Je unaambatane naye sehemu zote apitazo; au je unajua wote waliofika msibani hapo? Je ni lazima kila mtu aende?Najiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Huenda gonjwa limelipukaNajiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Hii id Kama sio ya Ndugai ?Je unaambatane naye sehemu zote apitazo; au je unajua wote waliofika msibani hapo? Je ni lazima kila mtu aende?
Tumia muda vizuri, jiulize kuhusu maisha yakoNajiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Dhambi za kutesa upinzani, malipo ni hapa hapa duniani. Alimwambia Hangaya amemlipa Lissu yake yote.Huyu mzee kila nikipiga ramli chonganishi, simuoni kabisa kama atamaliza huu mwaka salama. Kwa stress na fedheha alizokua nazo huko alipo ukijumlisha na afya yake spana mkononi.
Acha kukariri mambo ya kiswahili. Mnawaza majungu 24/7.Dhambi za kutesa upinzani, malipo ni hapa hapa duniani. Alimwambia Hangaya amemlipa Lissu yake yote.
Maisha ni mbinu!Kwani huyu mtu yupo! Atakuwa ametoweka kama Governor Daudi Balali!
Ulitaka aende na wewe? Kwani kila aliyeenda alikutaarifu? Unajua viongozi wangapi walienda msibani ambao hawakukwambia?Najiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Sasa dhambi iko wapi? Kwani ndugai ni mwanafamilia wa malecela? Huyo lissu wenu mmesema amekuwa mwanafamilia wa mbowe, maana tundu alikuwa hakubaliki chadema Hadi apewe uchaga?Dhambi za kutesa upinzani, malipo ni hapa hapa duniani. Alimwambia Hangaya amemlipa Lissu yake yote.
Maisha ni mbinu!Kwani huyu mtu yupo! Atakuwa ametoweka kama Governor Daudi Balali!
Tupe kifungu cha sheria alichovunja kwa kutoenda msibani!Najiuliza kwanini Job Ndugai ajaenda Msibani?Msiba upo Dodoma, ameshindwa kushiriki na wanafamilia hii? Au nafsi inamsuta alivyoshangilia kutumbuliwa Kwa Mwele?
Sheria (amri kuu)ya Upendo kwa jirani.Tupe kifungu cha sheria alichovunja kwa kutoenda msibani!
Ukijiuliza kuhusu maisha yako tu bila kuangalia maisha ya wengine utaambiwa wewe ni Selfish " !!Tumia muda vizuri, jiulize kuhusu maisha yako
Ulaya ya Kongwa au mahabusu?