Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Jiulize kwa nini wanatumia nguvu kubwa kukanusha??Ukijaribu kupitia vyanzo mbali mbali vya wailsamu wenyewe wamekanusha kwamba Armstrong hakubadili dini na kama alibadili hakuna reliable source inayoonyesha kwamba alibadili dini. Wenyewe wanasema ni fabricated stories to make the religion famous. Zaidi soma hapa
Is the story that the astronaut Neil Armstrong became Muslim true? - islamqa.info
Na pia mtandao mwingine wa waislamu wa answering-islam wameongea the same thing
View attachment 818033View attachment 818034View attachment 818035
Pia katika mtandao wa wikipedia nao wanasema
Mbona hawakutumia nguvu kubwa kwa Michael Jackson, Mike Tyson etc.