Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Jiulize kwa nini wanatumia nguvu kubwa kukanusha??Ukijaribu kupitia vyanzo mbali mbali vya wailsamu wenyewe wamekanusha kwamba Armstrong hakubadili dini na kama alibadili hakuna reliable source inayoonyesha kwamba alibadili dini. Wenyewe wanasema ni fabricated stories to make the religion famous. Zaidi soma hapa
Is the story that the astronaut Neil Armstrong became Muslim true? - islamqa.info
Na pia mtandao mwingine wa waislamu wa answering-islam wameongea the same thing
View attachment 818033View attachment 818034View attachment 818035
Pia katika mtandao wa wikipedia nao wanasema
Ila wanaokanusha ni wamarekani au ni nchi za kiislamu? Soma vizuri hapoJiulize kwa nini wanatumia nguvu kubwa kukanusha??
Mbona hawakutumia nguvu kubwa kwa Michael Jjackson, Michael Tyson etc.
Nikuulize wewe .Ila wanaokanusha ni wamarekani au ni nchi za kiislamu? Soma vizuri hapo
Fungua link niliyokuwekewe kwenye post iliyopita wamejadili kwa upana utapata picha halisi na sio wamarekani hao wenye web hioNikuulize wewe .
Sasa utajuaje kama wamenunuliwa na wamarekani ili waweze kumshusha Neil kirahisi?Fungua link niliyokuwekewe kwenye post iliyopita wamejadili kwa upana utapata picha halisi na sio wamarekani hao wenye web hio
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amejibu kwa mara ya kwanza tangu mgawanyiko utokee ndani ya vyama vinavyomuunga mkono.Sasa utajuaje kama wamenunuliwa na wamarekani ili waweze kumshusha Neil kirahisi?
Ficha ujinga wako.Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amejibu kwa mara ya kwanza tangu mgawanyiko utokee ndani ya vyama vinavyomuunga mkono.
una uzi niliwahi kuuandika humu usomeuna sababu za kubackup claim yako mkuu?
FafanuaNinacho jua ni kwamba hatupo peke yetu.
Russia nao hawakua nyuma hii ilikua mwaka 2015lakin nchi zenye reputation kubwa kwe maswala ya anga kama russia hawajawahi dispute anything kuhusu moon landing wewe unasimamia wapi unaposema kuwa ni lie? toa sababu mkuu......vipi kuhusu international space stations(ISS) na sattelites zngne zlrudhwazo kila siku ni uongo? wanafaidika nini kutumia matrilioni ya pesa ili tu kudanganya mkuu tujuzane
Ubongo wa binadamu hauna uwezo wa kuyafanya haya yote.Fafanua
ndio maana hawaendi, hawajawahi kwenda...una sababu za kubackup claim yako mkuu?
Haya ni mawazo yako au ni vitu vyenye kutambulika?Ubongo wa binadamu hauna uwezo wa kuyafanya haya yote.
Ni msaada wa beings nyingine toka kwenye universe nyingine..
In Short kuna viumbe vingine ukiachana na sisi.
Unaongelea months na sio moon.Kwani mwezi ni gimba moja tu ulimwengu mzima? Mbona tunaambiwa dunia ina miezi 12, hii idadi maana yake nini??? Sayari zingine tunaambiwa zina miezi 9, n.k. ufafanuzi hapo...me nafikiri miezi ni magimba mengi tu kama zilivyo nyota au sayari
Possibly sijaelewa vizuri. Mimi siyo mtaalamu wa mambo hayo, naomba wajuvi wengine wajibu kadri walivyoelewa swali basi.Sijui nishike lipi niache lipi. Kwani umeelewa swali langu mkuu?
Hayo ni maswali magumu, tujadilini wote tuyajibu coz ndo tayari ajenda iko mbele yetu.nakubaliana na ww ila tatizo moja linalokuja bwana kwe mijadala kama hii ni pale ambako mnajadili from scientific point of view halafu mkamix na mythology, supernatural powers discussion huwa inakuwa ngumu sana aisee maana kuna kuwa na vitu vingi ambavyo ni ngumu kuviprove, mfano km mtu anasema mwezi huu ni artificial sattelite mi ningeweza hoji imewezaje kuzunguka miaka yote hio around the earth wakati haina fuel yoyote ile tofauti na sattelite ze2 ambazo zinaznguruka huko juu? ila kama kuna supernatural powers hapo siwez bisha maana hazionekan so hujui kama zipo au la na kwa mantiki hio alichokileta mtoa uzi itakuwa sawa
Mnanipa raha sana wazee, dah!!dah wanadai vitabu vya dini yao vimesema kuwa watu hawatofika kwenye mwezi, hio ndio sababu inayomfanya asiamin kawa watu walifika kwenye mwezi.....kaazi kwelikweli hapo, ndio yaleyale ya jua kuzama kwe matope kuna mdau alileta uzi hapa
Mzee ebu weka udini pembeni kwanzaJiulize nani aliyesambaza kwamba hiyo safari ni feki. Jiulize kwa nini jamaa aliposilimu alikuwa akiishi maisha ya kujificha ficha.