Je, Mwanamke wa hivi anaweza badilika katika ndoa?

Mkuu Hapa mbona kama unatunchanga kuna nyuzi ukituambia umeoa na una mke kwenye ule uzi wako pendwa ule ww kule ulituambia unamke rikiboy tukueleweje
 
Piga chini dogo, tatizo mnapenda wauza sura kuwa wake!! Huyo sio wife material. We kula sepa kivyako.
 
Mkuu Hapa mbona kama unatunchanga kuna nyuzi ukituambia umeoa na una mke kwenye ule uzi wako pendwa ule ww kule ulituambia unamke rikiboy tukueleweje
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kaka wanasema nimeoa kisa naishi na mwanamke eti...!! Ila bado[emoji23] au wee unasemaje???

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Bado upo nae! Usimwache mfanye awe mchepuko chukua mwngne wapo wengi
 
TATIZO UMRI .
 
Roho za marehemu wapate rehema kwa Mungu wapumzike kwa amani Amina!!!!!!!!!!
 
Nimecheka sana aiseee yani ni kama nisingepata hata muda wa kuandika hapa jf maana ninempiga3 chini kwanza then ndo nije kuandika hapa3 jukwaani
 
bado hujawa - MWANAUME... dogo ponda raha kwanza...huyo kuku wa mdondo atakufia ghafla....tafuta money, ankara pesa......na ndio wakati wa kupiga PULI kama rambo...............kama una vipesa vya mavuno unafikiria kuoa ni ujanja......utajuta.......hako hata utamu wa ukuni hakajui.....kimbiza life ukikaribia 30 ndo uanze mjadala.........
 
Mdogo wangu toa malengo kwa huyo demu, Kama mbususu analeta sasambua tu...kwanini uteseke na mapenzi kwa umri huo....jipe muda kuhusu issue ya kuoa maake kwa huyo mtu wako Ni Kama umebeti na kibaya zaidi umempa yanga na anacheza na Liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…