Yesu sio Mungu ni binadamu kama wewe tu tofauti alimpa kipawa cha kuweza kufanya miujiza fulani fulani.Mungu ana Jina lililofunuliwa AGANO la jipya ambalo lilikuwa limefichwa AGANO la kale.
Neno linasema,
Akamkirimia Jina lipitalo Majina yote,Ili Kwa Jina la YESU, Kila goti lipigwe Mbinguni na duniani.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen