- Thread starter
- #61
Tupe tafsiri ya Jina YEHOVA , Ili kujua ni Jina la Mungu personal au Jina linalowakilisha mamlaka yake katika office Fulani ya kiutendaji.Hapana,Mungu maana yake ni muweza yote sio jina binafsi, ndiomaana Kuna maandiko yanayomwita shetani Mungu wa Dunia hii,lakini Yehova ndiye jina pekee la kibinafsi la Mungu wa kweli,soma 2wakorinto4:4 "ambao kati yao mungu wa mfumo huu wa mambo amezipofusha akili za wasio amini,ili Nuru ya habari njema ya utukufu kuhusu Kristo aliyemfano wa Mungu,isiwaangazie" Hapo utaona shetani ameitwa Mungu pia,ila Yehova ndiyo jina halisi la Mungu.