Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Dada yangu watu walioa kwa kondoo tu,tena dingi alikuwa anataka Bible tu!!shemeji hakuwa na kitu kabisa ila ndo hivyo dada yangu alikuwa ameoza amekufa kabisa!!ndo ilifungwa vizuri tu!! Ila baada ya ndoa
1.shemeji pesa ilikuja kama mvua dili zake zilikubali sana.
2.dada yangu hakuna rangi aliacha kuona kwa maana jamaa aliona kama vild sisters hata kwao kama vile hawa mthamini vile kisa tu mahari alilipa kidogo!!
3.kidume wa kweli hawezi pokea pesa ya mwanamke kwenda kulipa mahari kwa sababu hiyo inaondoa dhana ya kutoa shukrani mahari ni kama asante kwa wazazi wa yule binti unayetaka kumuoa ,so hata kitenge na kanzu tu inatosha.kwa maana huna uwezo wakuwalipa gharama walizotumia wazazi kwa binti yao!!
1.shemeji pesa ilikuja kama mvua dili zake zilikubali sana.
2.dada yangu hakuna rangi aliacha kuona kwa maana jamaa aliona kama vild sisters hata kwao kama vile hawa mthamini vile kisa tu mahari alilipa kidogo!!
3.kidume wa kweli hawezi pokea pesa ya mwanamke kwenda kulipa mahari kwa sababu hiyo inaondoa dhana ya kutoa shukrani mahari ni kama asante kwa wazazi wa yule binti unayetaka kumuoa ,so hata kitenge na kanzu tu inatosha.kwa maana huna uwezo wakuwalipa gharama walizotumia wazazi kwa binti yao!!