do it Hizo Ekaristi zinaleta magonjwa ya kuambukiza. Wakatoliki hawawezi kuendelea wanavyofanya Sasa. Something has to change.
Ekaristi Takatifu ni kipande cha ngano. Nadhani wewe unataka kuuliza,He kwenda Kanisani bila kupokea Komunyo ni kupoteza muda?