Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

Mbona si ngumu hata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mstaafu nampeleka wapi mzee wa watu mie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Unashindwa kutofautisha kuwa Kuna mapenzi na Kuna udangaji.
Hahahahah, nyie si hamtaki mtu ambaye kapuku au hohe hahe. Wenye hela za wazi ni hao vigogo.

Mapenzi ya kweli yapo kwa hawa wazibua mitaro, watembeza karanga, wauza screpa, waendesha matoroli,makuli na machinga wauza urembo hereni, shanga na miwani. Ila mkianika CV sisikii wakitajwa humu 🤣🤣🤣🤣

Huwa naskia
-Tall,handsome n black
-Smart, awe na elimu ya kutosha
-Awe muajiriwa ama na biashara zake
-Mengine tutawekana sawa
 
Extrovert, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi ya kweli yapo kwa mtu yeyote bila kujali Aina ya kazi yake wala elimu.
Kuna Watu Ni wazibua vyoo hawana mapenzi ya kweli..wengine Ni wazibua vyoo na wana upendo wa kweli.
Kuna watu Ni matajiri na Wana mapenzi ya kweli,vivyohivyo wapo matajiri wenye mapenzi ya uongo.

Nadhani Jambo la msingi Ni kumpima mwanaume Kama ana uwezo wa kuhudumia familia(wanangu watoto wasije kuwa chokoraaa)
Pia ana mtazamo gani kuhusu maisha.

Mtu anaweza kuwa na hela lakini mipango yake Ni sifuri kabisa (Mali bila daftari huisha bila habari)
Mwingine anapesa na ana mipango(maono thabiti)

Mwingine pesa Hana na mipango Hana...mwingine ana kijihela kidogo Cha kuzibua vyoo na kichwan Ana maono mazuri.
 
Mbona wadada wa mjini wengi tu wanajilipia mahari, we unauliza hili leo?!! Yani suala sio tu mwanaume kukosa mahari, unakuta mwanamke kafa kaoza ila jamaa uwezo wa mahari anao ila kwa kuwa hajapenda kihivyo hata pesa yake anaona kutoa ni kama anapoteza. Mwanamke anajitosa anampa mwenyewe pesa akalipe mahari. Wifi yangu alijilipia mahari mwenyewe kafa kaoza kwa brother.
 
Hapana Mungu aniepushie mbali laana ya kujioa....atakama anakidogo ni bora atoe icho icho maana mahari haimalizwi kuliko nitomboke tu million twangu nkajioe kwetu hapana....
Inatisha.
 
kupenda napenda haswa na kujali najua lkn sio kujitolea mahari...haiwez tokea
Kumbe ushawahi kupenda hivyoo hadi ukaoza kabisaa naona umesisitiza kwa experience

Mtumishi Anne ye ndo anajifanya Van damme au Arnold shwazniger wa mapenzi haya bana
 
Najua wazazi watanishirikisha binti yao kwenye kupanga hiyo mahari, na ndyo ntawaambia husband to be hana pesa mingi, ana kuku tu wapokee hivo hivoo[emoji3]
Huoni kuwa watapata mashaka juu ya huko anakoenda kuolewa binti yao ? Seriously eti unawaambia ana kuku ? Si Bora tu useme Hana kitu.
 
Huoni kuwa watapata mashaka juu ya huko anakoenda kuolewa binti yao ? Seriously eti unawaambia ana kuku ? Si Bora tu useme Hana kitu.
It's true kutakua na mashaka but hata kuwaambia "hana kitu" bado mashaka yatakuwepo tu, mi nadhani watoe Baraka tu Kwa chochote kitakacholetwa or not ,hayo mashaka yatakua cleared baadaye ,mtapopata dough,hata mbuyu ulianza kama mchicha banaa
 
mi mwanamke akinmiambia hiyo kauli namtema hapo hapo...unanipaje hele ya mahali..demi anipe hapana...natakomaa kibacheloer wasubiri tu mahari
 
Kwa kuangalia replies zote naona jinsi gan watu hamjawahi kupenda na kama mmependa bas hamkupendwa kwa kiasi kilekile. Mbona unatoa kama kweli mnapendana.. sio kama unampenda ila kama mnapendana. Mfano kuna watu wanatoa figo itashindkana pesa ambayo unapata nyingine.
 
Siwezi kufanya huo upuuzi ata siku moja...hiyo tu tuko kwenye uchumba afu aniambie tufungue mradi fulani kakope nami nikope siwezi...sembuse kumlipia mahari? Looooh [emoji50][emoji50]
Ndiyo ukae hapo utombeke wenzio wanaolewa unawaona..!
 
Kwa kuangalia replies zote naona jinsi gan watu hamjawahi kupenda na kama mmependa bas hamkupendwa kwa kiasi kilekile. Mbona unatoa kama kweli mnapendana.. sio kama unampenda ila kama mnapendana. Mfano kuna watu wanatoa figo itashindkana pesa ambayo unapata nyingine.
Hawa wanao ongea nawajua km watatu under 20 wengi hawajui bado nyege zinawavuruga hawafikiri ipasavyo
 
Bora umsaidie mwanaume matumizi mengine yoyote pale anapokwama na Kuna ulazima wa kumsaidia,kuliko ujinga wa kumpa hela ya mahari.

Mahari inatakiwa asipewe hata na baba yake,maana anaoa yeye.
Tuongee ukweli,hujaolewa,umri unazidi kusonga tuseme umeshafikisha miaka 38+ na wanaume waliopita kwako sio chini ya 10 na wote wameonyesha hawana mpango na wewe,halafu unampata mwanaume anakupenda anakuambia yuko tayari kukuoa ila hela ya mahari hana, mnasubiri mwaka hali bado ni tete hela haipatikani na wewe account yako inasoma si chini ya 30mil,utaacha kumpa hiyo mahari ili uokoe jahazi!
 
Tuongee ukweli,hujaolewa,umri unazidi kusonga tuseme umeshafikisha miaka 38+ na wanaume waliopita kwako sio chini ya 10 na wote wameonyesha hawana mpango na wewe,halafu unampata mwanaume anakupenda anakuambia yuko tayari kukuoa ila hela ya mahari hana, mnasubiri mwaka hali bado ni tete hela haipatikani na wewe account yako inasoma si chini ya 30mil,utaacha kumpa hiyo mahari ili uokoe jahazi!
Nilishasema pale juu kwamba hata ningekuwa na pesa za kumwaga,siwezi kumpa mwanaume hela ya mahari
 
Sijui ni kwanini lakini uzoefu unaonesha wanawake wengi ambao walijilipia mahari ndoa zao nyingi huwa hazidumu (when other things remain the same)!

Huenda ni sababu za nature au za kiroho.

Halafu psychologically mwanaume huwa anaanza kuwa na inferiority complex from the beginning [emoji108][emoji108][emoji108]
Na ikiwa hivyo shida inaanza!
 
Back
Top Bottom