EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Ni una mambo mengi hata hueleweki unachokitaka na kukielewa,Conveniently, kipindi cha hadi miaka 12 maisha ya Yesu kimeandikwa kwenye biblia, alipoingia balehe tu, kuanzia miaka 13, hakuna chochote juu yake , how convinient?! Baada ya miaka 30 hatuambiwa ana wake wangapi wala watotot wangapi, na kuanzia miaka 13 hadi 30 hakuna chochote kinachofahamika juu ya maisha yake, how convinient? Tutajuaje kama tunakula nyama ya mzinzi? Maana miaka 13 hadi 30 vishawishi ni vingi mno, alifunga ndoa lini , wapi na nani? Na aliacha watoto wangapi? Msijisahaulishe, maana alitahiriwa kabisa. Na hadi leo hatujui ni kwanini mungu alitahiriwa, total confusion, why mnatuchanganya hivi?! Why?!
Ivi kweli Wewe mwenyewe umeelewa ulichokiandika hapa ?
Maana naona umeacha mada yako ya msingi na kuandika kwa fujo fujo zisizo na maana.
Punguza fujo za kuhama hama, Chukua kimoja kimoja tujadili hapa.