Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

Sasa una miaka 22 umenza kujitwisha mizigo yote hiyo, utazeeka vibaya mkuu.
Wenzio tuna 30 years na hatuna mambo mengi hivyo.

[emoji16] nmeishia kusoma aliposema ana miaka 22 nikasema huyu bado hajajua kuwa hajui.
 
Kabla ujao/kuolewa tambua kuwa kwenye ndoa hakuna darasa la kubadiri tabia bali ndipo kuna kumwendelezo wa tabia na kuonesha zile tabia alizokuwa anazificha
 
Usiyape mahusiano kipaumbele sana katika umri huo mdogo wangu. Yatakutesa sana kama sio kukuua kabisa.

Katika huo umri ndio ushauri unaingilia sikio la kushoto na kutokea la kulia(ngumu sana kukubali ushauri/kushaurika mpaka uumie sana).

Binti wa miaka 19 ndio kwanza kwake kunakucha, kwenye umri huo binti anaweza ata dharau wazazi kisa wanaume wanaomjaza kiburi ndio itakuwa wewe?
 
Sasa una miaka 22 umenza kujitwisha mizigo yote hiyo, utazeeka vibaya mkuu.
Wenzio tuna 30 years na hatuna mambo mengi hivyo.
Ni kweli aisee,iyo miaka 22 kweli uteseke ivo,Hivi watoto mbona mnakimbilia sana izo ndoa.
 
achana nae, tafuta hela

ila usimuache muongezee mileage za kutosha uku ukivaa ndom then mteme for good
 
19 years anakula ujana mwenzio.. ala!!

Msubiri afike 25 hivi nawewe 30 hivi.. ndipo mtaongea kitu kimoja na kusikilizana.. yaani namaanisha AKIKUA ATAACHA ila akifika 25 tabia zilezile, ruksa kuachana naye
 
Jambo ndugu zangu,

Nahitaji msaada wenu.

Mimi ni kijana nina miaka 22 niko kwenye mausiano na dada fulani ambaye tuna tarajia kuoana. Sasa kuna vitu ambavyo vina ni tatizaga na jiulizaga sipatagi majibu.

Na vitu hivyo ni kuhusiana na tabia ya huyo binti. Mara nyingi huyu mtoto wa kike huwa hanisikilizi. Kila nikimwambia sitaki kitu fulani nikione kwako utakuta tunabebana, kama atakubali yaani ni kwa mbinde kabisa na tena baada ya siku fulani kupita utakuta tena ulicho mkataza ndicho anachokifanya.

Na mara nyingine utakuta anaongea na mimi kwa sauti kubwa; hata ukimwambia mwanaume hafokewi yeye huwa hajali hata kidogo. Na ukizidisha kumwambia kuhusiana na kuongeya kwako uta kuta ana ni jibu ndo maana sipendagi kuongea na wewe.

Yeye ndo rafiki wa wanaume utakuta mwanaume akimwambia njoo twende huku anakubali, anapokuwa yeye ndipo wanaume walipo kuwa na matani nao ya kugusana gusana. Hata nikimwambia aache tabia hiyo utakuta najibiwa "jiamini"

Yeye ndo mtu wa kupost picha na video za kijinga kwenye status za Messenger na WhatsApp utakuta amepost picha mara anapiga kiss mara anatoa ulimi nje mara anaimba, mara anabinuwa matako yake.

Nikimshauri naambiwa mimi ndo nina wivu.

Mwanaume akimsimamisha hata kama yuko na mimi utakuta anasimama na akiombwa namba anatoa bila tatizo.
  • Ni muongo sana
  • Anapenda mauzo sana
  • Ana dharau watu wengine mpaka na mimi
  • Ana kiburi
  • Hujiona mrembo na mara nyingi husema hawezi kosa soko yeye ni mrembo
Sasa huyo mtoto wa kike nimeshafunga naye ndoa. Kulingana na mila zetu sisi hufunga kwanza ndoa halafu mke utaenda kuchukua siku ya kwenda kuweka mali.

Sasa hapo ndipo nina maswali. Je, mwanamke wa hivi kweli anaweza badirika katika ndoa au pesa zangu niziwekeze kwenye mambo mengine?
Pole,nadhani pia umri na kiwango cha elimu vinaweza kuwa ndiyo shida,wala siyo yeye
 
Back
Top Bottom