kidole cha simba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2022
- 1,994
- 2,510
anyway mimi sijui kushindana!!!!"have a good day sir".........YESU mwenyewe alipoulizwa mwisho wa dunia ni lini alisema"hakika mimi sijui,ila BABA yaani MUNGU ndio ajuae...sasa kama YESU kuna mambo mengine hachunguzi!!! wewe ni nani?Usipochunguza yaliyojificha utajuaje kama unaabudu sahihi au la?
Unashangaa Yakobo kushindana na Mungu aliyeamua kuonekana kama mwanadamu,
Mbona hushangai Shetani mwenyewe alikuja duniani na akawa mfalme wa Tiro? Mwanadamu kabisa, lakini ni shetani mwenyewe katika Roho?
Ok ,chill!!anyway mimi sijui kushindana!!!!"have a good day sir".........YESU mwenyewe alipoulizwa mwisho wa dunia ni lini alisema"hakika mimi sijui,ila BABA yaani MUNGU ndio ajuae...sasa kama YESU kuna mambo mengine hachunguzi!!! wewe ni nani?
Unabishana na Maandiko?Ukitaka kujua YEHOVA Si Jina personal la Mungu,
Fanya Utafiti.
Nenda Kwa aliyepagawa na Pepo, kemea Pepo Kwa Jina la YEHOVA.
Halafu pia Kwa wakati tofauti kemea Pepo Kwa Jina la YESU.
Ndipo uje na jibu sahihi juu ya Jina la Mungu ni nani, Yesu au YEHOVA.
(Soma Isaya 42:8)Unabishana na Maandiko?
YESU ndo jina lake personal(Soma Isaya 42:8)
Mimi ni BWANA, ndilo JINA LANGU, Utukufu wangu sitampa mwingine.
Katika Isaya, amesema Jina LANGU ni BWANA, kwingine amejitambulisha YEHOVA.
Ndo uelewe, yote hayo ni Majina yenye kuonyesha ukuu wa Mungu kitengo Fulani, Si Jina la Mungu personal.
Soma (Wafilipi 2:9-11)
Limetajwa Jina Moja lipitalo Majina yote Mbinguni na duniani.
Na Hilo ni Jina la YESU.
Mungu ni MMOJA,
Na YESU ndilo JINA lake. Amen
Na ndilo JINA pekee linalotofaulisha Mungu mkuu wa Yote na miungu inayoiga utukufu Ili iabudiwe.YESU ndo jina lake personal
🤝Na ndilo JINA pekee linalotofaulisha Mungu mkuu wa Yote na miungu inayoiga utukufu Ili iabudiwe.
Wote wanaosema wanamwabudu na kumjua Mungu hapo hapo wakikana Uungu wa Yesu ni wapinga kristo.
Na kujua kuwa Yesu ni Jina la Mungu, ni Hadi ufunuliwe na Roho mtakatifu.
Umebarikiwa sana ndugu Waterbender Kwa kufuniliwa Hilo.
Amen
Kutoka 3:13 “Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?(Soma Isaya 42:8)
Mimi ni "BWANA", ndilo JINA LANGU, Utukufu wangu sitampa mwingine.
Katika Isaya, amesema Jina LANGU ni "BWANA", kwingine amejitambulisha "YEHOVA", kwingine " BWANA Mungu", nk nk.
Ndo uelewe, yote hayo ni Majina yenye kuonyesha ukuu wa Mungu kitengo Fulani, Si Jina la Mungu personal.
Soma (Wafilipi 2:9-11)
Limetajwa Jina Moja lipitalo Majina yote Mbinguni na duniani.
Na Hilo ni Jina la YESU.
Mungu ni MMOJA,
Na YESU ndilo JINA lake. Amen
What does Jehovah mean in Hebrew?Kutoka 3:13 “Musa akamwambia Mungu, Tazama, nitakapofika kwa wana wa Israeli, na kuwaambia, Mungu wa baba zenu amenituma kwenu; nao wakaniuliza, Jina lake n’nani? Niwaambie nini?
14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO;akasema,Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;MIMI NIKO amenituma kwenu.
15 Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, Bwana, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.”
Wapi alisema hivyoMungu jina lake ni yawhe
Sio kweli.Allah ni jina God sio jina ni sifa ,The name of islamic God is AllahAllah ni neno la kiarabu kwa kiswahili ndio Mungu kwa kiingereza God kwa kihindi Krishna.
(Isaya 42:8)Mungu ni cheo chake yeye anaitwa YEHOVAH AU YWHE
Mitazamo kinzaniJibu swali sawasawa na MADA inavyouliza ndugu🙏
"Niko, Ambaye Niko"Hilo pia ni Moja ya Jina la office au mamlaka ya Mungu, Si Jina lake personal tulilofinuliwa WANADAMU.
Kuna jukwaa ambalo wengi hatuwezi kuchangia?Hiyo thread ilihamishiwa kule jukwaa la Dini ambako ni restricted to many.
Ngoja turudie mjadala.
Watu wote katika familia zetu wana majina ya kibinafsi. Hata wanyama wa kufugwa wana majina! Je, si jambo linalopatana na akili kwa Mungu kuwa na jina? Katika Biblia, Mungu ana majina mengi ya cheo, kama vile, Mungu Mweza-Yote, Bwana Mwenye Enzi Kuu, na Muumba, lakini pia ana jina la kibinafsi.—Soma Isaya 42:8.Salaam, Shalom!!
Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.
Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?
Jina la Mungu ni nani?
Karibuni 🙏
Isaya 42:8 anasema Jina LANGU ni BWANA,Watu wote katika familia zetu wana majina ya kibinafsi. Hata wanyama wa kufugwa wana majina! Je, si jambo linalopatana na akili kwa Mungu kuwa na jina? Katika Biblia, Mungu ana majina mengi ya cheo, kama vile, Mungu Mweza-Yote, Bwana Mwenye Enzi Kuu, na Muumba, lakini pia ana jina la kibinafsi.—Soma Isaya 42:8.
Tafsiri nyingi za Biblia zina jina la kibinafsi la Mungu kwenye Zaburi 83:18. Kwa mfano, kwenye Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, andiko hilo linasema: “Ili watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova, wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.”
Kwa nini tunapaswa kulitumia jina la Mungu?
Mungu anataka tulitumie jina lake la kibinafsi. Tunatumia majina ya kibinafsi tunapozungumza na watu tunaowapenda, kama vile rafiki zetu wa karibu, hasa wanapotuomba tutumie majina yao. Je, haipaswi kuwa hivyo pia tunapozungumza na Mungu? Zaidi ya hayo, Yesu Kristo aliwatia moyo watu watumie jina la Mungu.—Soma Mathayo 6:9; Yohana 17:26.