Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

Jambo ndugu zangu,

Nahitaji msaada wenu.

Mimi ni kijana nina miaka 22 niko kwenye mausiano na dada fulani ambaye tuna tarajia kuoana. Sasa kuna vitu ambavyo vina ni tatizaga na jiulizaga sipatagi majibu.

Na vitu hivyo ni kuhusiana na tabia ya huyo binti. Mara nyingi huyu mtoto wa kike huwa hanisikilizi. Kila nikimwambia sitaki kitu fulani nikione kwako utakuta tunabebana, kama atakubali yaani ni kwa mbinde kabisa na tena baada ya siku fulani kupita utakuta tena ulicho mkataza ndicho anachokifanya.

Na mara nyingine utakuta anaongea na mimi kwa sauti kubwa; hata ukimwambia mwanaume hafokewi yeye huwa hajali hata kidogo. Na ukizidisha kumwambia kuhusiana na kuongeya kwako uta kuta ana ni jibu ndo maana sipendagi kuongea na wewe.

Yeye ndo rafiki wa wanaume utakuta mwanaume akimwambia njoo twende huku anakubali, anapokuwa yeye ndipo wanaume walipo kuwa na matani nao ya kugusana gusana. Hata nikimwambia aache tabia hiyo utakuta najibiwa "jiamini"

Yeye ndo mtu wa kupost picha na video za kijinga kwenye status za Messenger na WhatsApp utakuta amepost picha mara anapiga kiss mara anatoa ulimi nje mara anaimba, mara anabinuwa matako yake.

Nikimshauri naambiwa mimi ndo nina wivu.

Mwanaume akimsimamisha hata kama yuko na mimi utakuta anasimama na akiombwa namba anatoa bila tatizo.
  • Ni muongo sana
  • Anapenda mauzo sana
  • Ana dharau watu wengine mpaka na mimi
  • Ana kiburi
  • Hujiona mrembo na mara nyingi husema hawezi kosa soko yeye ni mrembo
Sasa huyo mtoto wa kike nimeshafunga naye ndoa. Kulingana na mila zetu sisi hufunga kwanza ndoa halafu mke utaenda kuchukua siku ya kwenda kuweka mali.

Sasa hapo ndipo nina maswali. Je, mwanamke wa hivi kweli anaweza badirika katika ndoa au pesa zangu niziwekeze kwenye mambo mengine?
Hana sifa za kuolewa huyo
 
Kazi kweli kweli una twenty two umeanza ndoto za kuoa ukifika forty si utakosa cha kufanya?
 
Kuishi na mwanamke kunahitaji akili nyingi sana, nyie bado umri wenu ni mdogo sana kuweza kuvumilia vimbwanga vya ndoa.. huyo "mkeo" atakupa presha tu alafu ufe huku vijana wa mjini wakijilia mzigo kiulaini.
 
22 bado sana mdogo fikiri mahusiano kuanzia 27.....sasa hv jieke vzr kiuchumi
 
Tulia dogo haraka za nini? Kwa sasa kikubwa kwako ni kupata uzoefu wa kula papuchi tofauti tofauti.
 
Anamfundisha kuwa mke mwema
Mwache mtoto mwenzao akue, hata hajamaliza usichana wake vizuri unamuwazia ndoa. Ndo kipindi chache cha kujishebedua.

Na wewe katafute hela ili baadae uweze kutunza familia, kwa umri huo umejaa ubabe mwingi sijui ukikua utakuwaje.
 
Bro mimi sio mtanzania kwa iyo kiswahili kwangu najuwa kuongeya tu kama nilivyo funzwa ila kuandika uko sijui sasa sijui nini ni andike ili kieleweke vizuri
Kumbe sio mbongo ndio maana wameweza kukuuzia mbuzi kwenye gunia huku bongo ngumu sana kumfanyia hivyo mtu pasipo limbwata
 
Unatoa wapi pesa kijana mdogo ivo. Unaweza kuwa na Kama milioni 80 kwenye stoku yako? mana hapo ndo tunaweza kuongea lugha moja.

Pesa ni nayo bro na ishi uku canada kwa iyo nikiwa TZ na weza jiita tajiri maana mshara wangu kwa shilling za kitanzania kwa muezi napokeaga milioni 4 na zaidi
 
Mabest wa kiume huwatafuna sana hawa vidada, hivyo usijeshangaa miongoni mwa hao marafiki zake kuna wanaomkula.

Huyo dem wako atakuja kubadirika atakapokuwa mkubwa lakini kwasasa utaendelea kupata hayo maumivu hata ukimuoa.

Bado una umri mdogo ,tengeneza maisha kwanza. Dem wako endelea kumtumia lakini mtoe kwenye malengo ya ndoa. ( ukijafika 25/26yrs utaanza kumwona amezeeka wakati huo kuna vibinti vibichi vinachipuka na wewe akili itakuwa imekomaa kuhusu ndoa)
 
Jambo ndugu zangu,

Nahitaji msaada wenu.

Mimi ni kijana nina miaka 22 niko kwenye mausiano na dada fulani ambaye tuna tarajia kuoana. Sasa kuna vitu ambavyo vina ni tatizaga na jiulizaga sipatagi majibu.

Na vitu hivyo ni kuhusiana na tabia ya huyo binti. Mara nyingi huyu mtoto wa kike huwa hanisikilizi. Kila nikimwambia sitaki kitu fulani nikione kwako utakuta tunabebana, kama atakubali yaani ni kwa mbinde kabisa na tena baada ya siku fulani kupita utakuta tena ulicho mkataza ndicho anachokifanya.

Na mara nyingine utakuta anaongea na mimi kwa sauti kubwa; hata ukimwambia mwanaume hafokewi yeye huwa hajali hata kidogo. Na ukizidisha kumwambia kuhusiana na kuongeya kwako uta kuta ana ni jibu ndo maana sipendagi kuongea na wewe.

Yeye ndo rafiki wa wanaume utakuta mwanaume akimwambia njoo twende huku anakubali, anapokuwa yeye ndipo wanaume walipo kuwa na matani nao ya kugusana gusana. Hata nikimwambia aache tabia hiyo utakuta najibiwa "jiamini"

Yeye ndo mtu wa kupost picha na video za kijinga kwenye status za Messenger na WhatsApp utakuta amepost picha mara anapiga kiss mara anatoa ulimi nje mara anaimba, mara anabinuwa matako yake.

Nikimshauri naambiwa mimi ndo nina wivu.

Mwanaume akimsimamisha hata kama yuko na mimi utakuta anasimama na akiombwa namba anatoa bila tatizo.
  • Ni muongo sana
  • Anapenda mauzo sana
  • Ana dharau watu wengine mpaka na mimi
  • Ana kiburi
  • Hujiona mrembo na mara nyingi husema hawezi kosa soko yeye ni mrembo
Sasa huyo mtoto wa kike nimeshafunga naye ndoa. Kulingana na mila zetu sisi hufunga kwanza ndoa halafu mke utaenda kuchukua siku ya kwenda kuweka mali.

Sasa hapo ndipo nina maswali. Je, mwanamke wa hivi kweli anaweza badirika katika ndoa au pesa zangu niziwekeze kwenye mambo mengine?
Mnatarajia kufunga ndoa, mara mshafunga ndoa kimila.. story yako haina ukweli wowote pia miaka 22 wewe mtoto wa Shule / Chuo so soma Stori za kutunga acha.
 
Hela ninayo ndugu yangu
Acha haraka kijana bado hujawa na akili uwezo na utambuzi wa kuishi na mtu atakutesa akili utaona mapenzi machungu ngoja ufike 25 miaka utapata kidgo anayeendana nawe uyo humuwezi Ata akifika 23 hutamuweza
 
Back
Top Bottom