BRN
JF-Expert Member
- Nov 18, 2013
- 5,188
- 6,633
Hauko sahihi..Mungu ni sawa na kusema au kama ulivyo wewe..yaani wewe ni Binadamu lakini jina lako ni Rabbon..hivyo ni Mungu lakini jina lake ni Jehovah.Hayo mengi ni office au Majina yake kulingana na office husika, bt WANADAMU tumepewa Jina Moja tu la Mungu.