Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,054
- 2,902
- Thread starter
-
- #61
Unamaanisha tuzirud elimu zetu za asili na tuache elimu ya kimagharibi et??Na Haya ni moja ya matokeo ya mfumo wetu wa elimu au mtaala.......
Mifumo yetu ya elimu imedizainiwa uwe msaidizi wa mzungu au uwe mtengenezaji wa alichokigundua mzungu.......
Na kibaya zaidi inakufanya Ina kufanya ujione mzungu na kujikataa.........
Naamini mtoa mada ameleta hii mada kwa mihemko na sio ki uchunguzi kama msomi
Lakini ndio hivyo kama hata cha kumfundisha mtoto tunapangiwa na wazungu unategemea huyo mtoto atakuwa na akili gani.....!!?
NB;
Kuna shida kwenye mitaala ya elimu na mataifa mengine yameligundua hayo mapema sana na kufanya mabadiliko na kupiga hatua kubwa......
Kuna kaukweli humuHii elimu tuliyonayo ni ya kishenzi sana.Ni elimu ya kutambia tu mtaani na si elimu ya kuleta mabadiliko.Na hata serikali inavyolipa watu wake,hailipi utendaji bali inalipa cheti,kwa hiyo hata vyuoni zinafanyika faulo za hatari ili mtu apate cheti na kinakuwa kama kibali cha kulipwa zaidi.
Niliona tofauti kidogo kwa wazungu,wao wanalipa uwezo wa kazi.Hata kama mtu ni darasa la saba kama anauwezo wa kuzalisha,wanalipa pesa nzuri sana.Nimeshuhudia mtu mmoja aliajiriwa kama meneja Australia mgodini akiwa darasa la saba tu tena la Tanzania. Alibahatika kufanya mgodini na akonesha uwezo mkubwa sana kiasi kwamba wazungu ilibidi wamkubali.
Kama serikali zetu zingekuwa zinamiliki timu,ungeshangaa wachezaji wangekuwa wanalipwa mishahara kwa vigezo vya elimu hata kama hawashindi ama hawafungi magoli.Hii ndiyo inaua sana uwezo wetu na kuturudisha nyuma.
Wako watu wanaonesha vipaji vikubwa kama kutengeneza silaha,dawa n.k wanakamatwa au kufungiwa kabisa.Huu ni ushenzi mkubwa.
Sasa n kwann cc tunashindwa hata kukopi?? Miaka 57 ya Uhuru now??Hao wachina marekani kipi wamegundua wao kama sio kukopi na kuendeleza teknolojia ya waislael
Hahahaaa duuuhIyo inshalah ni lugha ya wapi?ndio hayo hayo mleta nyuzi aliyosema tunaletewa kila kitu hata lugha we unafikiri utagundua nini
Unashangaa nn mkuuDuuuuh!
Unamaanisha tuzirud elimu zetu za asili na tuache elimu ya kimagharibi et??
I try to imagine hyo elimu itakuwaje[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Daah.... N kweli ....yaan n Africa ambako tunauana cc kwa cc...ukiandalia Global peace index(GPI)utaona idadi kubwa ya nvhi zisizo na aman n za Africa,kitu cha ajab n kwamba tunauana cc kwa cc na kwa maliasili zetymu wenyewe...hii roho mbaya cjui tumetoa wapiBro unanitia uchungu nasoma hadi mwili unatetemeka aisee.
Mtu mwenye uwezo wa kuwaza haya lazima umesoma.
Jibu la hayo yooote ni kwamba sisi sote Mungu alituumba sawa ila bahati mbaya sisi weusi tuna ROHO MBAYA SANA.
ubinafsi, chuki, lawama, maseng'enyo laana nk.
Nahisi kutoa machozi [emoji36] let me quit bro.
Huwezi kufananisha akili kubwa za North Korea na hawa mazuzu yenu.Mbona north Korea wako strict kulko hapa ila wanateknolojia kubwa,nuclear ,rockets,na sayansi mbalimbali mkuu....sisi labda kuna kasoro nyngne
Duuuh..kaz ipo kweliTurudi nyuma wenzetu hata kabla ya Yesu hajazaliwa walishakuwa na shule na vyuo. Miaka 2000+ baadae ndo wakaja kutuzindua kwakututawala kwanza na kuweka shule chache. Waafrika tumeweza kusoma na kuandika hata miaka mia haijapita bado, tumeanza kujiongoza hata miaka mia haijapita, hata sera, sheria na mfumo unaotumiwa kuongoza bado ni wa wakoloni wetu, na ni bado sana kujilinganisha na wazungu wametuacha mbali sana kwa maelfu ya miaka. Viongozi wetu bado hawajui kabisa namna ya kuongoza wamejikita zaidi ktk kutawala kwa mabavu maanake wamekopi sera ya utawala wa mkoloni bado. Leo ukimwuliza rais wako kwanini hatuendelei? Atakujibu hajui kwanini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mungu alimuitaga mzungu na mwafrica ili awape akili.akawaambia wawai saa kumi na mbili asubuhi.mzungu kaja mda wa saa kumi na mbili asubuhi,mwafrica kaja saa nne asubuhi.nafkiri jibu umelipata
Bado sana watu weusi, bado mno.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] watu weusi bado sana
Hapa mkuu Nina walakini na mawazo yako...Yaonyesha umeandika kwa hisia kali sana ndugu.
Ni kweli kuna tofauti kubwa kati ya Wazungu/Wanateknolojia na Weusi/Wana silia, ila pia ukumbuke kujiuliza hivi ni vyote wafanyavyo Wazungu/Wanateknolojia Dunia inavihitaji? tofautisha mahitaji ya Wazungu/teknoloji na mahitaji ya Dunia/ardhi/uhai.
Sehemu kubwa ya gunduzi zao ndio zime/zinazalisha sumu yote inayoiangamiza Dunia leo, bila hizo teknolojia tusingekuwa na haya mabadiliko tabia nchi, miti inakatwa ili ikazalishe fanicha viwandani, bahari inachafuliwa na viumbe wanaangamia huko.n.k.
Bila hizo gunduzi tunazoita maendeleo, nadhani binadamu angeishi maishi ya asili tu ambayo ndio haswa ilikuwa kusudi la Muumba wa Ulimwengu na mahitaji ya dunia hai.
Kama unakubaliana nami kuwa Dunia kwa sasa ipo taabani, mito inakauka, joto linaongezeka, magonjwa yasiyotiba kuongezeka n.k basi ukubaliane nami pia kuwa Dunia ingekuwa salama sana bila uwepo wa Mzungu/Mwanateknolojia.
Unapofurahia uwepo wa Gari, Ndege, Meli, fridge, AC n.k pia ujue haya maangamizo ya uhai wa dunia yanatoka huko.
Sasa hapo sio kazi yangu tena kujiuliza ni kwa nini Mungu alimleta Mzungu/Mwanateknolojia, ila kuna kila dalili kuwa Mzungu/Mwanateknolojia alikuja baadae, na dunia ilikua salama kwa muda wote kabla ya uwepo wa Wanateknolojia hao.
Kuhusu tiba, ugunduzi wa madawa n.k, nadhani kuna mengi sana hatuyajui kuhusu Dunia tangu zama na zama, hivyo bado ni ngumu kujiridhisha kama tuliishi tu bila namna yoyote ya kujitibia kabla ujio wa Wanateknojia, basi ndio kusema bila teknolojia hii race ingeangamia? nitakuwa wa mwisho kuamini hivyo, sehemu kubwa ya magonjwa yanayohitaji hizo tiba za hali ya juu nayo huzalishwa na uwepo wa hizo hizo teknolojia, mfano saratani mbalimbali n.k. Mimi naamini tiba zote huweza kupatikana kwenye mimea tukitumia zetu vizuri.
Tukiongelea ujenzi n.k, kuna ujenzi wa enzi hizo ulifanyika bila teknolojia iliyopo leo, mfano ni zile Piramidi za Misri, kwa hiyo sioni kama Binaadamu tulihitaji sana teknolojia ya sasa ndio tufanye shughuli zetu.
Hizo almasi na dhahabu unazozitaja hazina uhusiano wowote na uwepo/uhai wa dunia, ni Wazungu/Wanateknolojia hao hao ndio wanaozihitaji na kutufanya tuchimbue ardhi yetu kama wehu, hata tukiziacha huko ardhini hakuna tunachopoteza.
Kuhitimisha maelezo yangu ni kuwa, Mzungu/teknolojia ni artificial na Mweusi ni asilia, hivyo kaa chini ujiulize Dunia inahitaji asili au artificial?
WEWE KAMA HAUNA LAKUSEMA BORA SILENCE!!!Iyo inshalah ni lugha ya wapi?ndio hayo hayo mleta nyuzi aliyosema tunaletewa kila kitu hata lugha we unafikiri utagundua nini
Nadhani una miss pointi ndugu.Hapa mkuu Nina walakini na mawazo yako...
Ukiangalia suala LA uchafuz wa mazingira hata cc licha ya kuwa hatuna viwanda tunachangia kwa kiasi kikubwa..mfano vtu kama kilimo kinachangia sana uharibifu wa mazingira na mwisho tumebaki na majangwa tu.
Kihusu matibabu sikatai yanatoka kwenye mimea ila shida inakuja kwenye kujua n mmea UPI na kiwango kipi kinamfaa magonjwa hapo panahitaji ugunduz ambao cc weusi hatijafikia...hebu angalia magonjwa kama malaria,kichaa cha mbwa,surua n.k je kwa kutumia mitishamba ambayo huna uhakika nayo kuna kupona kweli mkuu??
Unavosema uhitaj wa mineral extraction hatuna hapo huoni ndio kuonyesha how mbumbumbu we are?? We stay on natural wealth without utilizing them!! Is that not foolishness of highest rank ndugu yangu??
Try to imagine ur current life how it would have been if u font have cell phone,no transport yaan ukitaka kuna dar kutoka kigoma inakubid utembee HV is that normal life??
Bado hujanishawishi ndugu....
Absolutely yes mkuu coz hata hao waliofanya revolutions mbalimbali hawakuanza siku moja.Inamaana all the generations which have passed were waiting for me to start???
All the years of no any intervention were waiting us??
[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] mwafrika itakua alikuta foreni kubwa barabarani Siku hiyo,Na Umeme kulikua hakuna
HAPA NAONA BORA TUKACHUNGUZE HISTORIA KABLA YA GERMAN EAST AFRICA, YAANI KABLA YA "TANGA-NYIKA" ILIYO UNDWA NA MJERUMANI.Turudi nyuma wenzetu hata kabla ya Yesu hajazaliwa walishakuwa na shule na vyuo. Miaka 2000+ baadae ndo wakaja kutuzindua kwakututawala kwanza na kuweka shule chache. Waafrika tumeweza kusoma na kuandika hata miaka mia haijapita bado, tumeanza kujiongoza hata miaka mia haijapita, hata sera, sheria na mfumo unaotumiwa kuongoza bado ni wa wakoloni wetu, na ni bado sana kujilinganisha na wazungu wametuacha mbali sana kwa maelfu ya miaka. Viongozi wetu bado hawajui kabisa namna ya kuongoza wamejikita zaidi ktk kutawala kwa mabavu maanake wamekopi sera ya utawala wa mkoloni bado. Leo ukimwuliza rais wako kwanini hatuendelei? Atakujibu hajui kwanini.