Je, mtu unaweza kupokea Ekaristi Takatifu bila kula kile kipande cha ngano?

Je, mtu unaweza kupokea Ekaristi Takatifu bila kula kile kipande cha ngano?

Wewe ni mkristo? Kama jibu ni ndiyo, je unaenda kanisani? Kama jibu ni ndiyo, kwa nini unaenda physically na usiende spirituality? Kwa nini watu wasiabudu spiritituality tu wakiwa nyumbani?
Assume vyoote hivyo jibu ni hapana. Wewe changia regardless.
 
Bado kibano kipo pale pale. Kwa nini watu hawaendi kwenye nyumba za ibada ki-spiritituality?
Hata mimi najiuliza hilo swali kama hilo, ila langu limelenga kula ngano specifically.., maana unaweza ukahisi hiyo ni kama symbolism ya kusanyiko la wachawi kwenye mbuyu. Ila hilo lako anzishia uzi pia ili twende sawa
 
Logic ya wapi? Ya kutunga wewe? Kama ni hivyo basi binadamu kwenye kuabudu tusingepaswa kufanya matendo yoyote kwa miili yetu. Tungepaswa kufanya mambo kwa kutumia imani na fikra basi!
Relax mkuu,, punguza mihemko tuelewane taratibu...

Logic maana yake ni a proper or reasonable way of thinking about something

Wewe unapokula hiko kipande cha mkate na Mvinyo unatumia imani au fikra..????
 
Relax mkuu,, punguza mihemko tuelewane taratibu...

Logic maana yake ni a proper or reasonable way of thinking about something

Wewe unapokula hiko kipande cha mkate na Mvinyo unatumia imani au fikra..????
Mbona unavamia gari kwa mbele? Unajua mimi ni mfuasi wa dini gani? Au kujibu ndiyo umeshadhani natetea dini yangu?
 
Mbona unavamia gari kwa mbele? Unajua mimi ni mfuasi wa dini gani? Au kujibu ndiyo umeshadhani natetea dini yangu?

Jibu nilichokuuliza,, hakina uhusiano wa wewe binafsi... hilo ni swali na nimekutumia wewe kama mfano wa kufundishia.

seems bado una mihemko,, tuliza hiko kichwa taratibu utanielewa... wala hata usiwe na haraka

Endelea kufuatilia komenti humu kwa ustaarabu,, utaelewa..

Jipe muda.
 
Sijui unauliza nini. Unauliza ni lazima kupokea Ekaristi? Siyo lazima. Ile khutba pale Kanisani ndiyo muhimu.
Hasa baada ya Corona imeonekana dhahiri Ekaristi kuwa ni kitu cha mashaka.
 
Nini kinatofautisha hii na ‘Symbolism’ za waganga wa jadi? Mfano, why akuambie ulete kuku mwekundu au mweupe au mweusi? Why? Asipokuwa wa rangi hizo inakuwaje? Au why mtu ale kipande cha ngano na sio kipande cha sembe? Why?
N maamuz tu. Koz mkate upo easily accessible kama ungekua haupatikan tungetafuta alternative yake.
 
Kajielimishe kuhusu maana ya bibilia ndio urudi hapa.

Kajielimishe kuhusu historia ya biblia na vitabu vyake ndio urudi hapa.
Wewe uliyejielimisha ndio useme sasa, kwanini miaka 13 - 30’hakuna tunachoambiwa juu yake, alimuoa nani?
 
Naomba kukupinga hapo unaposema maisha ya yesu between 18yrs na 30yrs hayana maana yeyote. Kwamba katika kipindi hicho maisha yake hayakuwa na cha kuigwa kama mfano kwetu?
Inamaana unataka kusema matendo yake katika umri huo si ya kupigiwa mfano kabisa, na hatupaswi kumkumbuka? Ila tuendelee tu kulishwa ngano na pombe kali kwa kisingizio cha kumkumbuka?

Alifunga ndoa lini na alifunga na nani? Tusije tukawa tunakula nyama na kunywa damu ya mzinzi bila kufahamu..? Maana umri huo wa 18-30 majaribu ni mengi sana

Halafu hili suala la kula nyama za watu / mtu na kunywa damu za watu, mbona limekaa kichawi chawi sanaaa.., ushirikina mwingi mno kwenye mambo ya kula nyama za watu.., kwanini mnafanya shirki kwa kisingizio cha kukumbukana?!
Jamaa yako Magufuli yeye ndio alikuwa anapiga magoti kabisaa anabusu hadi sanamu la msalaba.
 
Baada ya Yesu kufufuka, alikutana na wanafunzi wake mara nyingi. Na katika kukutana kwao aliumega mkate, baada ya kupaa wanafunzi walikua na desturi ya kukutana mara kwa mara na kila wakikutana walifanya maadhimisho ya ekarist takatifu kwa kuumega mkate.

Physical action ni kuumega nabkuula
Spiritual action or sense or aim n ye maneno
Huu ni mwl wangu uliotolewa kwa ability yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mm.

Unastairi ya kuila ekarist kama unavyovigezo.
Mmmh . Alikuwa kabla hajafa buana. Rekebisha kidogo hapo.
 
Anaeoka hivyo vipande vya ngano, akiwa ni mzinzi kwa mfano, inaathiri utendaji kazi wa hiyo dawa?

Maana kwa upande wa waganga wa jadi, unaambiwa ukioga hii dawa usivae viatu au vitu kama hivyo.., je .., kuna masharti katika upikaji wa hiyo dawa ya mkate?
Kabla ya kuandaa lazima aombe na kujitakasa.. asemehewe makosa yake.

Hata hivyo, uzinzi wake hauondoi mantiki ya kwamba watu wanafanya hivyo kwa kumkumbuka YESU KRISTO.
 
Kabla ya kuandaa lazima aombe na kujitakasa.. asemehewe makosa yake.

Hata hivyo, uzinzi wake hauondoi mantiki ya kwamba watu wanafanya hivyo kwa kumkumbuka YESU KRISTO.
Sasa huoni hizi ni symbolism kama za waganga wa Kienyeji?
 
Mantiki ya swali langu inalengo la kufahamu, je, Ekaristi ni kitu ‘Spiritual’ au ni kitu ‘physical’? Meaning, mtu anaweza kupokea Ekaristi bila kula kile kioande cha mkate? Spiritually tu kwa kuamini?
Inawezekana. In fact,it is the ONLY way to do it Hizo Ekaristi zinaleta magonjwa ya kuambukiza. Wakatoliki hawawezi kuendelea wanavyofanya Sasa. Something has to change.
Ekaristi Takatifu ni kipande cha ngano. Nadhani wewe unataka kuuliza,He kwenda Kanisani bila kupokea Komunyo ni kupoteza muda?
 
Back
Top Bottom