Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Je, Mungu analo Jina? Jina lake ni lipi?

Hapana,Mungu maana yake ni muweza yote sio jina binafsi, ndiomaana Kuna maandiko yanayomwita shetani Mungu wa Dunia hii,lakini Yehova ndiye jina pekee la kibinafsi la Mungu wa kweli,soma 2wakorinto4:4 "ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo amezipofusha akili za wasio amini,ili Nuru ya habari njema ya utukufu kuhusu Kristo aliyemfano wa Mungu,isiwaangazie" Hapo utaona shetani ameitwa Mungu pia,ila Yehova ndiyo jina halisi la Mungu.
Tupe tafsiri ya Jina YEHOVA , Ili kujua ni Jina la Mungu personal au Jina linalowakilisha mamlaka yake katika office Fulani ya kiutendaji.
 
Unapozungumzia ofisi ya kiutendaji nashindwa kukuelewa vizuri,naomba unieleweshe afu twendelee na mada
 
Jina la Mungu ni Yehova.
YEHOVA ni sawa na MIMI NIKO ambalo Mungu alijitambulisha Kwa Musa.

Yote hayo ni Majina ya Mungu yenye kumwakilisha mamlaka Fulani ya Mungu na Si Jina binafsi.

Ukitaka kuthibitisha, kemea Pepo Kwa Jina la YEHOVA kama litatoka!!!

Karibu.
 
Unapozungumzia ofisi ya kiutendaji nashindwa kukuelewa vizuri,naomba unieleweshe afu twendelee na mada
Soma Uzi wa mtu aitwaye EINSTEIN112 usemao, "Yafahamu Majina ya Mungu na maana zake"

Utakuta Majina mbalimbali ya Mungu kimamlaka, kiutendaji, anapookoa, ana Jina lake, anapoponya, ana Jina lake, anapotaja umilele wake ana Jina lake YEHOVA.

Karibu🙏
 
Nilitaje mimi tena?
Hivi una akili wewe kweli?

Kutoka (Exo) 3:14 Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli;

[emoji117]{MIMI NIKO} amenituma kwenu.

And God said unto Moses, I AM THAT I AM: and he said, Thus shalt thou say unto the children of Israel,
[emoji117] {I AM} hath sent me unto you.
Ndio nataka ulitaje bila kuweka bible quotes,

Rudi kusoma mada uelewe.


Mada inasema,

Je Mungu analo Jina?

Jibu: Ndio, au HAPANA.

Je Jina lake ni nani? Hapo ni Kwa aliyejibu ndio.

Jibu: Jina lake ni ........

Nataka ujibu sawasawa na ulivyoulizwa, Mimi ni Rabbon
 
Wanasemaga,,,"Kabla ya Kuandika,,USIKOJOE HAPAA,,wee CHIMBA CHOO"
 
  • Thanks
Reactions: 511
Yehoshua Masih
Hapo ni Sawa na kusema Mungu " Mwokozi".

Mungu aokoaye, ni Jina la Mamlaka ya Mungu au office ya Mungu anapookoa.

Taja Jina lake tulilopewa WANADAMU litupasalonkuokolewa kwalo.

Karibu.
 
Soma Zaburi83:18
Hapo( Zaburi 83:18)

Wajue ya kuwa wewe,uitwaye Jina lako YEHOVA, ndiwe pekeako uliye juu ya nchi yote. Hapo ni BIBLIA ya Union version.

Mstari huo huo Kwa tafsiri ingine, YEHOVA maana yake " Mwenyezi Mungu" yaani Mungu muweza wa YOTE.

In other words "YEHOVA" NI SAWA KUSEMA "MWENYEZI MUNGU "

Ni Jina linalowakilisha MAMLAKA YA MUNGU.
Bado Hilo Si Jina personal.

Duniani Kwa Mfano mamlaka ya kidunia vitani umwite mtu " Mkuu wa Majeshi" au " Amiri Jeshi mkuu" hapo ni Cheo tu Cha kimamlaka. Hujataja Jina Bado.

Tukilijua Jina la Mungu binafsi tulilopewa WANADAMU,tutaweza kutofautisha Mungu na miungu.

Karibu🙏
 
  • Thanks
Reactions: 511
Huo mstari umekupa jibu la moja kwa moja,kwamba jina lake ni Yehova.
 
Wanasemaga,,,"Kabla ya Kuandika,,USIKOJOE HAPAA,,wee CHIMBA CHOO"
Mimi najua tayari, bt nilitaka nijue kama wasomaji wanalijua Jina la Mungu lile nilijualo Mimi au la.

Wahindi Kwa Mfano ukisema Mungu, wao wanaelewa ng'ombe ndiye Mungu wao!!
 
Huo mstari umekupa jibu la moja kwa moja,kwamba jina lake ni Yehova.
TAFSIRI ya "YEHOVA" ni MWENYEZI MUNGU!! au MUNGU MUWEZA WA YOTE.

Ni Jina linalowakilisha uwezo wa Mungu.

Bt Mungu analo Jina lake personal tulilopewa WANADAMU.

Hilo ndilo ningependa ulitaje ikiwa unalijua!!
 
Mungu ni dhana ya kufikirika tu haipo.

Hata jina hilo halipo.

Ndio maana hata wewe huwezi kuthibitisha uwepo wa huyo Mungu na jina lake hulijui.

Dhana nzima ya Mungu ni fiction stories.
 
Hapo unachanganya Majina ya miungu,

Njaro ni Jina la miungu ya wachaga ambaye wao humpa pombe ya mbege kama shukrani.

Ndomana tunataka kulijua Jina la Mungu binafsi mwenye mamlaka ya juu kuliko mamlaka zote za Duniani na Mbinguni.

Litaje Jina lake ikiwa unalifahamu.
Usijitoe ufahamu.
Hata Ibrahim almanusura amlambe ncha ya kisu Isaka ili amtolee Mungu sadaka.

Mungu ana jina moja lililotafsiriwa kila lugha na kabila.

Soma biblia ya kichaga utakuta jina lake
 
Usijitoe ufahamu.
Hata Ibrahim almanusura amlambe ncha ya kisu Isaka ili amtolee Mungu sadaka.

Mungu ana jina moja lililotafsiriwa kila lugha na kabila.

Soma biblia ya kichaga utakuta jina lake
Ndo nasemaje,

Hayo Majina ni Majina yenye kuhuzisha mamlaka na uweza wa Mungu.

Mungu analo Jina ambalo tumepewa WANADAMU lililokuwa limefichwa AGANO la kale ambalo LIMEFUNULIWA.

Litaje ikiwa walijua.
 
Back
Top Bottom