- Thread starter
- #21
Are you sure?What a joke! Hakuna relevance juu ya hilo jambo. Live your life
Kuishi ndani ya nyumba na usimjue mwenye nyumba ni utovu wa nidhamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you sure?What a joke! Hakuna relevance juu ya hilo jambo. Live your life
YehovaSalaam, Shalom!!
Mungu ni Jina la Cheo kikubwa kuliko vyeo na mamlaka yote Mbinguni na duniani.
Swali ni je, Mungu analo Jina lake binafsi?
Jina la Mungu ni nani?
Karibuni 🙏
Hilo pia limefichwa, ni nusu au sehemu tu ya Jina lake.Mungu jina lake ni yawhe
Hilo pia ni Moja ya Jina la office au mamlaka ya Mungu, Si Jina lake personal tulilofinuliwa WANADAMU.Yehova
Hayo mengi ni office au Majina yake kulingana na office husika, bt WANADAMU tumepewa Jina Moja tu la Mungu.anayo mengi
Call his name.Unamzungumzia huyu Mungu aliepigwa mitama na Yakobo?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
DINI hazijadiliwi hapa.Tuanzie hapa wewe ni dini gani?
Akili huna wewe ngedereDINI hazijadiliwi hapa.
Litaje Jina la Mungu ikiwa unalijua.
Anayetwafutwa kujulikana hapa ni yule mwenye mamlaka kuu kuliko zote Mbinguni na duniani.
Hizo ni sifa na sio Jina.
Hizo ni sifa na sio MajinaKwa sisi waislamu Mungu ana majina 100.
Majina yanayojulikana na wengi ni majina 99 hilo moja wanalijua mitumie na wale watu wacha Mungu sana.
Ukilijua hilo jina chochote utakachokiomba ni rahisi kukubaliwa ndani ya muda mfupi sana.
Unamaanisha Yesu ndiye MIMI NIKO?Kutoka (Exo) 3:14
Mungu akamwambia Musa, {MIMI NIKO AMBAYE NIKO}; akasema, Ndivyo utakavyowaambia wana wa Israeli; MIMI NIKO amenituma kwenu.
Yohana (Joh) 8:58
Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, {MIMI NIKO}
Mwenye masikio amesikia.
Allah ni neno la kiarabu kwa kiswahili ndio Mungu kwa kiingereza God kwa kihindi Krishna.Hizo ni sifa na sio Majina
Mungu wa Waislamu anaitwa Allah.
Wewe ngedere shida yako upate replies au?Anayetwafutwa kujulikana hapa ni yule mwenye mamlaka kuu kuliko zote Mbinguni na duniani.
Ukisema Kila dini na muungu wake, wahindi watasema anaitwa ng'ombe!!
Jina ni Moja,
Taja Moja tu, Jina lipitalo Majina yote, liwwezalo kuokoa!!
Soma na uelewe kijana,Wewe ngedere shida yako upate replies au?
Umetaka majina nimekuorodheshea .
Walokole mnaelekea kuchanganyikiwaKwa Ukristo.
Mungu ni cheo cha juu anatambulika kama Jehovah.
Yesu ni nguvu kuu ya utendaji iliyo ndani ya Mungu.
Thus huwezi kemea pepo kwa jina la Mungu bali Yesu.
Shetani anaogopa jina la Yesu na sio Jehovah.
Unaniuliza mimi tena mjomba?Unamaanisha Yesu ndiye MIMI NIKO?